Logistics za kukusanya Mahindi Vijijini ni mtihani mkubwa. Kuna wakati unatumia hata Boda kufikisha mzigo kwenye Lorry.Hasara kubwa Sana hii Kwa wafanyabiashara.
Hii biashara naijua jinsi ilivyokuwa ngumu kwenye kukusanya mzigo alafu anatokea MTU wa ofisini anasema hakuna kuuza nje ya nchi... Tanzania ni nchi ngumu Sana Kwa mfanyabiashara
Acha kulima hujalazimishwaPeleka umalaya wako huko,watu wanahenyeka mashambani huko kulima kwa gharama kubwa wewe unakuja kuleta uchoko wako hapa
Wakati wanapewa mbolea kwa sh 70,000/hili hawakulijua?Amri hiyo imetolewa na Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Bw. Nurdin Babu kwa maelekezo ya Waziri wa Kilimo Bw. Bashe.
Bila shaka amri hii inatokana na zuio la Rais Samia kuzuia kuuza chakula nje ya nchi ili kukabiliana na upungufu wa chakula nchini na duniani kwa jumla.
Hoja hapa kwa nini serikali haikuwataarifu wafanyabiashara mapema ili kuwaepusha na hasara watakayopata kwa sababu ya gharama za usafiri? Kwa nini malori yaliyofika hapo Himo kabla ya zuio la Rais yasiruhusiwe kuendelea na safari?
Moja ya athari ya zuio hili ni kuwa bei ya mahindi itaporomoka sana kwa wakulima kutoka zaidi ya Shs. 800/= kwa kilo kwa sasa hadi kuwa chini ya Shs. 500/= kwa kilo!
Hiyo bei bado kubwa kwa mkulimaBei ya gunia la kilo 100 ni Shs. 80,000/=
Tz wasemaji wengi kila mtu hanasema lakeHasara kubwa Sana hii Kwa wafanyabiashara.
Hii biashara naijua jinsi ilivyokuwa ngumu kwenye kukusanya mzigo alafu anatokea MTU wa ofisini anasema hakuna kuuza nje ya nchi... Tanzania ni nchi ngumu Sana Kwa mfanyabiashara
Umewahi kulima hata eka moja ili utupe uzoefu wako wa faida na hasara?Hiyo bei bado kubwa kwa mkulima
Mwaka huu mambo ni mazuri, Tembea uoneWakulima hawatalima tena
Ila kuna uwezekano mwaka huu mambo yakawa mabaya