Malkia wa Sheba (Queen of Sheba) ni nani?

Malkia wa Sheba (Queen of Sheba) ni nani?

Jedediah ndiye mfalme Suleimani, linamaanisha MPENDWA WA MUNGU. Hili ndiyo jina halisi la mfalme Suleimani na alipewa na nabii Nathani mara baada tu ya kuzaliwa. Kwa maelezo zaidi soma 2 Samuel 12:25.
Haya turudi kwenye mada yetu, baada ya Malkia Mekeda kwenda kwa Mfalme Jedediah alimjaribu lakini akakuta Suleimani ana utajiri mkubwa wa kuisha na akili kumkichwa. Sasa wanahistoria wa Kiyahudi wanasema kwamba Mekeda akaambiwa na Suleimani alale kwenye kasri yake lakini akamuambia mfalme Suleimani kama ukitaka nilale Sharti usiniguse. Suleimani akamwambia sawa lakini na wewe usiguse kitu chochote cha ndani ndani ya nyumba yangu bila ruhusa yangu.

Suleimani alikuwa na mpango wake kichwani, akawaagiza watumwa wake waweke pilipili na viungo vingi kwenye chakula.
Makeda alivyokula usiku kiu kali ikamshika, basi akataka maji Suleimani akamjibu akasema tulikubaliana hutagusa chochote bila ridhaa yangu. Basi Makeda akazidiwa ujanja ndiyo maana akasema Suleimani ni Mfalme mwenye akili sana kuliko alivyowahi kusikia.

Aliondoka Yerusalem na mimba, akajifungua mtoto wake wa kiume akamuita jina MENELEKI 1 maana yake "SON OF THE WISE". Menelik alivyokuwa mkubwa alienda kuapishwa Yerusalem. Na mwanahistoria wa Kirumi Flavius Josephus anakuambia alikuwa Mfalme wa Ethiopia na Egypt, hapo alipewa jina la babu yake DAUDI. Sasa alivyorudi Ethiopia Mfalme Suleimani alituma kundi la Wasomi wa Kiyahudi zaidi ya 1000 na moja wapo walikuwa kuhani AZALIA na ZADOKI ambao kwenye biblia wapo. Hawa walitumwa kwa dhumuni la kumsaidia atawale ufalme wake vizuri.

Wayahudi wa Ethiopia wale wuesi wanaitwa Falahasha na siyo wote ni uzao wa Mfalme Suleimani. Wengine ni wayahudi kutoka kabila la dani ambalo walipotea baada ya kuvamiwa na Ashuru na Wakaldayo kutoka Babeli. Wayahudi weusi wako wengi sana na hichi watu wengi wanakipinga lakini ndiyo ukweli wenyewe. Lakini Wayahudi walianza kuoana na weusi tangu wako Misri na ushahidi mkubwa ni Abrahamu baba wa Wayahudi alizaa na kijakazi wake Hajira ambaye ndiyo mama wa Waarabu. Hajira alikuwa ni mtu wa Misri na Misri ilikuwa inatawaliwa na watu weusi kabla ya Waarabu. Sehemu ya Pili Nabii Musa alimuoa Zipora mtu wa Ethiopia. Ethiopia ilikuwa inatawaliwa na watu weusi hivyo kuwepo na Wayahudi weusi ni kitu cha kawaida sana.

Heshima kwako mkuu, umeniongezea maarifa na pia wale watu 1000 waliotuma na suleimain kumsaidia menelik 1 nao walijichanganya tuu na ngozi nyeusi na kuzaa pia ya misri nilikua sina ilo wazo ili ni kweli kabisa na nategemea hadi sasa kuwe na hiyo damu ya uyahudi kwa kiasi kikubwa.
 
Hadith ya Malkia wa sheba imesimuliwa kwenye vitabu Vya dini mbalimbali kama vile Wayahudi, Wakristo na hata Waislamu. Biblia imemsimulia kuwa alikuwa ni Malkia wa kutoka Mashariki Ufalme wa Aksum (axum) huko Ethiopia. Na pia kuna wanahistoria wanaosema kuwa pengine ilikuwa ni kutoka ufalme wa Saba huko Yemen au toka katika hizo Falme mbili zote kwa maana ya kuwa pengine alitawala sehemu zote mbili. Kwa nini wanasema hivyo? Ni kwa sababu alipeleka Zawadi na moja wapo ikiwa ni viungo au kwa lugha ya kigeni spices. Na ina ya spices hizo inasemekana inapatikana tu kwenye maeneo hayo mawili. Na katika hili kila nchi imekuwa ikidai ni wa kwao. Na ukichukulia kuwa nchi hizi zimetenganishwa na kilomita 25 tu za maji inawezekana zote zikawa sahihi.


Katika hadithi hii ya malkia wa sheba. Anaonekana ni malkia ambaye aliamua kutafuta hekima /elimu au ukweli kuhusiana na alichokuwa akisikia kuhusu mfalme Solomon wa Israel. Mfalme huyu alisifika kila sehemu kuwa alikuwa ni mwenye hekima sana(bahati mbaya hatujapata tena dunia hii viongozi wa namna hii) hivyo alifunga safari akitumia ngamia mpaka yerusalem kuonana na Mfalme Solomon au Selemani. Lengo lilikuwa ni kupima hekima za mfalme na pia kusikia maneno yake ya hekima,mafumbo na misemo mbalimbali. Akamletea viungo(spices) manemane,dhahabu na vito vya thaman kubwa sana. kama zawadi

Mfalme seleman alikuwa amesikia habari za Malkia Sheba na Ufalme wake mkuu. Na alisikia kuwa alikuwa na umbo la kushangaza. Kuwa mguu wake wa kushoto ulikuwa umechanika kule chini kama wa mbuzi na pia ulikuwa na vinyweleo vingi sana. Akiwa na shauku ya kutaka kujua kama hizo hadith zilikuwa za kweli au fiksi tu za walimwengu miaka hiyo.(usidhani umbea umeanza sasa au kupakaziana toka miaka ya nyuma mambo haya yalikuwepo) Mfalme seleman naye kwa kujawa na shauku na umbea wa kutaka kujua kama jambo hilo ni la kweli au vipi akaagiza siku hiyo mle ndani kusafishwe na chini pang’ae kama kioo.(nadhani nao walikuwa na tiles zao za miaka ile) inasemekana alipokanyaga pale chini malkia wa sheba mfalme selemani aliona mguu wa malkia ulio chini kama wa mbuzi ukigeuka na kuwa wa kawaida mbele ya macho yake.akashangaa sana.

Malkia wa sheba akawa akimuuliza mfalme maswali mengi mengi sana na mafumbo ili kumpima hekima yake. Akamjibu kiasi cha kumridhisha kabisa na malkia akafurahia sana na baadaye akamfundisha kuhusiana na Mungu wake yeye Mfalme Seleman (Yahweh) na Malkia wa Sheba akawa muumini wake. Na hivi ndivyo Waethiopia wanaamini Jinsi ambavyo Ukristo uliingia nchini mwao yaani kupitia Malkia wa Sheba.

Malkia alikubali kuwa Mgeni wa Mfalme Seleman.na hapo alikuwa hajaolewa. Akamwonya mfalme seleman asimguse.(najua unaelewa maana ya asimguse). Na mfalme seleman akamwambia kama ni hivyo naye asichukue kitu chochote toka kwake. (toka zaman wanaume walikuwa hawatoi tu zawadi hivi hivi) na hapa mfalme alikuwa amemtega kiujanja kumbuka alikuwa na hekima sana. basi malkia akapewa chakula chnye spices nyingi sana(mfano ukila pilau matokeo yake unakunywa sana maji) Ulipofika usiku Malkia akasikia Kiu. Akachukua Glass ya Maji akanywa. Mfalme akamfuata na kumwambia amevunja makubaliano kuwa hakupaswa kuchukua kitu chochote toka kwake kwa kuwa yeye alisema asiguswe. Hivyo kwa kuahidi kuwa singechukua kitu chochote na mwishowe kunywa maji ya mle ndani amevunja ahadi na mfalme naye atavunja ya kwake ya kutokumgusa.

Basi hapo wakalala wote yaani wakafanya mapenzi na kumbuka mfalme alikuwa amemsubiria kwa hamu sana. Akamnanii….. na siku aliporudi nyumban kwake Malkia wa sheba alikuja kugundua ana ujauzito akamzaa Menelik na kumkuza yeye mwenyewe. Siku moja menelik akaamua kutembelea Israel kwenda kuonana na baba yake. Aliporudi alikuja na sanduku la agano lililokuwa limebeba amri kumi za Mungu alizotoa kwa Wayahudi. Hadith za kale zinasema kuwa sanduku liliendelea kuwa Ethiopia toka kipindi hicho na Waethiopia wana mwona Menelik kama ni Ufalme uliotukuka uliojipanua mpaka karne ya 20. Hii ndiyo hadithi ya Malkia wa sheba.
 
Hadith ya Malkia wa sheba imesimuliwa kwenye vitabu Vya dini mbalimbali kama vile Wayahudi, Wakristo na hata Waislamu. Biblia imemsimulia kuwa alikuwa ni Malkia wa kutoka Mashariki Ufalme wa Aksum (axum) huko Ethiopia. Na pia kuna wanahistoria wanaosema kuwa pengine ilikuwa ni kutoka ufalme wa Saba huko Yemen au toka katika hizo Falme mbili zote kwa maana ya kuwa pengine alitawala sehemu zote mbili. Kwa nini wanasema hivyo? Ni kwa sababu alipeleka Zawadi na moja wapo ikiwa ni viungo au kwa lugha ya kigeni spices. Na ina ya spices hizo inasemekana inapatikana tu kwenye maeneo hayo mawili. Na katika hili kila nchi imekuwa ikidai ni wa kwao. Na ukichukulia kuwa nchi hizi zimetenganishwa na kilomita 25 tu za maji inawezekana zote zikawa sahihi.


Katika hadithi hii ya malkia wa sheba. Anaonekana ni malkia ambaye aliamua kutafuta hekima /elimu au ukweli kuhusiana na alichokuwa akisikia kuhusu mfalme Solomon wa Israel. Mfalme huyu alisifika kila sehemu kuwa alikuwa ni mwenye hekima sana(bahati mbaya hatujapata tena dunia hii viongozi wa namna hii) hivyo alifunga safari akitumia ngamia mpaka yerusalem kuonana na Mfalme Solomon au Selemani. Lengo lilikuwa ni kupima hekima za mfalme na pia kusikia maneno yake ya hekima,mafumbo na misemo mbalimbali. Akamletea viungo(spices) manemane,dhahabu na vito vya thaman kubwa sana. kama zawadi

Mfalme seleman alikuwa amesikia habari za Malkia Sheba na Ufalme wake mkuu. Na alisikia kuwa alikuwa na umbo la kushangaza. Kuwa mguu wake wa kushoto ulikuwa umechanika kule chini kama wa mbuzi na pia ulikuwa na vinyweleo vingi sana. Akiwa na shauku ya kutaka kujua kama hizo hadith zilikuwa za kweli au fiksi tu za walimwengu miaka hiyo.(usidhani umbea umeanza sasa au kupakaziana toka miaka ya nyuma mambo haya yalikuwepo) Mfalme seleman naye kwa kujawa na shauku na umbea wa kutaka kujua kama jambo hilo ni la kweli au vipi akaagiza siku hiyo mle ndani kusafishwe na chini pang’ae kama kioo.(nadhani nao walikuwa na tiles zao za miaka ile) inasemekana alipokanyaga pale chini malkia wa sheba mfalme selemani aliona mguu wa malkia ulio chini kama wa mbuzi ukigeuka na kuwa wa kawaida mbele ya macho yake.akashangaa sana.

Malkia wa sheba akawa akimuuliza mfalme maswali mengi mengi sana na mafumbo ili kumpima hekima yake. Akamjibu kiasi cha kumridhisha kabisa na malkia akafurahia sana na baadaye akamfundisha kuhusiana na Mungu wake yeye Mfalme Seleman (Yahweh) na Malkia wa Sheba akawa muumini wake. Na hivi ndivyo Waethiopia wanaamini Jinsi ambavyo Ukristo uliingia nchini mwao yaani kupitia Malkia wa Sheba.

Malkia alikubali kuwa Mgeni wa Mfalme Seleman.na hapo alikuwa hajaolewa. Akamwonya mfalme seleman asimguse.(najua unaelewa maana ya asimguse). Na mfalme seleman akamwambia kama ni hivyo naye asichukue kitu chochote toka kwake. (toka zaman wanaume walikuwa hawatoi tu zawadi hivi hivi) na hapa mfalme alikuwa amemtega kiujanja kumbuka alikuwa na hekima sana. basi malkia akapewa chakula chnye spices nyingi sana(mfano ukila pilau matokeo yake unakunywa sana maji) Ulipofika usiku Malkia akasikia Kiu. Akachukua Glass ya Maji akanywa. Mfalme akamfuata na kumwambia amevunja makubaliano kuwa hakupaswa kuchukua kitu chochote toka kwake kwa kuwa yeye alisema asiguswe. Hivyo kwa kuahidi kuwa singechukua kitu chochote na mwishowe kunywa maji ya mle ndani amevunja ahadi na mfalme naye atavunja ya kwake ya kutokumgusa.

Basi hapo wakalala wote yaani wakafanya mapenzi na kumbuka mfalme alikuwa amemsubiria kwa hamu sana. Akamnanii….. na siku aliporudi nyumban kwake Malkia wa sheba alikuja kugundua ana ujauzito akamzaa Menelik na kumkuza yeye mwenyewe. Siku moja menelik akaamua kutembelea Israel kwenda kuonana na baba yake. Aliporudi alikuja na sanduku la agano lililokuwa limebeba amri kumi za Mungu alizotoa kwa Wayahudi. Hadith za kale zinasema kuwa sanduku liliendelea kuwa Ethiopia toka kipindi hicho na Waethiopia wana mwona Menelik kama ni Ufalme uliotukuka uliojipanua mpaka karne ya 20. Hii ndiyo hadithi ya Malkia wa sheba.
Nashukuru sana mkuu kwa kunifumulia hilo fumo hapo juu.
Solomoni alikua mjanja sana na mpenda totozi.
Ila bado sijujua kwanini wanawake wanapenda kujifananisha na huyu mwanamke.
Pia huo mguu wake wa mbuzi mmmh mbona balaa.
 
wengi wanajifananisha hawajui historia yake au pengine jina lake pia queen of sheba. alikuwa mzuri lakini si kma cleopatra.


Nashukuru sana mkuu kwa kunifumulia hilo fumo hapo juu.
Solomoni alikua mjanja sana na mpenda totozi.
Ila bado sijujua kwanini wanawake wanapenda kujifananisha na huyu mwanamke.
Pia huo mguu wake wa mbuzi mmmh mbona balaa.
 
Heshima kwako mkuu, umeniongezea maarifa na pia wale watu 1000 waliotuma na suleimain kumsaidia menelik 1 nao walijichanganya tuu na ngozi nyeusi na kuzaa pia ya misri nilikua sina ilo wazo ili ni kweli kabisa na nategemea hadi sasa kuwe na hiyo damu ya uyahudi kwa kiasi kikubwa.
Ukitaka mfafanuo zaidi kwa hili tafuta kitabu cha dini ya Wayahudi kinaitwa BABYLONIAN TALMUD kuna maelezo mengi yaliyoandikwa na walimu wa dini ya Kiyahudi kuhusu wafalme wa Yuda na Israel. Lakini historia kubwa ya Wayahudi imeandikwa na mwanahistoria wa Kirumi mwenye asili ya Kiyahudi anaitwa FLAVIUS JOSEPHUS, nadhani yeye ndiye anayeongozwa kwa kufanyiwa nukuu na wanahistoria wengi wa kizazi hiki. Amemuelezea vizuri sana MALKIA WA SHEBA kama malkia wa Ethiopia na Misri.

Kuhusu Misri lile eneo lilikuwa na watu weusi tangu kitambo na hata mashariki ya kati ilikuwa na watu weusi. Mfano rahisi tu kwamba NUHU alikuwa na watoto watatu SHEM, HAM NA JAPHET. SHEM ndiyo baba wa Wayahudi na waarabu, HAM ndiyo baba wa weusi na JAPHET ndiyo baba wa wazungu. Ham ndiye baba wa Canaan, Cush na Mizraim. Mizraim ndiye baba wa Wamisri hivyo wamisri walikuwa weusi. Cush ndiye baba wa Waethiopia na Canaan ndiye baba wa wakaanani waliokukuzwa na Wayahudi baada ya kutoka utumwani Misri.

Kwa hiyo Misri asili yao ni watu weusi na ni uzao wa HAM ambayo ni mtoto wa NUHU.
 
wengi wanajifananisha hawajui historia yake au pengine jina lake pia queen of sheba. alikuwa mzuri lakini si kma cleopatra.
ok ila huyo cleopatra simjui ni jina jipya maskion
 
S
Ukitaka mfafanuo zaidi kwa hili tafuta kitabu cha dini ya Wayahudi kinaitwa BABYLONIAN TALMUD kuna maelezo mengi yaliyoandikwa na walimu wa dini ya Kiyahudi kuhusu wafalme wa Yuda na Israel. Lakini historia kubwa ya Wayahudi imeandikwa na mwanahistoria wa Kirumi mwenye asili ya Kiyahudi anaitwa FLAVIUS JOSEPHUS, nadhani yeye ndiye anayeongozwa kwa kufanyiwa nukuu na wanahistoria wengi wa kizazi hiki. Amemuelezea vizuri sana MALKIA WA SHEBA kama malkia wa Ethiopia na Misri.

Kuhusu Misri lile eneo lilikuwa na watu weusi tangu kitambo na hata mashariki ya kati ilikuwa na watu weusi. Mfano rahisi tu kwamba NUHU alikuwa na watoto watatu SHEM, HAM NA JAPHET. SHEM ndiyo baba wa Wayahudi na waarabu, HAM ndiyo baba wa weusi na JAPHET ndiyo baba wa wazungu. Ham ndiye baba wa Canaan, Cush na Mizraim. Mizraim ndiye baba wa Wamisri hivyo wamisri walikuwa weusi. Cush ndiye baba wa Waethiopia na Canaan ndiye baba wa wakaanani waliokukuzwa na Wayahudi baada ya kutoka utumwani Misri.

Kwa hiyo Misri asili yao ni watu weusi na ni uzao wa HAM ambayo ni mtoto wa NUHU.
Shukrani kwa ufafanuzi murua mkuu lumumba.
 
wengi wanajifananisha hawajui historia yake au pengine jina lake pia queen of sheba. alikuwa mzuri lakini si kma cleopatra.
Huyo class cleopatra ndo namtamani kumjua sana,naskia alikuwa kisu sana
 
Huyu ametajwa katika Quraan Tukufu , na jina lake linajulikana kama Balqiis.. Ni MAlkia wa Sabaa' hukoo nchini Yemen ambayo inajulikana kama Sheeba.. na kuna kipindi niliona Video inamuonesha mwanamke mmoja wa kizungu akitafuta histora ya huyu Malkia mjini Yemen kumsaida mumewe ambae aliianza hii kazi kwa bahati Mbaya akapooza mwili.

Kwa hiyo huyu mwanamke akawa anajaribu kumalizia kazi aloianza mumewe ..

KWa kifupi Quraan imeeleza hivi ...

Nabii Suleiman Alaihi Ssalaam alikuwa akikaa akizungukwa na Ndege kumuwekea kivuli, siku hiyo kuna Ndege akiitwa Hud Hud alikuwa hayupo sehemu ya kivuli kiasi jua likapitilza mpaka kwenye paja la Nabii Suleiman akasema hii sehemu anatakiwa aifunike Hud Hud .. yuko wapi? Endelea kusoma sasa

20. Na akawakagua ndege, na akasema: Imekuwaje, mbona simwoni Hud-hud, au amekuwa miongoni mwa walio ghibu? Maelezo
21. Kwa yakini nitamuadhibu kwa adhabu kali, au nitamchinja, au aniletee hoja ya kutosha.
22. Basi (Hud-hud) akakaa si mbali na akasema: Nimegundua usilo gundua wewe, na ninakujia hivi kutoka nchi ya Sabai, na nakuletea khabari za yakini.
23. Hakika mimi nimemkuta mwanamke anawatawala, naye amepewa kila kitu, na anacho kiti cha enzi kikubwa. Maelezo
24. Nimemkuta yeye na watu wake wanalisujudia jua badala ya Mwenyezi Mungu; na Shet'ani amewapambia vitendo vyao na akawazuilia Njia. Kwa hivyo hawakuongoka, Maelezo
25. Na hawamsujudii Mwenyezi Mungu ambaye huyatoa yaliyo fichikana katika mbingu na ardhi, na anayajua mnayo yaficha na mnayo yatangaza. Maelezo
26. Mwenyezi Mungu - hapana mungu ila Yeye, Mola Mlezi wa A'rshi tukufu.. Maelezo
27. Akasema (Sulaiman): Tutatazama umesema kweli au wewe ni miongoni mwa waongo. Maelezo
28. Nenda na barua yangu hii na uwafikishie, kisha waache na utazame watarejesha nini. Maelezo
29. (Malkia) akasema: Enyi wahishimiwa! Hakika nimeletewa barua tukufu. Maelezo
30. Imetoka kwa Sulaiman nayo ni: Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu. Maelezo
31. Msinifanyie jeuri, na fikeni kwangu nanyi mmekwisha kuwa wenye kusalimu amri. Maelezo 32. Akasema: Enyi wahishimiwa! Nipeni shauri katika jambo langu hili, kwani mimi sikati shauri yoyote mpaka mhudhurie. Maelezo
33. Wakasema: Sisi ni wenye nguvu na wakali kwa vita; na amri iko kwako, basi tazama ni nini unaamrisha. Maelezo
34. Akasema: Hakika wafalme wanapo uingia mji wanauharibu, na wanawafanya wale watukufu wake kuwa wanyonge. Na hivyo ndivyo watendavyo. Maelezo
35. Lakini mimi nitawapelekea zawadi, nami nitangoja watakayo rudi nayo wajumbe. Maelezo
36. Basi alipo fika (mjumbe) kwa Sulaiman, alisema (Sulaiman): Hivyo ndio nyinyi mnanisaidia kwa mali? Aliyo nipa Mwenyezi Mungu ni bora zaidi kuliko aliyo kupeni nyinyi. Lakini nyinyi mnafurahia hii zawadi yenu. Maelezo 37. Rejea kwao! Kwa yakini sisi tutawajia kwa majeshi wasio yaweza kuyakabili. Na hakika tutawatoa humo na hali wao wamekuwa madhalili na wanyonge. Maelezo
38. Akasema: Enyi wahishimiwa! Ni nani kati yenu atakaye niletea kiti chake cha enzi kabla hawajanijia nao wamekwisha salimu amri.
Maelezo
39. Akasema: Afriti, katika majini: Mimi nitakuletea kabla hujainuka pahala pako hapo. Na mimi kwa hakika nina nguvu na muaminifu. Maelezo
40. Akasema mwenye ilimu ya Kitabu: Mimi nitakuletea kabla ya kupepesa jicho lako. Basi alipo kiona kimewekwa mbele yake, akasema: Haya ni katika fadhila zake Mola wangu Mlezi, ili anijaribu nitashukuru au nitakufuru. Na mwenye kushukuru, kwa hakika, anashukuru kwa manufaa ya nafsi yake; na anaye kufuru, kwa hakika Mola wangu Mlezi ni Mkwasi na Karimu. Maelezo
41. Akasema: Mgeuzieni kiti chake cha enzi hiki, tuone ataongoka, au atakuwa miongoni mwa wasio ongoka. Maelezo
42. Basi (Malkia) alipo fika akaambiwa: Je! Kiti chako cha enzi ni kama hiki? Akasema: Kama kwamba ndicho hichi. (Sulaiman na watu wake wakasema): Na sisi tumepewa ilimu kabla yake (Malkia), na tukawa Waislamu. Maelezo
43. Na yale aliyo kuwa akiyaabudu badala ya Mwenyezi Mungu yalimzuilia. Hakika yeye (Malkia) alikuwa katika kaumu ya makafiri. Maelezo
44. Akaambiwa: Liingie behewa la hili jumba. Alipo liona alidhani ni maji, na akapandisha nguo mpaka kwenye miundi yake. (Sulaiman) akasema: Hakika hilo ni behewa lilio sakafiwa kwa viyoo! Akasema (Malkia): Mola wangu Mlezi! Mimi nimejidhulumu nafsi yangu, na sasa nanyenyekea pamoja na Sulaiman kwa Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa walimwengu wote. Maelezo

Ni Kisa kirefu sana ...
 
Mpaka sasa ethiopia wana historia wanasema ndo hasa huyo malkia alitawala. Yemen ni kama walikuja kuhamisha goal kutokana na umaarufu. Wanasema pia kwa mujibu wa vinasaba na historia kubwa kuna ukwel usiotia shaka kuwa ethiopia ndipo alipokuwepo malkia huyo wa sheba.

Huyu ametajwa katika Quraan Tukufu , na jina lake linajulikana kama Balqiis.. Ni MAlkia wa Sabaa' hukoo nchini Yemen ambayo inajulikana kama Sheeba.. na kuna kipindi niliona Video inamuonesha mwanamke mmoja wa kizungu akitafuta histora ya huyu Malkia mjini Yemen kumsaida mumewe ambae aliianza hii kazi kwa bahati Mbaya akapooza mwili.

Kwa hiyo huyu mwanamke akawa anajaribu kumalizia kazi aloianza mumewe ..

KWa kifupi Quraan imeeleza hivi ...

Nabii Suleiman Alaihi Ssalaam alikuwa akikaa akizungukwa na Ndege kumuwekea kivuli, siku hiyo kuna Ndege akiitwa Hud Hud alikuwa hayupo sehemu ya kivuli kiasi jua likapitilza mpaka kwenye paja la Nabii Suleiman akasema hii sehemu anatakiwa aifunike Hud Hud .. yuko wapi? Endelea kusoma sasa

20. Na akawakagua ndege, na akasema: Imekuwaje, mbona simwoni Hud-hud, au amekuwa miongoni mwa walio ghibu? Maelezo
21. Kwa yakini nitamuadhibu kwa adhabu kali, au nitamchinja, au aniletee hoja ya kutosha.
22. Basi (Hud-hud) akakaa si mbali na akasema: Nimegundua usilo gundua wewe, na ninakujia hivi kutoka nchi ya Sabai, na nakuletea khabari za yakini.
23. Hakika mimi nimemkuta mwanamke anawatawala, naye amepewa kila kitu, na anacho kiti cha enzi kikubwa.
Maelezo
24. Nimemkuta yeye na watu wake wanalisujudia jua badala ya Mwenyezi Mungu; na Shet'ani amewapambia vitendo vyao na akawazuilia Njia. Kwa hivyo hawakuongoka, Maelezo
25. Na hawamsujudii Mwenyezi Mungu ambaye huyatoa yaliyo fichikana katika mbingu na ardhi, na anayajua mnayo yaficha na mnayo yatangaza. Maelezo
26. Mwenyezi Mungu - hapana mungu ila Yeye, Mola Mlezi wa A'rshi tukufu.. Maelezo
27. Akasema (Sulaiman): Tutatazama umesema kweli au wewe ni miongoni mwa waongo. Maelezo
28. Nenda na barua yangu hii na uwafikishie, kisha waache na utazame watarejesha nini. Maelezo
29. (Malkia) akasema: Enyi wahishimiwa! Hakika nimeletewa barua tukufu. Maelezo
30. Imetoka kwa Sulaiman nayo ni: Kwa jina la Mwenyezi Mungu, Mwingi wa rehema, Mwenye kurehemu. Maelezo
31. Msinifanyie jeuri, na fikeni kwangu nanyi mmekwisha kuwa wenye kusalimu amri. Maelezo 32. Akasema: Enyi wahishimiwa! Nipeni shauri katika jambo langu hili, kwani mimi sikati shauri yoyote mpaka mhudhurie. Maelezo
33. Wakasema: Sisi ni wenye nguvu na wakali kwa vita; na amri iko kwako, basi tazama ni nini unaamrisha. Maelezo
34. Akasema: Hakika wafalme wanapo uingia mji wanauharibu, na wanawafanya wale watukufu wake kuwa wanyonge. Na hivyo ndivyo watendavyo. Maelezo
35. Lakini mimi nitawapelekea zawadi, nami nitangoja watakayo rudi nayo wajumbe. Maelezo
36. Basi alipo fika (mjumbe) kwa Sulaiman, alisema (Sulaiman): Hivyo ndio nyinyi mnanisaidia kwa mali? Aliyo nipa Mwenyezi Mungu ni bora zaidi kuliko aliyo kupeni nyinyi. Lakini nyinyi mnafurahia hii zawadi yenu. Maelezo 37. Rejea kwao! Kwa yakini sisi tutawajia kwa majeshi wasio yaweza kuyakabili. Na hakika tutawatoa humo na hali wao wamekuwa madhalili na wanyonge. Maelezo
38. Akasema: Enyi wahishimiwa! Ni nani kati yenu atakaye niletea kiti chake cha enzi kabla hawajanijia nao wamekwisha salimu amri. Maelezo
39. Akasema: Afriti, katika majini: Mimi nitakuletea kabla hujainuka pahala pako hapo. Na mimi kwa hakika nina nguvu na muaminifu. Maelezo
40. Akasema mwenye ilimu ya Kitabu: Mimi nitakuletea kabla ya kupepesa jicho lako. Basi alipo kiona kimewekwa mbele yake, akasema: Haya ni katika fadhila zake Mola wangu Mlezi, ili anijaribu nitashukuru au nitakufuru. Na mwenye kushukuru, kwa hakika, anashukuru kwa manufaa ya nafsi yake; na anaye kufuru, kwa hakika Mola wangu Mlezi ni Mkwasi na Karimu. Maelezo
41. Akasema: Mgeuzieni kiti chake cha enzi hiki, tuone ataongoka, au atakuwa miongoni mwa wasio ongoka. Maelezo
42. Basi (Malkia) alipo fika akaambiwa: Je! Kiti chako cha enzi ni kama hiki? Akasema: Kama kwamba ndicho hichi. (Sulaiman na watu wake wakasema): Na sisi tumepewa ilimu kabla yake (Malkia), na tukawa Waislamu. Maelezo
43. Na yale aliyo kuwa akiyaabudu badala ya Mwenyezi Mungu yalimzuilia. Hakika yeye (Malkia) alikuwa katika kaumu ya makafiri. Maelezo
44. Akaambiwa: Liingie behewa la hili jumba. Alipo liona alidhani ni maji, na akapandisha nguo mpaka kwenye miundi yake. (Sulaiman) akasema: Hakika hilo ni behewa lilio sakafiwa kwa viyoo! Akasema (Malkia): Mola wangu Mlezi! Mimi nimejidhulumu nafsi yangu, na sasa nanyenyekea pamoja na Sulaiman kwa Mwenyezi Mungu, Mola Mlezi wa walimwengu wote. Maelezo

Ni Kisa kirefu sana ...
 
Hadith ya Malkia wa sheba imesimuliwa kwenye vitabu Vya dini mbalimbali kama vile Wayahudi, Wakristo na hata Waislamu. Biblia imemsimulia kuwa alikuwa ni Malkia wa kutoka Mashariki Ufalme wa Aksum (axum) huko Ethiopia. Na pia kuna wanahistoria wanaosema kuwa pengine ilikuwa ni kutoka ufalme wa Saba huko Yemen au toka katika hizo Falme mbili zote kwa maana ya kuwa pengine alitawala sehemu zote mbili. Kwa nini wanasema hivyo? Ni kwa sababu alipeleka Zawadi na moja wapo ikiwa ni viungo au kwa lugha ya kigeni spices. Na ina ya spices hizo inasemekana inapatikana tu kwenye maeneo hayo mawili. Na katika hili kila nchi imekuwa ikidai ni wa kwao. Na ukichukulia kuwa nchi hizi zimetenganishwa na kilomita 25 tu za maji inawezekana zote zikawa sahihi.


Katika hadithi hii ya malkia wa sheba. Anaonekana ni malkia ambaye aliamua kutafuta hekima /elimu au ukweli kuhusiana na alichokuwa akisikia kuhusu mfalme Solomon wa Israel. Mfalme huyu alisifika kila sehemu kuwa alikuwa ni mwenye hekima sana(bahati mbaya hatujapata tena dunia hii viongozi wa namna hii) hivyo alifunga safari akitumia ngamia mpaka yerusalem kuonana na Mfalme Solomon au Selemani. Lengo lilikuwa ni kupima hekima za mfalme na pia kusikia maneno yake ya hekima,mafumbo na misemo mbalimbali. Akamletea viungo(spices) manemane,dhahabu na vito vya thaman kubwa sana. kama zawadi

Mfalme seleman alikuwa amesikia habari za Malkia Sheba na Ufalme wake mkuu. Na alisikia kuwa alikuwa na umbo la kushangaza. Kuwa mguu wake wa kushoto ulikuwa umechanika kule chini kama wa mbuzi na pia ulikuwa na vinyweleo vingi sana. Akiwa na shauku ya kutaka kujua kama hizo hadith zilikuwa za kweli au fiksi tu za walimwengu miaka hiyo.(usidhani umbea umeanza sasa au kupakaziana toka miaka ya nyuma mambo haya yalikuwepo) Mfalme seleman naye kwa kujawa na shauku na umbea wa kutaka kujua kama jambo hilo ni la kweli au vipi akaagiza siku hiyo mle ndani kusafishwe na chini pang’ae kama kioo.(nadhani nao walikuwa na tiles zao za miaka ile) inasemekana alipokanyaga pale chini malkia wa sheba mfalme selemani aliona mguu wa malkia ulio chini kama wa mbuzi ukigeuka na kuwa wa kawaida mbele ya macho yake.akashangaa sana.

Malkia wa sheba akawa akimuuliza mfalme maswali mengi mengi sana na mafumbo ili kumpima hekima yake. Akamjibu kiasi cha kumridhisha kabisa na malkia akafurahia sana na baadaye akamfundisha kuhusiana na Mungu wake yeye Mfalme Seleman (Yahweh) na Malkia wa Sheba akawa muumini wake. Na hivi ndivyo Waethiopia wanaamini Jinsi ambavyo Ukristo uliingia nchini mwao yaani kupitia Malkia wa Sheba.

Malkia alikubali kuwa Mgeni wa Mfalme Seleman.na hapo alikuwa hajaolewa. Akamwonya mfalme seleman asimguse.(najua unaelewa maana ya asimguse). Na mfalme seleman akamwambia kama ni hivyo naye asichukue kitu chochote toka kwake. (toka zaman wanaume walikuwa hawatoi tu zawadi hivi hivi) na hapa mfalme alikuwa amemtega kiujanja kumbuka alikuwa na hekima sana. basi malkia akapewa chakula chnye spices nyingi sana(mfano ukila pilau matokeo yake unakunywa sana maji) Ulipofika usiku Malkia akasikia Kiu. Akachukua Glass ya Maji akanywa. Mfalme akamfuata na kumwambia amevunja makubaliano kuwa hakupaswa kuchukua kitu chochote toka kwake kwa kuwa yeye alisema asiguswe. Hivyo kwa kuahidi kuwa singechukua kitu chochote na mwishowe kunywa maji ya mle ndani amevunja ahadi na mfalme naye atavunja ya kwake ya kutokumgusa.

Basi hapo wakalala wote yaani wakafanya mapenzi na kumbuka mfalme alikuwa amemsubiria kwa hamu sana. Akamnanii….. na siku aliporudi nyumban kwake Malkia wa sheba alikuja kugundua ana ujauzito akamzaa Menelik na kumkuza yeye mwenyewe. Siku moja menelik akaamua kutembelea Israel kwenda kuonana na baba yake. Aliporudi alikuja na sanduku la agano lililokuwa limebeba amri kumi za Mungu alizotoa kwa Wayahudi. Hadith za kale zinasema kuwa sanduku liliendelea kuwa Ethiopia toka kipindi hicho na Waethiopia wana mwona Menelik kama ni Ufalme uliotukuka uliojipanua mpaka karne ya 20. Hii ndiyo hadithi ya Malkia wa sheba.
rastafar theology katika ubora wao
inatokea tu wanapokuwa wametumia mjani wa kondeni
 
Nakaa kit cha mbele nipate kitu
220px-Sheba_demin.jpg
220px-BlackSheba-Text.jpg

Mfalme Solomoni akimpokea Queen of Sheba.
Haya hii hapa version mojawapo maana ziko kama tatu .
Based on the Gospels of Matthew (12:42) and Luke (11:31), the "queen of the South" is claimed to be the queen of Ethiopia. In those times, King Solomon sought merchants from all over the world, in order to buy materials for the building of the Temple. Among them was Tamrin, great merchant of Queen Makeda of Ethiopia. Having returned to Ethiopia, Tamrin told the queen of the wonderful things he had seen in Jerusalem, and of Solomon's wisdom and generosity, whereupon she decided to visit Solomon. She was warmly welcomed, given a palace for dwelling, and received great gifts every day. Solomon and Makeda spoke with great wisdom, and instructed by him, she converted to Judaism. Before she left, there was a great feast in the king's palace. Makeda stayed in the palace overnight, after Solomon had sworn that he would not do her any harm, while she swore in return that she would not steal from him. As the meals had been spicy, Makeda awoke thirsty at night, and went to drink some water, when Solomon appeared, reminding her of her oath. She answered: "Ignore your oath, just let me drink water." That same night, Solomon had a dream about the sun rising over Israel, but being mistreated and despised by the Jews, the sun moved to shine over Ethiopia and Rome (i. e. the Byzantine empire). Solomon gave Makeda a ring as a token of faith, and then she left. On her way home, she gave birth to a son, whom she named Baina-leḥkem (i. e. bin al-ḥakīm, "Son of the Wise Man", later called Menilek). After the boy had grown up in Ethiopia, he went to Jerusalem carrying the ring, and was received with great honors. The king and the people tried in vain to persuade him to stay. Solomon gathered his nobles and announced that he would send his first-born son to Ethiopia together with their first-borns. He added that he was expecting a third son, who would marry the king of Rome's daughter and reign over Rome, so that the entire world would be ruled by David's descendants. Then Baina-leḥkem was anointed king by Zadok the high priest, and he took the name David. The first-born nobles who followed him are named, and even today some Ethiopian families claim their ancestry from them. Prior to leaving, the priests' sons had stolen the Ark of the Covenant, after their leader Azaryas had offered a sacrifice as commanded by one God's angel. With much wailing, the procession left Jerusalem on a wind cart lead and carried by the archangel Michael. Having arrived at the Red Sea, Azaryas revealed to the people that the Ark is with them. David prayed to the Ark and the people rejoiced, singing, dancing, blowing horns and flutes, and beating drums. The Ark showed its miraculous powers during the crossing of the stormy Sea, and all arrived unscathed. When Solomon learned that the Ark had been stolen, he sent a horseman after the thieves, and even gave chase himself, but neither could catch them. Solomon returned to Jerusalem, and gave orders to the priests to remain silent about the theft and to place a copy of the Ark in the Temple, so that the foreign nations could not say that Israel had lost its fame.
 
Hadith ya Malkia wa sheba imesimuliwa kwenye vitabu Vya dini mbalimbali kama vile Wayahudi, Wakristo na hata Waislamu. Biblia imemsimulia kuwa alikuwa ni Malkia wa kutoka Mashariki Ufalme wa Aksum (axum) huko Ethiopia. Na pia kuna wanahistoria wanaosema kuwa pengine ilikuwa ni kutoka ufalme wa Saba huko Yemen au toka katika hizo Falme mbili zote kwa maana ya kuwa pengine alitawala sehemu zote mbili. Kwa nini wanasema hivyo? Ni kwa sababu alipeleka Zawadi na moja wapo ikiwa ni viungo au kwa lugha ya kigeni spices. Na ina ya spices hizo inasemekana inapatikana tu kwenye maeneo hayo mawili. Na katika hili kila nchi imekuwa ikidai ni wa kwao. Na ukichukulia kuwa nchi hizi zimetenganishwa na kilomita 25 tu za maji inawezekana zote zikawa sahihi.


Katika hadithi hii ya malkia wa sheba. Anaonekana ni malkia ambaye aliamua kutafuta hekima /elimu au ukweli kuhusiana na alichokuwa akisikia kuhusu mfalme Solomon wa Israel. Mfalme huyu alisifika kila sehemu kuwa alikuwa ni mwenye hekima sana(bahati mbaya hatujapata tena dunia hii viongozi wa namna hii) hivyo alifunga safari akitumia ngamia mpaka yerusalem kuonana na Mfalme Solomon au Selemani. Lengo lilikuwa ni kupima hekima za mfalme na pia kusikia maneno yake ya hekima,mafumbo na misemo mbalimbali. Akamletea viungo(spices) manemane,dhahabu na vito vya thaman kubwa sana. kama zawadi

Mfalme seleman alikuwa amesikia habari za Malkia Sheba na Ufalme wake mkuu. Na alisikia kuwa alikuwa na umbo la kushangaza. Kuwa mguu wake wa kushoto ulikuwa umechanika kule chini kama wa mbuzi na pia ulikuwa na vinyweleo vingi sana. Akiwa na shauku ya kutaka kujua kama hizo hadith zilikuwa za kweli au fiksi tu za walimwengu miaka hiyo.(usidhani umbea umeanza sasa au kupakaziana toka miaka ya nyuma mambo haya yalikuwepo) Mfalme seleman naye kwa kujawa na shauku na umbea wa kutaka kujua kama jambo hilo ni la kweli au vipi akaagiza siku hiyo mle ndani kusafishwe na chini pang’ae kama kioo.(nadhani nao walikuwa na tiles zao za miaka ile) inasemekana alipokanyaga pale chini malkia wa sheba mfalme selemani aliona mguu wa malkia ulio chini kama wa mbuzi ukigeuka na kuwa wa kawaida mbele ya macho yake.akashangaa sana.

Malkia wa sheba akawa akimuuliza mfalme maswali mengi mengi sana na mafumbo ili kumpima hekima yake. Akamjibu kiasi cha kumridhisha kabisa na malkia akafurahia sana na baadaye akamfundisha kuhusiana na Mungu wake yeye Mfalme Seleman (Yahweh) na Malkia wa Sheba akawa muumini wake. Na hivi ndivyo Waethiopia wanaamini Jinsi ambavyo Ukristo uliingia nchini mwao yaani kupitia Malkia wa Sheba.

Malkia alikubali kuwa Mgeni wa Mfalme Seleman.na hapo alikuwa hajaolewa. Akamwonya mfalme seleman asimguse.(najua unaelewa maana ya asimguse). Na mfalme seleman akamwambia kama ni hivyo naye asichukue kitu chochote toka kwake. (toka zaman wanaume walikuwa hawatoi tu zawadi hivi hivi) na hapa mfalme alikuwa amemtega kiujanja kumbuka alikuwa na hekima sana. basi malkia akapewa chakula chnye spices nyingi sana(mfano ukila pilau matokeo yake unakunywa sana maji) Ulipofika usiku Malkia akasikia Kiu. Akachukua Glass ya Maji akanywa. Mfalme akamfuata na kumwambia amevunja makubaliano kuwa hakupaswa kuchukua kitu chochote toka kwake kwa kuwa yeye alisema asiguswe. Hivyo kwa kuahidi kuwa singechukua kitu chochote na mwishowe kunywa maji ya mle ndani amevunja ahadi na mfalme naye atavunja ya kwake ya kutokumgusa.

Basi hapo wakalala wote yaani wakafanya mapenzi na kumbuka mfalme alikuwa amemsubiria kwa hamu sana. Akamnanii….. na siku aliporudi nyumban kwake Malkia wa sheba alikuja kugundua ana ujauzito akamzaa Menelik na kumkuza yeye mwenyewe. Siku moja menelik akaamua kutembelea Israel kwenda kuonana na baba yake. Aliporudi alikuja na sanduku la agano lililokuwa limebeba amri kumi za Mungu alizotoa kwa Wayahudi. Hadith za kale zinasema kuwa sanduku liliendelea kuwa Ethiopia toka kipindi hicho na Waethiopia wana mwona Menelik kama ni Ufalme uliotukuka uliojipanua mpaka karne ya 20. Hii ndiyo hadithi ya Malkia wa sheba.

Walielewana kwenye maongezi? I mean King Solomon aliifahamu lugha ya huyo malkia? What about the language barrier?
Ethiopia hadi Israel ni mbali mnooo
Queen alitumia usafiri gani? Alijuaje ramani ya kwenda Israel ?
 
Toka miaka ya nyuma walikuwepo explora. Umewah kusikia kuwa wangoni walitoka south afrika kuja kukaa tanzania unajua ni umbal gani? Km 1400s na kitu na lilikuwa ni kundi kubwa sana na bila shaka kwa miguu. Israel to egypt ni km 2400s. Lugha haijawah kuwa kikwazo katika mawasiliano ya binadamu hata siku moja. Na ndo maana usisahau walikuja waarab na wazungu huku afrika pia na wakawasiliana.

Walikuwepo wakalimani pia ukisoma habari ya julius ceaser na cleopatra utakuta hilo la wakalimani wapo. Usafiri walitumia ngamia na miaka hiyo safari kama hiyo inaweza chukua hata miezi zaidi ya 3.
 
Back
Top Bottom