Mama anamtetea mke wangu pamoja na kunisaliti

Mama anamtetea mke wangu pamoja na kunisaliti

Kwa kuwa na wewe ulishalipiza tena akiwa anaona hapo ngoma droo muanze upya kapimeni vvu kisha maisha yaendelee, ilimradi ulimripizia kwa matendo kama alivyo tenda.
 
Mm nilimuomba sana mdogo wang amsamehee mke wake lakin pale yaliponikuta mm ikawa ngumu kumesa chachu kumung'unya chungu kutema.mpaka leo mwanamke akizingua ni kipigo tu coz nikikumbuka tu matumizi sitoi akiwa na shida sisaidii mm na watoto wang tu kachoka mbaya.
Kuacha mke ni ushujaa kusamehee pia ni ushujaa
Kuoa mwingine ni ujinga bcs hw can yu guarantee her?
 
Mm nilimuomba sana mdogo wang amsamehee mke wake lakin pale yaliponikuta mm ikawa ngumu kumesa chachu kumung'unya chungu kutema.mpaka leo mwanamke akizingua ni kipigo tu coz nikikumbuka tu matumizi sitoi akiwa na shida sisaidii mm na watoto wang tu kachoka mbaya.
Kuacha mke ni ushujaa kusamehee pia ni ushujaa
Kuoa mwingine ni ujinga bcs hw can yu guarantee her?
Ujinga ni kuendelea kukaa na mzinzi, ni kichekesho cha aina yake kuishi na mzinzi kwa kuwa ukichukua mwingine atafanya hivyo pia, kwa hiyo wanawake wote tanzania ni wazinzi?

Kwamba tuache kuoga maana kesho kwa vyovyote vile tutachafuka tena, kama unazungumzia msamaha ww zungumzia msamaha kama ulivyo na usilete suala la kudai na mwingine atafanya hivyo,
Mwanaume mwenye kifua hawezi kuogopa kufukuza mzinzi kwa kuogopa mwingine pia atafanya hivyo

Mkeo ataishi akikudharau kuwa aligongwa na ukamsamehe, hata asipokuonesha Inside ndivyo atakua akijiambia
 
Mm nilimuomba sana mdogo wang amsamehee mke wake lakin pale yaliponikuta mm ikawa ngumu kumesa chachu kumung'unya chungu kutema.mpaka leo mwanamke akizingua ni kipigo tu coz nikikumbuka tu matumizi sitoi akiwa na shida sisaidii mm na watoto wang tu kachoka mbaya.
Kuacha mke ni ushujaa kusamehee pia ni ushujaa
Kuoa mwingine ni ujinga bcs hw can yu guarantee her?

Usizungumzie msamaha mkuu kwa huyu jamaa kajeruhika kama nini hapo mtakosana sasa hivi, hapendi kusikia kitu MSAMAHA so atakwambia mzinzi hasameheki yeye haya madhambi ya uzinzi hajawahi kushiriki hivyo mtakie tu kila la kheri alichokiamua.
 
Mimi mwanamke ambae ameamua kunicheat kwakweli mkataba ndio unaishia hapo hapo ata kama kardinal pengo ndio katufungisha ndoa
 
Ndio maana bora kupiga jaramba hili uingie kipindi cha pili cha mechi kuliko kuingia cha kwanza halafu unapigwa mbili bila....bora kucheza dakika mia ishirini za uchumba sugu maana mimi mkurya ninaweza kuwa jela aiseee kwa dhoruba alizopata jamaaa
 
Usizungumzie msamaha mkuu kwa huyu jamaa kajeruhika kama nini hapo mtakosana sasa hivi, hapendi kusikia kitu MSAMAHA so atakwambia mzinzi hasameheki yeye haya madhambi ya uzinzi hajawahi kushiriki hivyo mtakie tu kila la kheri alichokiamua.
Naomba uirudie kuisoma kwa mara ya pili comment ya huyu unae mnukuu

Anadai alisalitiwa, akasamehe, lakini hampendi tena mkewe, hampi msaada wowote, hata matumizi ya ndani hampi, ni yy na watoto wake tu, anadai mkewe kachoka ile mbaya,
Nadhani unaweza kuiona jela anayoishi huyu uliemnukuu, in plain words ameshindwa kumsamehe mkewe japokua anaishi nae
Ina maana anaishi na uchungu mwingi moyoni, kisa? Nitakueleza

kakosa kifua cha kumuacha mkewe, kutokana na udhaifu, yy anajidanganya kuwa ni watoto waliofanya asimuache mkewe kumbe sivyo ni kifua kidogo
sasa huyu ndugu ataishi hivyo hadi lini? Mmekua watumwa wa fikra, kwamba watoto watateseka halaf unaamua kuteseka ww
Injili hiyo haijaniongoa
 
Wewe unaonekana ni mojawapo ya chanzo cha tatizo kama ifuatavyo:
1. Hujiamini. Huwezi ruhusu rafiki yako aangalie familia yako ktk zama hizi za utandawazi kuna njia nyingi za kutake care. Na hapa ndio mkeo akatake advantage.
2. Huyo mwanamke umeshindwa kumcontrol na amejua madhaifu yako. (au ndio wale wenzetu wa fedha mke ni za mke na za mume ni za wote?)
3.Humfahamu vizuri mkeo, mpaka tabia inachange umeshindwa kufahamu. Kama kukusaliti hajaanza miezi 3.
 
Wewe unaonekana ni mojawapo ya chanzo cha tatizo kama ifuatavyo:
1. Hujiamini. Huwezi ruhusu rafiki yako aangalie familia yako ktk zama hizi za utandawazi kuna njia nyingi za kutake care. Na hapa ndio mkeo akatake advantage.
2. Huyo mwanamke umeshindwa kumcontrol na amejua madhaifu yako. (au ndio wale wenzetu wa fedha mke ni za mke na za mume ni za wote?)
3.Humfahamu vizuri mkeo, mpaka tabia inachange umeshindwa kufahamu. Kama kukusaliti hajaanza miezi 3.

Wewe bado ni mtoto mdogo, nimegundua hivyo kutokana na uliyoyaandika, haya hayawezi kuandikwa na mtu mkomavu katika maisha mwenye familia, hivyo ni kwa muktadha huo wa akili ya ujana nimekusamehe,
Utakapokua mtu mzima kiakili utaelewa haya tunayozungumza hapa
 
Sawa mkubwa. Imekuwaje sasa mkeo anavusha mpaka ndani bila woga. Nimeshawahi chepuka na wake za watu kama wawili suala la kupeleka watu kwao ilikuwa ni kitu ambacho hakiwezekani. Heshima bado ilikuwepo.
Kwasasa nimeoa ndoa halali ya kikristo kama unafikiri ni mtoto umekosea.
 
Mkuu pole sana. Ila kumletea madem hapo ni mbaya sana, na ujue watoto mshawaharibu kabisa. Nakushauri wewe hama for the sake of the children. Tafuta nyumba panga...yaani anza upya.. watoto usiwapeleke boarding japo sijajua their age, warudishe kwa mama yao, na ongea nao kwamba wewe unahama, but utakuja kuwasalimia anytime bila vizuizi vyovyote vile, mkubaliane na mkeo namna utakavyo watunza watoto. Wakina mama kuspoil watoto ni simple sana, but lisikutishe hilo, zungumza na Mungu wako, mwambie ulipo na unapotaka kwenda, achana na hao madem wanaokuchuna kavu kavu. Zingatia maisha na masomo ya wanao 100%, ukiweza kwa mwaka mzima drive them to school ukiongea nao in respect, tenga mwaka mzima wa kuwarudisha watoto kwenye right truck. Mama yao afanye yake kwa wakati wake. Mkubaliane watoto wenu ni bora kuliko nyie. hayo kwa leo mkuu... pole sana.
 
Sawa mkubwa. Imekuwaje sasa mkeo anavusha mpaka ndani bila woga. Nimeshawahi chepuka na wake za watu kama wawili suala la kupeleka watu kwao ilikuwa ni kitu ambacho hakiwezekani. Heshima bado ilikuwepo.
Kwasasa nimeoa ndoa halali ya kikristo kama unafikiri ni mtoto umekosea.
Maneno yangu kwamba hujakua yalitokana na comment yako

Umetamka hivi, ""utamuachaje rafiki aje kwako inaonekana hujiamini

""Umeshindwa kumcontrol mke wako

Nimenukuu kauli zako mbili hapo juu ndipo nikafika hatua ya kuamini ww ni mdogo

Acha nikusahihishe mkuu,
Ndugu zako na marafiki zako kuja kwako kukutembelea sio shida, sasa kama mm nimesafiri ndugu na marafiki wanakoma kuja kwako?
Umeacha binadamu wenye pumzi ya uhai ndani kwa miezi mitatu, watoto2 mke, hg etc, sasa rafiki zako kupita hapo kuwaona wanaendeleaje ni tatizo?
Mke kuzini ni suala la tabia halina uhusiano na rafiki kuja nyumbani,
Mm pia huwa naenda kuziona familia za marafiki zangu tulioshibana wanaposafiri kuwajulia hali

Pili, kuhusu ku mcontrol mke
Hapa ndipo nilipokushangaa, nawezaje kum control mke nipo safari? Nipo nje ya tanzania kwa miezi mitatu, namcontrol vipi mke hapo?

Matendo haya yamefanyika sipo, lakini hata hivyo mwanadam huwa anabadilika, kama ww hapo na mkeo mmeanza maisha vizuri baadae mmoja wenu anaweza kubadilika na kuwa mtu mbaya kiasi kuwa ukashangaa huyu ndie mlianza nae maisha pamoja!!!

Umedai huenda hatukufahamiana mapema, tulioana tu, nani kakudanganya kufahamiana sana wakati wa uchumba ni guarantee ya mke/mume kutobadilika kitabia? Yapo mambo mengi sana katika maisha yanayoweza kubadilisha mtu tabia, kila mtu anao uwezo wake wa kuhimili tamaa za mwili, yupo ambae mwisho wake ni wiki, mwezi, miezi,
Kwenye ndoa kuna vitu vingi sana

Uzinzi ni tatizo kubwa kwa sasa, wake za mabosi wanazini, wa mawaziri, wake za maskini na kadhalika, hakuna formula maalum ya usaliti,
Hivyo natarajia mtu yeyote mwenye ndoa kuvifaham vitu hivi, ndo maana kwa yale maandishi yako ya awali nikasema ni wazi huna ndoa na huna uzoefu wa maisha, hata hivyo umedai una ndoa tena ya kanisani, well siwezi kupinga, ila ni wazi unahitaji kujifunza mengi, utayajua mengi mbele ya safari yako ya ndoa

Vinginevyo huenda hukusoma mada vizuri ukaanza kuchangia tu mkuu
Good day
 
Poa poa mkuu. Lakini rafiki ndio mtu hatari sana. Mi rafiki yangu si lazima awe rafiki wa mke wangu.
 
kwa kosa hili dada yangu ni vigumu mno kumsamehe hasa ukizingatia aliyefanya hayo ni friend,sijui lakini uamuzi wa mwisho anao mwenyewe kwani ndiye anayeathirika......
Hakuna kosa lisilosameheka.
 
Miez mitatu kashindwa kuvumilia, huyo ni Malaya tu, mwamamke wa tabia hizo mgumu Sana kubadilika.muwe mnachunguzana vyema kabla ya kiapo
Teh teh teh teeeh!! Mtenda akitendwa[emoji134]
 
Tulishamalizana miaka mingi, tangu 2012 hatuna ndoa tena, sijaja hapa kuomba ushauri wa kufufua ndoa iliyokufa since 2012 nilikuja kuomba ushauri wa jinsi ya kumtoa kahaba kwangu maana amekatalia kwangu tangu mwaka huo tulioachana

It is advised to read very carefully before you start attempting questions
We mwenyewe ushakuwa kahaba, kwahiyo unganisheni nguvu tu mtafanya vyema, msiachane.
 
A
kama ametubu na kujutia kosa lake, huna budi kumsamehe for the sake of your children. Akija mama mwingine anaweza akakuvuruga kuliko huyo.
Nikiona comment kabla sijatazama jina huwa najua aliye comment Ni mwanamke, sijui kwa nini!
 
Mbona sasa hapo wote wameshakuwa wazinifu? Hakuna mwenye haki hapo.
Wanawake sijui hua mna akili gani
R u surr hakuna mwenye haki?
So for all those months unaleta mwanaume ndani tena kwenye kitanda changu n now u think me having affairs makes us equal?
 
Wanawake sijui hua mna akili gani
R u surr hakuna mwenye haki?
So for all those months unaleta mwanaume ndani tena kwenye kitanda changu n now u think me having affairs makes us equal?
Wanaume sijui mna akili gani(na mliambiwa mzitumie kuishi nasi) kwahiyo nawe kuingiza wanawake ndani kwako huku watoto wakishuhudia"eti kisa unamkomoa mkeo" unajiona booonge la genous eti?
 
  • Thanks
Reactions: nao
Usizungumzie msamaha mkuu kwa huyu jamaa kajeruhika kama nini hapo mtakosana sasa hivi, hapendi kusikia kitu MSAMAHA so atakwambia mzinzi hasameheki yeye haya madhambi ya uzinzi hajawahi kushiriki hivyo mtakie tu kila la kheri alichokiamua.
Hahahaaa! Hawa wazinzi bwana, bora uzinzi wao wangeufanyia mbali na watoto wao(maana vikojoleo vilishindwa kuwasiliana na akili), sasa watoto ndio wanaumia, kesho hao watoto watakuwa wazazi wa aina gani!!
 
Back
Top Bottom