Mama Bora aniteue Mimi niwe msaidizi wake wa hii sekta muhimu ya umeme. Namuhakikishia kwa 100% hatojutia maamuzi yake.
Nashindwa jinsi ya kumfikishia ujumbe Katibu Mkuu kiongozi Ili ajue ni namna gani watu wanaweza kusaidia maeneo nyeti kama haya kwa mustakabali wa maendeleo ya wananchi na TAIFA kwa ujumla wake
Nimefikia hatua najaribu kuwaza, hivi nchi hii kwanini watu hawana huruma na mamilioni ya watanzania? Kwanini rasilimali za nchi hii zinachezewa kwa manufaa ya wachache ambao wao ndio wanaona Wana hati miliki ya nchi hii wakati hii nchi ni ya watanzania wote na Wana haki ya kufaidika na utajiri au rasilimali za nchi ! JIBU ni HAPANA, HAPANA HAPANA.
MH. Rais , na MH. Katibu Mkuu Kiongozi, Kuna kitu inabidi mfanye Ili muache legacy ambayo kila kizazi kitawakumbuka. Waswahili Wana msemo unasema ukimchekea nyani mwishowe utavuna mabua. Chukueni maamuzi magumu japo wachache kwa maslahi Yao binafsi hayatawafurahisha lakini mtakua mmesaidia mamilioni ya watanzania na TAIFA letu litazidi kuheshimika duniaini.
Natamani kuonana nawe Mh. Rais , face to face tuongee mengi tu, ikishindikana basi Katibu Mkuu Kiongozi. Naomba tuwasiliane kama hamtojali, japo naamini ujumbe huu mtaupata ila mta-ni-underate na kunipuuzia, POA HAKUNA TATIZO ILA SIKU MOJA MTAKUJA KUNIELEWA KUWA NILIKUWA SAHIHI KWA MUDA SAHIHI.
MY PROFILE
1. Sio mchumia tumbo, na sio chawa na siutaki uchawa.
2. Mwaka 2020 niliomba kuteuliwa na Chama kupitia CCM kugombea Ubunge na kwa bahati mbaya kura za maoni hazikuniwezesha kusonga mbele.
3. Mwaka huu January niliomba Chama kiridhie kupitisha jina langu kugombea nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia CCM, katika majina yaliyokuwa yanasambaa mitandaoni jina langu lilikuwa namba 3, likitanguliwq na la Mh. Sophia Simba, Mtemi Chenge, then la kwangu linafuata.
4. Uchaguzi wa CHAMA CHA MAPINDUZI - niliomba nafasi ya Mwenyekiti wa CCM Mkoa, na MJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA CCM, huko jina langu lilichinjiliwa mbali kabisaa.
Anyway, nisiwachose , naendelea kutumikia serikali yangu kwa nafasi niliyopo and I feel proud with my career lakini naumia kuona namna Gani watu wanashindwa kuwa na uchungu na maisha ya watanzania ambao ni mamilioni ya watu huku wao wakifanya mambo ya kifisadi kwa maslahi Yao na familia zao.
Binafsi nasema hapana, something should be done.
I believe that still your not late, you can do something better for the benefits of the majority of citizens and the entire nation.
Nawatakia kazi njema na Mungu awape maoni mazuri ya kuliongoza TAIFA letu.
ASANTE.
Nextpresd
.