Econometrician
JF-Expert Member
- Oct 25, 2013
- 16,879
- 31,253
Malaro zaidi ya 100 kila Lori lina gunia 1000 aiseeee unaweza sababisha inflation.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huo ni ujinga.Amri hiyo imetolewa na Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Bw. Nurdin Babu kwa maelekezo ya Waziri wa Kilimo Bw. Bashe.
Bila shaka amri hii inatokana na zuio la Rais Samia kuzuia kuuza chakula nje ya nchi ili kukabiliana na upungufu wa chakula nchini na duniani kwa jumla.
Hoja hapa kwa nini serikali haikuwataarifu wafanyabiashara mapema ili kuwaepusha na hasara watakayopata kwa sababu ya gharama za usafiri? Kwa nini malori yaliyofika hapo Himo kabla ya zuio la Rais yasiruhusiwe kuendelea na safari?
Moja ya athari ya zuio hili ni kuwa bei ya mahindi itaporomoka sana kwa wakulima kutoka zaidi ya Shs. 800/= kwa kilo kwa sasa hadi kuwa chini ya Shs. 500/= kwa kilo!
Kwenye suala la chakula hasa mahindi na mpunga busara ni kuzuia tu!Hii issue lazima italeta mgogoro kati ya Kenya na Tanzania, sababu wafanya biashara wa Kenya tayari walikua wamesha nunua mahindi kwaajili ya kupeleka kwao kabla ya kauli ya bi mkubwa.
Nafikiri hapa ilitakiwa busara ya kawaida itumike ili kutatua hili jambo na baada ya hapi basi amri ya mama ndipo iendelee kutekelezwa.
Halafu unayasafirisha kwa nguvu za Mungu Muumba Mbingu na Nchi kutoka shambani hadi sokoni!Mahindi hayapaswi kuzidi elfu 50 kwa gunia, mimi nalima na gharamaza za uzalishaji kwa gunia moja ni elfu 30 mpaka 35 ikizidi sana 40 sasa unakuja kuuza gunia laki hiyo si ni kumkufuru Mungu muumba mbingu na nchi?
Hizo siyo akili bali kuwaumiza wakulima. Ruzuku yenyewe inatolewa kwa spana!
Serikali zetu hizi ni miyeyusho sanaHii ilinitokea 2018 lile jiwe lilizuia mahindi kuuzwa nje halafu katika msimu mzuri wa soko likaruhusu mahindi kutoka Zambia yaingie nchini.
Zee la hovyo
KuumA weweNdio nalima japo sio kibiashara
Kila gunia unapata faida ya elfu 10 baada ya miezi sita kuja kuvuna sishangai nchi yetu kila mtu amegeukia uchuuziMahindi hayapaswi kuzidi elfu 50 kwa gunia, mimi nalima na gharamaza za uzalishaji kwa gunia moja ni elfu 30 mpaka 35 ikizidi sana 40 sasa unakuja kuuza gunia laki hiyo si ni kumkufuru Mungu muumba mbingu na nchi?
Umepigia gharama za usafirishaji na vibarua?? Au mwenzetu we mwanga mchawi?Mahindi hayapaswi kuzidi elfu 50 kwa gunia, mimi nalima na gharamaza za uzalishaji kwa gunia moja ni elfu 30 mpaka 35 ikizidi sana 40 sasa unakuja kuuza gunia laki hiyo si ni kumkufuru Mungu muumba mbingu na nchi?
Mwakani wajiandae.kutakuwa na upungufu mkubwa wa mazao hasa mahindi. wakulima watapunguza kulimaKila gunia unapata faida ya elfu 10 baada ya miezi sita kuja kuvuna sishangai nchi yetu juu kila mtu amegeukia uchuuzi
Bashe Ni mnafiki mxurSerikali yenu Haina sera zinazotabirika kwenye Kilimo,Bashe alisema Serikali ikiwazuia Wananchi kuuza Nje atawajibika Kisiasa Hadi Sasa Yuko kimya..
Kumbukeni mwaka Jana wakati chakula kina bei mlikuwa mnamtukana Rais ndio kaamua acheze ngoma yenu.
Ponit Kam laki 159 serekali iko tayar kununuaAcha yazuiwe, kwanini mahindi yauzwe nje ya nchi wakati kuna uhaba wa chakula hapa nchini tayari.
Kama wanapata hasara inabidi Serikali iyanunue kwa hiyo bei wanayotaka wao ili tu yabaki TANZANIA
skupidii , in mama's voice! nakukumbudha binadamu tunaishi kwa kutegemranaaWakenya watakula hicho kingereza chao
Tuliwaambia Tangu February zuieni chakula kwenda nje, tukaambiwa Sisi siyo wakulima tunaishi mjini. Mimi mjini huwa nakwenda kuhudhuria semina za waandishi tu. Nakaa ushambani kwenye Baridi la nyanda za juu. Najua wanaofaidika na bei si wakulima na watukati.Bashe amegoma kujiuzuru?
Halafu watoto wa wakulima utawatibia wewe? Utawanunulia viatu na nguo?Kubwa sana hii,gunia halitakiwi kuzidi 55,000
Walanguzi wanapofaidika na wakulima nao wanafaidika gunia kutoka elfu 40 hadi 80 ni mafanikio shambani mazao yakishuka watu watalima wachache na kufanya bei iendelee kuwa juu watu wanaoishi mjini wasijidanganye mazao yataendelea kupanda tena zaidi gharama za kilimo zipo juu sana hakuna mtu anayependa kuingia hasara mimi naona mazao kutoka nje ni fursa ya watu kuongeza kulima zaidi kuzuia mazao kwenda nje ni maamuzi ya kisiasa tuTuliwaambia Tangu February zuieni chakula kwenda nje, tukaambiwa Sisi siyo wakulima tunaishi mjini. Mimi mjini huwa nakwenda kuhudhuria semina za waandishi tu. Nakaa ushambani kwenye Baridi la nyanda za juu. Najua wanaofaidika na bei si wakulima na watukati.
Niwatibie nini? Nilikuwa natetea wakulima ila baada ya kuona hawajielewi nimewakacha..Halafu watoto wa wakulima utawatibia wewe? Utawanunulia viatu na nguo?
Kuzuia chakula kwenda nje ni mwanzo wa umaskini mpya
Kuna kipindi wakuu wa wilaya walikuwa wanaamua tu wilaya hii hakuna kutoa nafaka nje ya wilaya basi mnabaki mnahangaika tu hakuna pakuuza mazao yenu.Serikali zetu hizi ni miyeyusho sana
Serikali inatakiwa iwawezeshe wananchi wake walio wengi waondokane na umaskini wa kipato waweze kununua chakula kwa bei itakayompa faida mfanyabiashara na mkulima.Hii nchi ni ngumu saana,mazao yakiruhusiwa yatoke nje..bei inapaa kias kwamba watu wanalalamika kununua maharage kilo 4000.
Serikali ikifunga mipaka pia mnalalamika..huwa mnataka nini hasa?