Malkia Elizabeth kalala kuzimu. Je, karma itachukua mkondo wake?

RAF Northolt ndio alipoletwa Diana na leo Malkia ametua hapo
Nimepita kabla na ulinzi ndani hata alipokuwa hai sio hivyo
Dunia hii
Yaani Bibi katua palepale
 
Alikuwa ni mtumishi wa ngazi ya juu wa shetani akiwa na degree 33 za uchawi. Akivaa mavazi yenye nembo na mapambano ya kichawi vikiwemo crown, pete, ring, mikufu, vyeo. Huyu akutubu kabla ya kifo hawa uamini kwao shetani ni Mungu.

We hz habar ukiambiwa uthibitishe utaweza!??
Uthibisho dhahiri sio uliosimuliwa
 
Duh...!.
Hii sikuwahi kuijua!. Unamaanisha Lady D, Princess of Wales alikuwa kicheche akaleta magendo?!. Please!.
P
Halafu huyo Prince Charles (King Charles III) alikuwa na mahusiano na Camilla hata kabla hajamuoa Diana ilishindikana kumuoa kwa sababu alikuwa ni mwanamke aliyeachika. Siyo kweli eti Malkia ndiye alimwambia Prince Charles awe na Camilla.

Kuhusu hilo la Prince Harry kuwa siyo mtoto wa Prince Charles lilisemwa sana kwa kuwa tu nywele zake nyekundu zinafana na mwanaume aliyedai kuwa alikuwa na uhusiano na Diana. Huyo bwana hata hapa juzi tu baada ya Malkia kufariki alishasema kuwa alifahamiana na Diana Prince Harry akiwa na miaka minne kwa hiyo yeye hawezi kuwa ni Baba ya Harry
 
Malkia wengi ni makatili kuliko jina Lao linavyoonekana
 
Mimi nimeshangaa sana
 
Mkuu Pascal Mayalla naomba nikufate Pm umsaidie kijana anadhurumiwa haki zake
 
The opposite is true. Dada wa watu alijitahidi sana sana lakini kumbuka Prince Charles alimuoa tu kwa sababu alikataliwa asimuoe Camilla ambaye by that time alikuwa ameachika. Prince Charles alikuwa na mahusiano na Camilla before meeting Diana, during his marriage to Diana and after divorce na mpaka akahalalisha baada ya Diana kufariki. Diana alijitahidi sana to keep her marriage lakini Prince Charles HAKUWAHI kuwa na mapenzi na Diana. Mapaparazzi pia walikuwa wanamsakama Diana kila anapoenda ndiyo maana baada ya kuona mambo hayaendi ndani ya ndoa aliamua kufanya charity works maeneo mbalimbali duniani mpaka alipodivorce na Prince Charles. Aliamua kuwa na Dodi aendelee na maisha mengine sasa yeye kosa lake ni lipi hapo?
 
Kila anaekufa aliwahi kuuwa...?

Kumbe mimi siwezi kufa kwasababu sijawahi kuuwa...?

Chukua hii....

Kila binadamu atakufa tu... Kifo sio Karma.
Kifo pia ni pigo/adhabu ambalo linetokana laana
 
Hizo ni story za vijiweni tu. Watoto wote wa Malkia ni wanajeshi mpaka yule Princess Anne. Hiyo ndiyo kazi yao. Hata Prince William ni mwanajeshi na pilot.
Kwa Royal Family ni compulsory kwenda jeshini utake usitake
Ndio maana tunaona wote ni wajeda
 
Braza angu kwa imani yangu ya Kikisto kwa Yesu Mwana wa Mungu karma inaishia kwenye damu yake. Kwenye mahakama yeyote duniani, kuzimu na mbinguni hakuna deni ambalo Damu Takatifu ya Yesu haiwezi kulipia. Kama aliitumia sawasawa atakua alilipia. Kwenye uzao wake itategemeana na alifanyeje alivochukua kiti. Kuna makosa inabidi uombe msamaha kutokana na kiti unachokalia hata kama hukufanya wewe. Amekalia kiti kilichoanza mwaka 1066. Kilianza na damu. Ndani yake kimekula damu nyingi mno za ndugu na jamaa. Kiti kinadai. Pia kina damu za watumwa na wengineo wengi walitumikishwa ili kukiweka hapo kilipo. Inabidi kukiombea msahama. Damu ya Yesu iliyomwagika inaweza kufanya yote hayo lakini je, aliyafanya? Hayo ni ya kuulizwa Eliza ambae amekufa. Charles anakazi ya kusafisha kiti kabla ya kukikalia. Anatakiwa ajue. Ila wale wengi ni wanachama wa freemasons. Sijui itakuaje.
 
Familia haikumkataa Diana. Charles haluwahi kumpenda Diana. Alimuoa Diana maana alikua na damu ambayo ingemuwezesha kupata uzao. Hizo nyingine ni ngonjera tu. Charles alimpenda Camilla toka wanaonana. Diana alienda ile hali ya kuwa Princess na hakufikiri kuwa Charle hampendi hata tone. Alivyopata watoto akafikiri mumewe atampenda lakini haikua hivyo. Akaanza kuchepuka kama mumewe. Kosa la Malkia ni kumnyanganya ulinzi mara baada ya kuachana na Charles. Asingemuondolea ulinzi maybe Diana angekua hai mpaka leo. Halafu pia ukiolewa kwenye ile familia jitahidi usiwe maarufu kuliko aliyekuoa. She was more popular than Queen herself or the Heir to the throne himself. All in all fate did wanted Camilla to be Queen Consort but not the royal blood to flow through her.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…