Taasisi imara ni ile inayoendeshwa na principles sio matamkoToa ufafanuzi uhimara wa taasisi inatakiwa uwaje? Je anayesimamia hiyo taasisi anatakiwa awaje?
Kama anazingua apondwe tu!Siamini leo mnamponda mama [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Niwape pole na kazi iendelee
Alafu demi njoo kule ndani tuendelee na kazi kama Kawaida, muda ni huu.Siamini leo mnamponda mama [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Niwape pole na kazi iendelee
Wanasiasa wote ni walewale, kujipa matumaini ni kupoteza muda. Bora jiwe alikuwa anatuburudisha na vituko vyake...na mikwara yake ilikuwa inawaogopesha baadhi ya watumishi, nidhamu kidogo ilikuwepo. Now watu wanajiachia...Dingi kasafiriKama anazingua apondwe tu!
Ndani wapi? Kazi gani?Alafu demi njoo kule ndani tuendelee na kazi kama Kawaida, muda ni huu.
Tasisi imara huanza na katiba bora , lazima kuwe na check and balances ndio unapata taasisi nzuriHuwezi kuwa na taasisi imara wakati una rasilimali watu yenye mapungufu makubwa kama yetu. Mnalilia taasisi imara kwa watanzania wapi mkuu, hawa wezi, wavivu, wasio wazalendo? Taasisi imara zinaletwa na raia waliokuzwa katika malezi bora.
Huyu huyu awabembeleze mfurahi.Hii nchi ili iende inahitaji udikteta 70%
Imbombo ugwe, pimaNdani wapi? Kazi gani?
Nitumie nauli na ya kutoleaImbombo ugwe, pima
🤣🤣🤣🍖 nakufata si hapo kino tu ama umehamia tabataNitumie nauli na ya kutolea
Tangu lini mwanamke akajua kubembeleza?Huyu huyu awabembeleze mfurahi.
Ndo utashuhudia kipindi hikiTangu lini mwanamke akajua kubembeleza?
Haitatokea kamweNdo utashuhudia kipindi hiki
Haya mdekezeniHaitatokea kamwe
Mwanamke anajua kudeka tu
mama kuruhusu uwe huru kusema basi ni ushuzi ,unamkosea adabuUshuzi tupu