Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
- Thread starter
- #161
Unaweza ukaelezea hili swala mkuu kwa upana
Nyuki wema, nyuki wabaya!
Preamble! Chitchat sio sehemu salama sana siku hizi....! Uongozi usipokuwa makini JF itapoteza heshima yake Sasa tuendelee na mada yetu Je unajua kuwa Nyuki ni mlinzi kiroho na ni silaha pia ya kutumiwa pia na watu wabaya? Hulka ya nyuki kuruka mbali na udogo wake ule na kurejea kwa usahihi...
Sent from my LM-V500N using JamiiForums mobile app