DR HAYA LAND
JF-Expert Member
- Dec 26, 2017
- 23,928
- 63,499
Hii ndio fwact yenyewe....mwanamke ni pambo inabidi atulie nyumbani kidume uchakarike.
Haya mambo ya kuoa mke yupo mwanza mume dodoma ni kudanganyana tuu hapo everybody will cheat its a matter of time tuu
Mambo ya watu wenye magego yaliyokomaa achana nayo.Utaota kibyongo/hunchback.Hebu nielimisha kuhusu ndoa mkuu. Kwa hiyo wanandoa wote hapa ullimwenguni wapo panoja wanaatamiana kama kuku anavyoatamia mayai? Hapa nchini hakuna wanandoa wanaoishi na kufanya kazi mikoa tofauti? Na hapa ulimwenguni hakuna wanandoa wanaishi na kufanya kazi nchi na mabara tofauti?
SubhanAllah 🙏Mleta mada umetamani kuolewa au ume tamani kazi alio iacha ..
tukuulize mama ww unafikiria na kiungo cha chini??Hivi akina mama kuna wakati wanafikiri kwa kutumia kiungo cha chini tu au ni namna gani wenzangu? Inakuwaje mama amshairi senior accountant kuacha kazi na yeye kweli anamsikiliza mama na kuacha kazi? Akina mama wamerogwa na nani hasa?
hili mleta mada haelewi na ndio aina ya wanawake wajinga hapa duniani wanaaibisha mama zetuUkifikiri kwa kina utakubaliana nami kwamba taasisi ya ndoa ni muhimu zaidi ya kazi. Ni katika ndoa ndipo panapotoa uelekeo wa aina ya watu katika familia na Taifa na si katika kazi.
Mimi mwanaume tuheshimiane Mkuu.Kwa hiyo hata ungekuwa wewe ungeacha kazi kumfuata mume? Ama kweli akili ni nywele!
Mkuu nimekuuliza kwani huoni alama ya? kwenye reply yangu hapo?Wewe unaijua hiyo familia mkuu? Inajiweza nini?
InategemeaKwa hiyo hata ungekuwa wewe ungeacha kazi kumfuata mume? Ama kweli akili ni nywele!
Itakuwa hukulelewa hukelelewa nyumbani bali umejilea mtaani.Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mama mzzazi amemshauri binti yake kuacha kazi ili kumfuata nume wake ambaye amehamishwa kikazi kwenda mkoa mwingine.
Kituko hiki kilitokea mnamo mwaka jana baada ya mume huyo kuhamishwa kutoka mkoa wa nyanda za juu kusini keenda mkoa wa kanda ya ziwa. Mume alipopata uhamisho, mke wake mwenye mtoto mmoja, ,aliyeolewa yapata miaka 3 iliyopita, alijaribu kuomba uhamisho ili kumfuata mumewe lakini waajiri wake walionekana kuchelewesha uhamisho wake wakati yeye aliomba kumfuata mumewe haraka iwezekanavyo.
Alipoona uhamisho unachelewa alimuendea mama yake mzazi kumuomba ushauri nini afanye. Bila kumumunya maneno, mama yake alimshauri kuacha kazi mara moja. 'Mume wako yupo kanda ya ziwa, wewe upo kanda ya nyanda za juu, hapo hakuna ndoa. Kama uhamisho wako unachelewa, acha kazi mara moja umfuate mumewe; shauri yako!' Alisikika mama akimshauri mwanaye.
Bila kusita, binti aliandika barua ya kuacha kazi yake ya uhasibu (senior accountant (CPA) na kumfuata mume. Sasa hivi ninapoandika uzi huu, huyo mwanamke ni mama wa nyumbani na hana namna ya kuajiriwa tena kwani umri wake umesogea.
MAONI YANGU
Hivi akina mama kuna wakati wanafikiri kwa kutumia kiungo cha chini tu au ni namna gani wenzangu? Inakuwaje mama amshairi senior accountant kuacha kazi na yeye kweli anamsikiliza mama na kuacha kazi? Akina mama wamerogwa na nani hasa?
Huu ushauri ungetolewa kwa mwanaume nina hakika angeupuuzilia mbali. Kwa kuwa akina mama alkili zao zinaishia kwenye urefu wa pua zao, ndio maana wanaweza kushawishika kuacha kazi kwa sababu tu ya kufuata m.b00 ambayo hata ichepuke kiasi gani haiishi.
Je, ingekuwa wewe mwanaJF ndiye umepewa ushauri wa aina hii, ungemsikiliza mama yako au ungetupilia mbali ushauri wake?
Ama kweli wewe ni Mnafiki Wa Kujitegemea . Mimi kutoa maoni yangu hapa kuna uhusiano gani na mipango ya serikali kuhusu uhamisho wa watumishi wake?Itakua
Itakuwa hukulelewa hukelelewa nyumbani bali umejilea mtaani.
Hivi unafahamu madhara ya NDOA ZA BLUETOOTH KWA MALEZI YA WATOTO?
Kwa nini hukuelekeza LAWAMA ZAKO USITAWI WA JAMII AU SERIKSLINI KWA KUTOTOA UHAMISHO KWA WATUMISHI NDANI YA MUDA MUAFAKA ETI UNATAKA MUENDELEE KULAWITI WATOTO KUTOKANA NA KUKOSA UANGALIZI,PUMBUVA KABISA WEWE.