Malori zaidi ya 100 Himo yenye shehena ya mahindi yaamuriwa kuuza mahindi yao nchini badala ya kuyasafirisha Kenya

Hasara kubwa Sana hii Kwa wafanyabiashara.
Hii biashara naijua jinsi ilivyokuwa ngumu kwenye kukusanya mzigo alafu anatokea MTU wa ofisini anasema hakuna kuuza nje ya nchi... Tanzania ni nchi ngumu Sana Kwa mfanyabiashara
Logistics za kukusanya Mahindi Vijijini ni mtihani mkubwa. Kuna wakati unatumia hata Boda kufikisha mzigo kwenye Lorry.
 
Bashe ni Msanii tu. Lumbesa ya Viazi imemshinda Wakulima wa zao hilo wananyonywa na Wafanyabiashara kama kawa.
 
Safi,naunga mkono zuio la kutoa chakula nje,ilihali ndani kuna uhitaji mkubwa.
Ifahamike kuwa,wanao export mazao nje ni wafanyabiashara 90%&wala si wakulima.
Bei ya mazao wanayonunua kwa wakulima ni pungufu,na inamnufaisha mkulima.
Serikali inazuia kutoa mazao nje ili kudhibiti upungufu wa chakula nchini.
 
Wakati wanapewa mbolea kwa sh 70,000/hili hawakulijua?
 
Hasara kubwa Sana hii Kwa wafanyabiashara.
Hii biashara naijua jinsi ilivyokuwa ngumu kwenye kukusanya mzigo alafu anatokea MTU wa ofisini anasema hakuna kuuza nje ya nchi... Tanzania ni nchi ngumu Sana Kwa mfanyabiashara
Tz wasemaji wengi kila mtu hanasema lake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…