Mama anatafuta njia ya kumrudisha Kalemani bila kumuudhi January, miezi 3 sasa bado hajapata njia sahihi

Mama anatafuta njia ya kumrudisha Kalemani bila kumuudhi January, miezi 3 sasa bado hajapata njia sahihi

Mkuu unamtafutia Kalemani force death?
thetallest hakika Dkt Kalemani atulie kabisa maana January na Baba yake walishasema watu wazuri hawafi, watamuua Dkt wa watu bila ganzi maana uchu wa wizi walionao ni balaa, yaani kama huyo beanz na 1 wivyojikausha bila hata kumtaja
 
Yule jamaa si kasome usuluhishi wa migogoro huko marekani

Ampeleke foreign akaoneshe umahiri wake

Hizi sector zingine awaachie wabobezi.
 
Kalemani hawezi kurudishwa ni mkristo
Sio swala la udini. Ni mambo ya kitaalamu zaidi. Ni political and economic orientation. Yaani ni mtizamo wa mhusika kisiasa na kiuchumi. Either ni populist au pragmatist, either ni progressive or non- progressive.

Hii ni Karne ya 21, Karne ya biashara, Karne ya kujenga smart partnerships kati ya Nchi na Nchi, kati ya Nchi na Multinationals, Karne ya Science and technology!

Hatuwezi kujifungia ndani na kuanza kuita watu majina. Hatuwezi kuendelea kutumia lugha za wakati wa kutafuta uhuru. Tunatakiwa kutumia lugha za kujenga, kushirikisha kuaminiana na wakati huo huo kujua tunachotaka kukifanya. Inatakiwa watu wenye muono mpana ( wide worldview) wa mambo ya Dunia, watu wenye exposure na wanaojua namna ya kuongea na kupangilia mambo Yao hapo nyumbani na kwenye uwanda wa kimataifa.
 
Mama katika Baraza lake hamna mtu ambaye hamuelewi Kama dogo janja. Sio kwamba hampendi bali ni uwezo wake mdogo na kupenda rushwa.

Mama ana wasiwasi Sana na dogo janja. Mpaka mama alikuwa anamwambia mdau wake mmoja kuwa Nina wasiwasi Sana Kama hili bwawa litaweza kuzalisha hata uniti moja chini ya dogo janja.

Kwa miezi 3 sasa mama anatafuta njia ya kumrudisha Kalemani mjengoni bila kumkasirisha dogo janja lkn bado hajapata. Aliwahi kwenda kwa mstaafu kuomba ushauri akaambiwa muache kabisa huyo 'last born'.

Akaenda kwa Mumogadishu kuomba ushauri, akaambiwa huyo ukimgusa tu anakimbilia Twitter kupost zile Picha zake za mtu anaota Moto kwa ngazi. Wakuu kwa vile mama anapita hapa kila siku ebu tumpe ushauri wa kusolve hii inshu.
Amoe dogo ubalozi
 
Sasa mkuu wa nchi akifanya kaz kwa kumuogopa mtu si itakuwa balaa..?! Mm nafikiri awaite wote meza moja Kaliman na Uyo dogo janja na awaambie dogo janja mpe mzee funguo alafu wewe nakupa kaz ingine tena ikiwezekana ampeleke kule kule Muungano na mazingira.!
 
Mama katika Baraza lake hamna mtu ambaye hamuelewi Kama dogo janja. Sio kwamba hampendi bali ni uwezo wake mdogo na kupenda rushwa.

Mama ana wasiwasi Sana na dogo janja. Mpaka mama alikuwa anamwambia mdau wake mmoja kuwa Nina wasiwasi Sana Kama hili bwawa litaweza kuzalisha hata uniti moja chini ya dogo janja.

Kwa miezi 3 sasa mama anatafuta njia ya kumrudisha Kalemani mjengoni bila kumkasirisha dogo janja lkn bado hajapata. Aliwahi kwenda kwa mstaafu kuomba ushauri akaambiwa muache kabisa huyo 'last born'.

Akaenda kwa Mumogadishu kuomba ushauri, akaambiwa huyo ukimgusa tu anakimbilia Twitter kupost zile Picha zake za mtu anaota Moto kwa ngazi. Wakuu kwa vile mama anapita hapa kila siku ebu tumpe ushauri wa kusolve hii inshu.
Sukuma gang unaweweseka.
 
Mama katika Baraza lake hamna mtu ambaye hamuelewi Kama dogo janja. Sio kwamba hampendi bali ni uwezo wake mdogo na kupenda rushwa.

Mama ana wasiwasi Sana na dogo janja. Mpaka mama alikuwa anamwambia mdau wake mmoja kuwa Nina wasiwasi Sana Kama hili bwawa litaweza kuzalisha hata uniti moja chini ya dogo janja.

Kwa miezi 3 sasa mama anatafuta njia ya kumrudisha Kalemani mjengoni bila kumkasirisha dogo janja lkn bado hajapata. Aliwahi kwenda kwa mstaafu kuomba ushauri akaambiwa muache kabisa huyo 'last born'.

Akaenda kwa Mumogadishu kuomba ushauri, akaambiwa huyo ukimgusa tu anakimbilia Twitter kupost zile Picha zake za mtu anaota Moto kwa ngazi. Wakuu kwa vile mama anapita hapa kila siku ebu tumpe ushauri wa kusolve hii inshu.
Katika mawaziri ambao niliona waliondolewa kifitna ni Kalemani.Frankly hapa-kuwa na sababu ya kumuondoa Kalemani,he was such a hard working young man.Makamba ni dogo wa michongo tu,hamna kitu Ukweli ni kwamba Samia lazima asimamia interests za nchi.Dogo aondolewe,Kalemani arudi,lolote liwalo na liwe hatuwezi kulinda interests za a few indivuals.Kikwete kuleee..........,tunamjua huyoo. hajali maslahi ya Watanzania kabisa.
 
Wachunga ng'ombe ni washamba sana,ni wendawazimu kufikiri eti Kalemani ni very special kuliko mtu yoyote.
Tatizo kubwa la wachungang'ombe ni ushamba.
 
Sio swala la udini. Ni mambo ya kitaalamu zaidi. Ni political and economic orientation. Yaani ni mtizamo wa mhusika kisiasa na kiuchumi. Either ni populist au pragmatist, either ni progressive or non- progressive.

Hii ni Karne ya 21, Karne ya biashara, Karne ya kujenga smart partnerships kati ya Nchi na Nchi, kati ya Nchi na Multinationals, Karne ya Science and technology!

Hatuwezi kujifungia ndani na kuanza kuita watu majina. Hatuwezi kuendelea kutumia lugha za wakati wa kutafuta uhuru. Tunatakiwa kutumia lugha za kujenga, kushirikisha kuaminiana na wakati huo huo kujua tunachotaka kukifanya. Inatakiwa watu wenye muono mpana ( wide worldview) wa mambo ya Dunia, watu wenye exposure na wanaojua namna ya kuongea na kupangilia mambo Yao hapo nyumbani na kwenye uwanda wa kimataifa.
Kwa hiyo Makamba ndiyo ana hivyo vitu? shame on you
 
Mama katika Baraza lake hamna mtu ambaye hamuelewi Kama dogo janja. Sio kwamba hampendi bali ni uwezo wake mdogo na kupenda rushwa.

Mama ana wasiwasi Sana na dogo janja. Mpaka mama alikuwa anamwambia mdau wake mmoja kuwa Nina wasiwasi Sana Kama hili bwawa litaweza kuzalisha hata uniti moja chini ya dogo janja.

Kwa miezi 3 sasa mama anatafuta njia ya kumrudisha Kalemani mjengoni bila kumkasirisha dogo janja lkn bado hajapata. Aliwahi kwenda kwa mstaafu kuomba ushauri akaambiwa muache kabisa huyo 'last born'.

Akaenda kwa Mumogadishu kuomba ushauri, akaambiwa huyo ukimgusa tu anakimbilia Twitter kupost zile Picha zake za mtu anaota Moto kwa ngazi. Wakuu kwa vile mama anapita hapa kila siku ebu tumpe ushauri wa kusolve hii inshu.
amiri jeshi mkuu(wa polisi, TISS, JWTZ, Immigration etc) anamuogopa kibaka? haiingii akilini....
 
Mama katika Baraza lake hamna mtu ambaye hamuelewi Kama dogo janja. Sio kwamba hampendi bali ni uwezo wake mdogo na kupenda rushwa.

Mama ana wasiwasi Sana na dogo janja. Mpaka mama alikuwa anamwambia mdau wake mmoja kuwa Nina wasiwasi Sana Kama hili bwawa litaweza kuzalisha hata uniti moja chini ya dogo janja.

Kwa miezi 3 sasa mama anatafuta njia ya kumrudisha Kalemani mjengoni bila kumkasirisha dogo janja lkn bado hajapata. Aliwahi kwenda kwa mstaafu kuomba ushauri akaambiwa muache kabisa huyo 'last born'.

Akaenda kwa Mumogadishu kuomba ushauri, akaambiwa huyo ukimgusa tu anakimbilia Twitter kupost zile Picha zake za mtu anaota Moto kwa ngazi. Wakuu kwa vile mama anapita hapa kila siku ebu tumpe ushauri wa kusolve hii inshu.
Dogo kawekwa pale kimkakati, na mkakati mkubwa ni kwamba 2025 wanatengeneza ngome imara ambayo itatoa support kwenye future ya dogo ya ndoto ya Urais baada ya 2025. na sehemu ambayo anaweza tengeneza mazingira wezeshi (pesa na Credibility ni hapo Nishati ambako anaonekana na kusikika kila uchwao!!

Ushauri kwa Mama,
Ukitaka kumuua Kima usimwangalie usoni, ni mwenye uso wa simanzi za unafiki, kutokumdhibiti ni kutengeneza ubovu wa kesho yako, Dogo janja atakuharibia. Huku mtaani Bumbuli wanachama wa Bumbuli Development Project wameripuka nao wanadai walisainishwa kama wananchama wanaohitaji 1Billion loan kutoka moja ya Pension fund (by then) lkn hawajawahi hata kuona Mia ikifanya chochote katika ile miradi ilizungumziwa wakati wa vikao.... nao wanamwona Dogo kama mwendelezo wa janga... mama Shituka! hata mtoto anayependwa sana na wazazi wake huenda ndo anarishishwa uchawi!!!
 
Mama katika Baraza lake hamna mtu ambaye hamuelewi Kama dogo janja. Sio kwamba hampendi bali ni uwezo wake mdogo na kupenda rushwa.

Mama ana wasiwasi Sana na dogo janja. Mpaka mama alikuwa anamwambia mdau wake mmoja kuwa Nina wasiwasi Sana Kama hili bwawa litaweza kuzalisha hata uniti moja chini ya dogo janja.

Kwa miezi 3 sasa mama anatafuta njia ya kumrudisha Kalemani mjengoni bila kumkasirisha dogo janja lkn bado hajapata. Aliwahi kwenda kwa mstaafu kuomba ushauri akaambiwa muache kabisa huyo 'last born'.

Akaenda kwa Mumogadishu kuomba ushauri, akaambiwa huyo ukimgusa tu anakimbilia Twitter kupost zile Picha zake za mtu anaota Moto kwa ngazi. Wakuu kwa vile mama anapita hapa kila siku ebu tumpe ushauri wa kusolve hii inshu.
Kalemani ndiyo yule ID yake inaitwa Suzy Elias
 
Ramli chonganishi........Ila hawa mbuzi wache walaluane wenyewe Kwa wenyewe
Hawa ni mbuzi lakini kuwaacha wararuane wenyewe kwa wenyewe haina tija sisi ndio waathirika.......tusichoke kukemea japo SAUTI zetu hazizingatiwi lakini inasaidia kuwapa woga kuwa kuna watu wanaolia....... wanaweza kupunguza Kasi ya ulaji
 
Mkuu vp hii wizara aliyepolekwa dogo janja?
DKwanza ampeleke kwenye wizara ambayo ipo kimya kidogo yaani haivumi sana wala haina impact Moja kwa moja kwa wananchi!

Kama mazingira, Muungano, sanaa na utamaduni!! yaani amfiche kama alivomficha mchengerwa!

Halafu Kalemani arudi kwake!
V
 
Back
Top Bottom