- Thread starter
- #21
Kwa lipi ?Acha kumsingizia mama.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa lipi ?Acha kumsingizia mama.
Magufuli alikuwa na msaliti wa hali ya juu sana. Lakini mwisho wake utafika naye ataitwa mwendazake.Laiti kama Mwendazake angejua msaidizi wake hatomtetea ila atamzamisha sidhani kama angemuamini kuendelea nae .
Moyo wa Mtu ni fumbo kubwa sana , trust nobody.
Jumapili njema ,nawapenda sana wana jf .
Mbona yeye mwendazake hakuwahi kuwatetea watangulizi wake. Sema jamaa alifanikiwa kutengeneza occult ilikuwa kidogo waanze kumwabuduYani mtu ufanye upuuzi uje kuwapa lawama wengine?
Kila mtu atabeba msalaba wake, ukitenda wema utakumbukwa kwa mema.
Kila mtu ashinde mechizake na ubebe msalaba wako mwenyewe....periodLaiti kama Mwendazake angejua msaidizi wake hatomtetea ila atamzamisha sidhani kama angemuamini kuendelea nae .
Moyo wa Mtu ni fumbo kubwa sana , trust nobody.
Jumapili njema ,nawapenda sana wana jf .
Laiti kama Mwendazake angejua msaidizi wake hatomtetea ila atamzamisha sidhani kama angemuamini kuendelea nae .
Moyo wa Mtu ni fumbo kubwa sana , trust nobody.
Jumapili njema ,nawapenda sana wana jf .
Samia ni msafiHata Samia nae asubiri zame yake.
Umemaliza !🙏Bila mifumo imara ya democracy mtabaki kulalama kila muhula. Kama unapenda nchi pigania mifumo sio watu. Hawa mnao kuwa machawa kwao hata hawajui wala kuwajali hivyo. Pigania mifumo ambayo ni taifa sio mtu
... Kuna watu mamenishinda kwa uelewa wao mdogo aisee! ... ati kuna mmoja anahoji kwanini mamlaka husika hazikuzuia kile kipengela cha ubakaji kisichapishwe, kana kwamba kitabu kiliidhinishwa kuchapishwa hapa Bongo!Yani mtu ufanye upuuzi uje kuwapa lawama wengine?
Kila mtu ataubeba msalaba wake, ukitenda wema utakumbukwa kwa mema.
Kazi kweli kweliMbona yeye mwendazake hakuwahi kuwatetea watangulizi wake. Sema jamaa alifanikiwa kutengeneza occult ilikuwa kidogo waanze kumwabudu
Yaani alipaswa kuendelea na ushetani wa Jiwe?.Laiti kama Mwendazake angejua msaidizi wake hatomtetea ila atamzamisha sidhani kama angemuamini kuendelea nae .
Moyo wa Mtu ni fumbo kubwa sana , trust nobody.
Jumapili njema ,nawapenda sana wana jf .
Moja ya tatizo la Magufuli ni kupenda sana kuvua wake za watu chupy bila kujali hisia zao.Aisee ukiacha madhaifu ya mwamba moja kati ya mistake kubwa aluyowahi kuifanya kiongozi mkubwa wa nchi mwenye cheo cha Urais ni kum pinpoint mwanamke kuwa msaidizi wake...
Haina tofauti kabisa na kule majuu Biden alivyopuyanga no wonder wote wakaend up shimoni.
Watanzania wengi kama kawaida mnaishia kujadili watu.Laiti kama Mwendazake angejua msaidizi wake hatomtetea ila atamzamisha sidhani kama angemuamini kuendelea nae .
Moyo wa Mtu ni fumbo kubwa sana , trust nobody.
Jumapili njema ,nawapenda sana wana jf .
Bila mifumo imara ya democracy mtabaki kulalama kila muhula. Kama unapenda nchi pigania mifumo sio watu. Hawa mnao kuwa machawa kwao hata hawajui wala kuwajali hivyo. Pigania mifumo ambayo ni taifa sio mtu
Vipi na wewe ulifatwa usiku usiku na jitu limevaa pajama?Unataka msaidizi atetetee jitu lililomfata kwake kibabe usiku usiku huku limevaa pajama?
Hebu muacheni mama alinde heshima ya wanawake wote duniani.
Jitu bakaji halitakiwi kutetewa