Mama amshauri mwanaye kuacha kazi kisa ndoa

Mimi kwa maoni yangu naona kuacha kazi na kufuata mume ni upumbavu uliovuka mipaka. Kama wewe unaona ni sawa, hayo ni maoni yako mkuu.
Kunachokuumiza wewe nin au kipi kinakuwasha
 
Please compare the cost of losing the job and the benefit of staying together with wife/husband. These are two incomparable entities. Dont compare thresh (marriage) with treasure (employment).
Mbona una shupaa sana? Inakuhusu?
 
Kama amekuwa senior ni sahihi kuacha kazi.yawezekana anaenda kuendelea miradi.kazi za kuajiriwa Hadi ufikishe miaka 60ni utumwa na kudumaza maendeleo yako
 
Kwako wewe kuacha permant and lucrative employment kwa sababu ya mume ndicho kipaumbele chako?
Ulisikia wapi mwanamke kazi yake kutafta? Yeye ni kupokea na kukiandaa

Basi
Kulisha familia jukumu la baba wa familia

Mwanamke anafanya kazi amlishe nani
 
Sisi wanaume siyo wajibu wetu kumfuata mwanamke...

Mwanamke ana wajibu kumfuata mume popote aendako...

Na mwanamke ukitaka usiwe na ndoa, basi kaa mbali na mumeo...

Hivyo ndivyo nature ilivyo, ukatae ukubali.... Na ashindanaye na nature siku huumia yeye.
 
Huyo mama Yuko sahihi 100%,

Ingawa elimu na ujanja wa mjini ungetumika, ili ashame haraka.

Kama vile kuomba ruhusa bila malipo n.k
 
Kwako wewe kuacha permant and lucrative employment kwa sababu ya mume ndicho kipaumbele chako?
Tafuta pesa kijana, acha maakasiriko. Mwanamke ni PAMBO la kukaa nyumbani tu, hapaswi kufanya kazi yoyote zaidi ya kuhudumia mume. Hata vitabu vya dini vimesisitiza hilo.
 
Wewe tatizo tayari una notion yako kichwani, ungekuwa open minded usingewaza kwamba dada kaacha kazi kisa kufata unachokisema. Change your way of seeing things mkuu.
Tatizo la wa Afrika ndo hili. Kabla ya kuanza kuumizwa na mwanamke alieacha kazi,yanamhusu nini? Wanakula kwake? Wanapata nini?
Hapa kasema mwanamke kuajiliwa tena ni kipengele,eti umri umeenda. Hata jeshini unaweza kwenda,iwapo una ujuzi extra,wanaohitaji. Kwake mhasibu CPA anamuona mtu wa kawaida sana. Hata kuwaza kwamba anaweza hata kujiajili akili hizo,hana. Yaani,maama kukaa nyumbani,kwake,anapata tabu yeye. Aiseee. Ndo yale mkulima akipambana akapata,yanaanza ohhh kaenda kwa mganga.
 
Mimi mwenyewe nimemuachisha mke wangu kazi, inaelekea hujaoa na hujui maana ya mke.
 
Kwako wewe kuacha permant and lucrative employment kwa sababu ya mume ndicho kipaumbele chako?
Kama vile umetumia kichwa cha chini kufikilia. Mambo ya mke na mme,yanakuhusu nini?
Au CPA unadhani ni cheti cha wale manesi wa form 4? Mwenyewe unadai kazeeka,kwa umri wao,unajuaje hawajajiwekea lengo huenda la kuanzisha shughuli yao binafsi?
Alitoka kwao ili afanye kazi au kuhudumia familia yake?
Liumri lote ulilo nalo,unaona sifa sana kuajiliwa eh!!!
Kwa hiyo na siku mwanaume akiacha kazi,utaandamana,utaenda mahakamani kuwashitaki au vipi?

Viungo vya hii chai ni kupe:
Ungesema ni mtu wako wa karibu,huenda alikuja kukuomba ushauri,au alikuwa kipoozeo chako,useme hawaelewani,au alikuwa na hawala,mamkwe hakutaka mwanae aachwe, hapo kidogo tungekusikiliza. Lakini kwa mbinu hizo, labda utwambie una miaka 7 tokea umezaliwa,tutakupongeza.
 
Mimi mwenyewe nimemuachisha mke wangu kazi, inaelekea hujaoa na hujui maana ya mke.
Huyu inaonekana kuna mpangaji mwenzake alikuwa anapika na kumpelekea chakula chumbani kwake,au anamuanulia boxer na kuficha ndani kwake,maisha yanaenda kuhalibika.
Penye utata ni kwenye CPA.
 
Single mother atakuwa na ushauri gani mzuri kwa mwanae, alifikili ataachwa, kwa vile yuko mbali, huyo Mama bogus kabisa.
 
Team kataa ndoa....mwenyekitiiiiii. Njoo utupe mwongozo wa huyu mwanamke
 
Kuna mwanamke Wa kiarab Ana masters ya computer science Na bado yuko nyumban kwa mumewe siku zote mwanamke hakuumbwa kufanya kazi yeye ni mama Wa kutunza watoto Na mumewe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…