Huyu hajajua shimo alilolichimba,tumpe miaka kadhaa watoto wakue kwanza hawata waheshimu wazazi hilo walijue mapema,kwa kifupi watoto hawatataka kumuona,mwanaume mbinafsi sana malipo yake hapahapa duniani...kukosa mapenzi ya wazazi ilihali wapo hai mbaya sana...Harafu anajisifia kua watoto wako happy kwa shangazi yao,kila siku anawaona,ubinafsi wao mbaya sana hivi unaweza kufurahia kuishi kwa shangazi ili hali wazazi wapo naniwazima wa afya kabisa!elimu awapatie lakini ajue watoto hawatakua na mapenzi ya dhati kabisa na baba wameona na kujifunza kwake mengi.
Huyu hajajua shimo alilolichimba,tumpe miaka kadhaa watoto wakue kwanza hawata waheshimu wazazi hilo walijue mapema,kwa kifupi watoto hawatataka kumuona,mwanaume mbinafsi sana malipo yake hapahapa duniani...kukosa mapenzi ya wazazi ilihali wapo hai mbaya sana...Harafu anajisifia kua watoto wako happy kwa shangazi yao,kila siku anawaona,ubinafsi wao mbaya sana hivi unaweza kufurahia kuishi kwa shangazi ili hali wazazi wapo naniwazima wa afya kabisa!elimu awapatie lakini ajue watoto hawatakua na mapenzi ya dhati kabisa na baba wameona na kujifunza kwake mengi.
bora nawe umesema. Ye anaona akimwacha huyo mama na kuwapa watoto kila kitu huku wakipoteza upendo wa wazazi ni sawa. Baba mbinafsi huyu.Huyu hajajua shimo alilolichimba,tumpe miaka kadhaa watoto wakue kwanza hawata waheshimu wazazi hilo walijue mapema,kwa kifupi watoto hawatataka kumuona,mwanaume mbinafsi sana malipo yake hapahapa duniani...kukosa mapenzi ya wazazi ilihali wapo hai mbaya sana...
Nashukuru umeliona hilo, napenda mawazo kama haya, yanatia moyo sana, nikisoma coments zenu nikakutana na coment inasema neno ""samehe"" yaani natamani huyo mtoa comment angekua mbele yangu nimtwange hata vichwa vitano kwa hasira
Kuna mtu kutoka kanisani kwa ex wife aliwahi kuja kunihubiri nimsamehe huyo kahaba nilimpiga huyo jamaa hawezi kusahau alikimbia bila Viatu akipiga kelele za kuomba msaada
Nikisoma neno msamaha nasikia kichefuchefu kikali sana, hivyo naomba watu wasiliandike kabisa hilo neno
Nashukuru umeliona hilo, napenda mawazo kama haya, yanatia moyo sana, nikisoma coments zenu nikakutana na coment inasema neno ""samehe"" yaani natamani huyo mtoa comment angekua mbele yangu nimtwange hata vichwa vitano kwa hasira
Ww bwege kweli c uliomba ushauri unafikiri tukupe ushauri wa ubinafsi ushauri wakishetani wakuumiza mke wako nawatoto wako.UNAROHO MBAYA SNA AFADHALI YA SHETANI
Nani aliwaambia furaha inapatikana kwa wazazi pekee, halaf nani aliwaambia furaha inapatikana kwa mama alieleta mwanaume mwingine ndani kwa kitanda cha baba yao?bora nawe umesema. Ye anaona akimwacha huyo mama na kuwapa watoto kila kitu huku wakipoteza upendo wa wazazi ni sawa. Baba mbinafsi huyu.
"Bora kupoteza gari kuliko maumivu ya kuchapiwa mke kipenzi cha roho"Wakuu habari zenu,
Mwaka 2012 nilienda kozi nje ya nchi kwa miezi 3 hapa hapa Africa, nyuma niliacha mke na watoto wawili walio primary school,
nikiwa kozi rafiki yangu akawa anakwenda kulala kwangu mara kwa mara especially weekends, akawa analala chumbani kwangu, haijajulikana hadi leo walianza lini uhusiano huo, alikua akienda kwangu kwa gia ya kuwaona wanaendeleaje.
Niliporudi, nikakuta wife kamtimua kazi house girl wetu bila maelezo ya kueleweka, nikapuuzia, baadae rafiki kipenzi wa wife wa tangu shule na ambae wanasali jumuia moja maana amepanga mitaa yetu, akaniambia kwa urefu uhusiano wa wife na mshikaji wangu, ila kwa sharti la kutomtaja whatsoever the case.
Baadae nikaona niende kumtafuta yule housegurl aliefukuzwa kazi na wife nikampata, aka confirm habari zile na kunieleza kwa kirefu na ndio kisa cha yy kufukuzwa kazi pale kwangu baada ya kumuhoji kuwa " kwanini unamfanyia shemeji matendo haya.
Baada ya kujiridhisha nikamuita wife mbele ya wazazi wake na kueleza kila kitu akabaki kimya akilia, nikamkabidhisha kwa wazee wake hapo hapo, akiwa kwao aliendelea kunibembeleza na kuniomba msamaha kwa kutuma watu mbali mbali wenye heshima, sikurudi nyuma, akasafiri kijijini kwetu kuwaona wazazi wangu na kuwaangukia, alikaa huko mwezi mzima.
Baadae wakaja wote na wazazi wangu hadi kwangu, wakasema pamoja na yote yaliyotokea niishi nae hivyo ametubu, sio ombi ni amri ndio maana wamemleta wao, moyoni nikasema najua cha kufanya, nilishindwa kuwaelewa, wanamtetea mtu ambae ameniumiza despite kuwa nilimuachia kadi ya benki awe anachukua mshahara wangu kuendesha familia, mimi kule kozi nikawa naishi kwa chakula cha kulipiwa na posho kidogo tu.
Wazazi walipoondoka tu, nikaanza kumfanyia visa na matendo mabaya ili aondoke, nikatafuta msichana wangu nikawa najiachia nae pale mtaani bila woga, nakunywa nae bar za mtaani, nikaanza kuja nae home nalala nae chumba kingine, akawa anatufanyia fujo lakini namdhibiti kiume hadi tunajifungia chumbani, nilikua nafanya haya yote ili wife aondoke lakini wapi, yupo tu, anawapigia simu wazazi kushitaki wakinipigia nawaambia huyu ni mke wenu mimi nilimtimua nyinyi mkamleta tena, ni mke wenu.
Tumeishi kwa hali hii tangu 2012 hadi sasa, yule msichana wangu akachoka hizi vurugu akaamua kuniacha, sasa nina mwingine, sina uhakika kama yupo mwanamke huko nje angeweza kuvumilia matendo niliyomtendea huyu wife, lengo ni aondoke lakini hataki kuondoka hata baada ya kumu offer kugawana mali, watoto wameathirika sana na hizi vurugu huwa nikiwapeleka kwa dada yangu wanakataa kurudi
Lakini yote haya aliyasababisha yeye kwa tamaa, nilishamueleza tangu siku ya ndoa kanisani kuwa nitakusamehe yote lakini uzinzi huwa sisamehi, sijamgusa tangu 2012.
Wadau naombeni ushauri nimtoe vipi huyu mwanamke?
Au mnadhani ipo siku naweza kusahau usaliti wake na kumpenda?
Na kama ni kumuacha ndani tutaishi hivi hadi lini?
Kuhusu watoto mnaonaje niwaache uko uko kwa dada yangu walelewe huko wasomee huko huko? Maana tangu likizo ya December wamekatalia huko hivyo school bus huwa linawafuata huko badala ya kwangu.
Nitaheshimu mawazo yenu as my last resort.
mzazi ni mzazi tu. Hata kama mama akiwa mwizi, still watoto wake watabaki kuwa watoto wake. Watoto kuishi na baba na mama ni haki yao. Tena its is important for them kuishi na wazazi wote wawili. Swala la mama kuingia na mchepuko ndani, hiyo ni kosa amefanya. Ni funzo baya sana kwa watoto. Lakini mke na mume wanaposeparate na kuonyesha chuki za wazi mbele za watoto, hili ni fundisho gani kwao? Mistake ya kwanza iliyotokea, baba na mama waendelee kugombana huko na kumake sure wanatengeneza mistake ambayo mama alifanya mbele ya watoto. leo mtoto anaishi kwa shangazi, kesho akiwa na familia yake naye ataona sawa kuleta mchepuko ndani kwake ama kutimua mkewe na watoto akawatelekeza mahala. Jinsi wanavyogombana watoto wanaathirika zaidi.Nani aliwaambia furaha inapatikana kwa wazazi pekee, halaf nani aliwaambia furaha inapatikana kwa mama alieleta mwanaume mwingine ndani kwa kitanda cha baba yao?
Halaf wapo watoto wanaishi na baba na mama lakini wanashinda na mlo mmoja, wanasoma st kayumba, hawana matibabu, sasa yupi bora anaepata mahitaji yote wakati wazazi wametengana au anaeshinda kwa mlo mmoja na shule hana wala healthcare lakini anakaa na wazazi wote?
ahaaa kumbe tatizo lako nikupata mchepuko nje nasahv unataka kumleta ndani km mke poa nimekuelewa.ila ujue umejitengenezea bomu kubwa maishani kwa watoto wako hata uwape nn.watakuona baba mkatili kwa mama.baba alimwonea sna mama.labda hao wanyumba ndogo ndyo watakupenda.na uelewe wazi nyumb ndogo itakuwa hatari kwamchepuko atagawa uroda hadi kwa rafiki zako na usitie neno.WEKA AKIBA HAYO NAYOKUAMBIA NA IPO SIKU UTARUDI HAPA JF KUOMBA USHAURI.nasema hayo sbb nimeona meng km hayo yakwako.kila la heriAdhabu ya uzinzi kwa mke inajulikana, unfortunately haina mbadala
Ni kumuacha hata ikijirudia mara ngapi, hata hivyo sio muhimu kujadili jambo ambalo halijatokea
Na ni jambo la kushangaza kusamehe mzinzi uki assume hata ukioa mwingine atafanya tu
Nashukuru sana umenisaidia kujibu hili suala, kusamehe uzinzi ni jambo gumu sana, sina hakika sana kama watu wanaoshauri hivyo wameoa na kama ndio sijui kama wamewahi kusalitiwa, waliowahi kupitia uzoefu huu naweza kuwaelewa wanaposhauri suala la kusamehe dhambi ya uzinzi
Kwa hiyo mpenzi, unamshauri nini huyu muathirika wa ndoa?
Swali la kizushi.... ulitegemea atakuambia anaishi maisha mabaya baada ya kutendwa na kuamua kufanya ufuska home?
Unaamini watoto wanaishi maisha mazuri kwa shangazi na wala si kwa wazazi?
Unafikiri watoto hawampendi mama yao na wamefurahi baba yao kuwahamishia kwa anti?
Afu unajua navokumisi lakini?
Katika posts za JF ambazo watu wameshauri vizuri na kwa umakini ni hii yako ndugu yangu. Nayaelewa maumizvu yako ila washauri wengi wamekushauri vizuri sana sema tu hutaki kusikia pole sana kwa yaliyokusibu najua ni maumivu makubwa sana ila kuna msemo ngoja nijaribu kuuandika kwa kiswaili "sumu ya kutosamehe umuumiza zaidi asiye samehe kuliko mlengwa aliyetenda kosa" POLE SANANashukuru sana umenisaidia kujibu hili suala, kusamehe uzinzi ni jambo gumu sana, sina hakika sana kama watu wanaoshauri hivyo wameoa na kama ndio sijui kama wamewahi kusalitiwa, waliowahi kupitia uzoefu huu naweza kuwaelewa wanaposhauri suala la kusamehe dhambi ya uzinzi
hapo ndipo mnashangaza kweli, mnamlaumu huyu jamaa kwa aliyoyafanya kwan mwanzilishi ni nan? Ww kama mwanamke utaanzaje kuingiza wanaume kwenye nyumba ya mmeo mbaya zaid unalala naye kitandan huku watoto wako wakiwa wanaiona?Huyu hajajua shimo alilolichimba,tumpe miaka kadhaa watoto wakue kwanza hawata waheshimu wazazi hilo walijue mapema,kwa kifupi watoto hawatataka kumuona,mwanaume mbinafsi sana malipo yake hapahapa duniani...kukosa mapenzi ya wazazi ilihali wapo hai mbaya sana...
Nimekulipizia ulichonitendeaMie zaidi babu. Mwaka ukauanza bila taarifa ya mbuzi......
Huyo baba naniluu anaona watoto kwa sasa wanaelewa watambadilikia hataamini kwani watoto hawatamani kuishi na wazazi wao badala ya anti?
Nimeipenda hii....only to real men.Uzinzi hauna msamaha daima. Endelea na mbinu mbalimbali mpaka aondoke
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]Nashukuru umeliona hilo, napenda mawazo kama haya, yanatia moyo sana, nikisoma coments zenu nikakutana na coment inasema neno ""samehe"" yaani natamani huyo mtoa comment angekua mbele yangu nimtwange hata vichwa vitano kwa hasira
Kuna mtu kutoka kanisani kwa ex wife aliwahi kuja kunihubiri nimsamehe huyo kahaba nilimpiga huyo jamaa hawezi kusahau alikimbia bila Viatu akipiga kelele za kuomba msaada
Nikisoma neno msamaha nasikia kichefuchefu kikali sana, hivyo naomba watu wasiliandike kabisa hilo neno