Mama amshauri mwanaye kuacha kazi kisa ndoa

Mama amshauri mwanaye kuacha kazi kisa ndoa

Huu mshahara siuachii aisee
 

Attachments

  • Screenshot_20240807_133521_Chrome.jpg
    Screenshot_20240807_133521_Chrome.jpg
    306.6 KB · Views: 6
Katika hali isiyokuwa ya kawaida, mama mzzazi amemshauri binti yake kuacha kazi ili kumfuata nume wake ambaye amehamishwa kikazi kwenda mkoa mwingine.

Kituko hiki kilitokea mnamo mwaka jana baada ya mume huyo kuhamishwa kutoka mkoa wa nyanda za juu kusini keenda mkoa wa kanda ya ziwa. Mume alipopata uhamisho, mke wake mwenye mtoto mmoja, ,aliyeolewa yapata miaka 3 iliyopita, alijaribu kuomba uhamisho ili kumfuata mumewe lakini waajiri wake walionekana kuchelewesha uhamisho wake wakati yeye aliomba kumfuata mumewe haraka iwezekanavyo.

Alipoona uhamisho unachelewa alimuendea mama yake mzazi kumuomba ushauri nini afanye. Bila kumumunya maneno, mama yake alimshauri kuacha kazi mara moja. 'Mume wako yupo kanda ya ziwa, wewe upo kanda ya nyanda za juu, hapo hakuna ndoa. Kama uhamisho wako unachelewa, acha kazi mara moja umfuate mumewe; shauri yako!' Alisikika mama akimshauri mwanaye.

Bila kusita, binti aliandika barua ya kuacha kazi yake ya uhasibu (senior accountant (CPA) na kumfuata mume. Sasa hivi ninapoandika uzi huu, huyo mwanamke ni mama wa nyumbani na hana namna ya kuajiriwa tena kwani umri wake umesogea.

MAONI YANGU
Hivi akina mama kuna wakati wanafikiri kwa kutumia kiungo cha chini tu au ni namna gani wenzangu? Inakuwaje mama amshairi senior accountant kuacha kazi na yeye kweli anamsikiliza mama na kuacha kazi? Akina mama wamerogwa na nani hasa?

Huu ushauri ungetolewa kwa mwanaume nina hakika angeupuuzilia mbali. Kwa kuwa akina mama alkili zao zinaishia kwenye urefu wa pua zao, ndio maana wanaweza kushawishika kuacha kazi kwa sababu tu ya kufuata m.b00 ambayo hata ichepuke kiasi gani haiishi.

Je, ingekuwa wewe mwanaJF ndiye umepewa ushauri wa aina hii, ungemsikiliza mama yako au ungetupilia mbali ushauri wake?
Mbona kama ushauri umetoka kwa mme? Kwani kuwa mama wa nyumbani ni vibaya? Kama wao hawalalamiki wewe kwa nini ulalamike unawalisha?
 
Mkuu ni wewe ndio umeambiwa uache kazi? Yeye mwenye mume kaona sawa, mama yake mzazi aliyemzaa na kumsomesha CPA kaona sawa wewe ambaye huusiki hata robo eti unakereka. Wewe ndio mwenye matatizo

Baada ya kuacha kazi wamekuja kukuomba hela ya kula?

Tuliza munkari we jamaa. Waache watu na maisha yao na mambo yao. Eti kaacha kazi kafata mbunye, ndio mawazo yako yameenda huko? Kama wewe unachukulia light mambo ya ndoa kuna wenzio wanachukulia serious. Nyie wenyewe kila siku mnasema hakunaga distance relationship sasa mtu akimfata mwenzie pia ni nongwa.

We jomba hebu jali mambo yako itakuzidishia afya
Huenda alikua mchepuko wake kazini akajua sasa atakua anajilia kila atakavyo. Ila ndo hivyo cha jirani hakistill matrak....
 
Binafsi naona mama huyo yuko sahihi, na mwanamke pia bado ni mwerevu na anaipenda familia yake.

Binafsi siwezi kukubali niwe na mke yupo kikazi mkoa tofauti na mm nilipo. Hii nimekataa imeshacost relationships zangu 2 mpaka sasa
Kwani mwanamke akikaa mkoa tofauti anakuwa haipendi familia yake mkuu?
 
Kwani mwanamke akikaa mkoa tofauti anakuwa haipendi familia yake mkuuAnawwza

Kwani mwanamke akikaa mkoa tofauti anakuwa haipendi familia yake mkuu?
Hata kama anaipenda. Shida ni upweke na vishawishi, Mwisho wa aiku mnakua na mahusiano ya watu wa4.

Na mwishowe mnavunja ndoa, nani anataka hayo? Hivi kazi ni lazima ufanye uko ulipo tu?
 
Napenda Sana huyo mama amekuwa Short and direct kumwambia binti yake afanye lolote ili asikose ndoa.
 
Ukiwa karibu na ndoa baada ya kuacha kazi unapata shilingi ngapi mkuu?
Hilo ni jukumu la mume ku provide sasa swali lako halina formula, wako watu wanawapa wake zao pesa kuliko mishahara. Mimi nampa mke wangu sawa na mishahara ya watu wa tano wafanyakazi wa serikali na wengine wanatoa kwa uwezo wao. Ndoa ni muhimu kuliko hizo kazi uchwara.
 
Back
Top Bottom