Mama anatafuta njia ya kumrudisha Kalemani bila kumuudhi January, miezi 3 sasa bado hajapata njia sahihi

Mama anatafuta njia ya kumrudisha Kalemani bila kumuudhi January, miezi 3 sasa bado hajapata njia sahihi

MSAGA SUMU

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2015
Posts
6,661
Reaction score
21,656
Mama katika Baraza lake hamna mtu ambaye hamuelewi Kama dogo janja. Sio kwamba hampendi bali ni uwezo wake mdogo na kupenda rushwa.

Mama ana wasiwasi Sana na dogo janja. Mpaka mama alikuwa anamwambia mdau wake mmoja kuwa Nina wasiwasi Sana Kama hili bwawa litaweza kuzalisha hata uniti moja chini ya dogo janja.

Kwa miezi 3 sasa mama anatafuta njia ya kumrudisha Kalemani mjengoni bila kumkasirisha dogo janja lkn bado hajapata. Aliwahi kwenda kwa mstaafu kuomba ushauri akaambiwa muache kabisa huyo 'last born'.

Akaenda kwa Mumogadishu kuomba ushauri, akaambiwa huyo ukimgusa tu anakimbilia Twitter kupost zile Picha zake za mtu anaota Moto kwa ngazi. Wakuu kwa vile mama anapita hapa kila siku ebu tumpe ushauri wa kusolve hii inshu.
 
Wabongo bwana! January yupo pale hadi 2030. Tunajua mna wivu lakini vumilieni tu. Mnazidi kuiponda Serikali, pamoja na January, wenzenu wanazindua miradi tu, Wanakopeshwa na kukopesheka, na wanaongoza bila wasiwasi. Watu wanakula kuku, huku nyinyi mnapiga ramli za kuwanga atatoka lini. Poleni Wabongo roho mbaya.
 
Mama katika Baraza lake hamna mtu ambaye hamuelewi Kama dogo janja.
Sio kwamba hampendi bali ni uwezo wake mdogo na kupenda rushwa. Mama ana wasiwasi Sana na dogo janja. Mpaka mama alikuwa anamwambia mdau wake mmoja kuwa Nina wasiwasi Sana Kama hili bwawa litaweza kuzalisha hata uniti moja chini ya dogo janja.
Kwa miezi 3 sasa mama anatafuta njia ya kumrudisha Kalemani mjengoni bila kumkasirisha dogo janja lkn bado hajapata. Aliwahi kwenda kwa mstaafu kuomba ushauri akaambiwa muache kabisa huyo 'last born'. Akaenda kwa Mumogadishu kuomba ushauri, akaambiwa huyo ukimgusa tu anakimbilia Twitter kupost zile Picha zake za mtu anaota Moto kwa ngazi.
Wakuu kwa vile mama anapita hapa kila siku ebu tumpe ushauri wa kusolve hii inshu.
Hahaha 🤣
 
Mama katika Baraza lake hamna mtu ambaye hamuelewi Kama dogo janja.
Sio kwamba hampendi bali ni uwezo wake mdogo na kupenda rushwa. Mama ana wasiwasi Sana na dogo janja. Mpaka mama alikuwa anamwambia mdau wake mmoja kuwa Nina wasiwasi Sana Kama hili bwawa litaweza kuzalisha hata uniti moja chini ya dogo janja.
Kwa miezi 3 sasa mama anatafuta njia ya kumrudisha Kalemani mjengoni bila kumkasirisha dogo janja lkn bado hajapata. Aliwahi kwenda kwa mstaafu kuomba ushauri akaambiwa muache kabisa huyo 'last born'. Akaenda kwa Mumogadishu kuomba ushauri, akaambiwa huyo ukimgusa tu anakimbilia Twitter kupost zile Picha zake za mtu anaota Moto kwa ngazi.
Wakuu kwa vile mama anapita hapa kila siku ebu tumpe ushauri wa kusolve hii inshu.
Kwanza ampeleke kwenye wizara ambayo ipo kimya kidogo yaani haivumi sana wala haina impact Moja kwa moja kwa wananchi!

Kama mazingira, Muungano, sanaa na utamaduni!! yaani amfiche kama alivomficha mchengerwa!

Halafu Kalemani arudi kwake!
 
Mama katika Baraza lake hamna mtu ambaye hamuelewi Kama dogo janja.
Sio kwamba hampendi bali ni uwezo wake mdogo na kupenda rushwa.

Mama ana wasiwasi Sana na dogo janja. Mpaka mama alikuwa anamwambia mdau wake mmoja kuwa Nina wasiwasi Sana Kama hili bwawa litaweza kuzalisha hata uniti moja chini ya dogo janja.

Kwa miezi 3 sasa mama anatafuta njia ya kumrudisha Kalemani mjengoni bila kumkasirisha dogo janja lkn bado hajapata. Aliwahi kwenda kwa mstaafu kuomba ushauri akaambiwa muache kabisa huyo 'last born'.

Akaenda kwa Mumogadishu kuomba ushauri, akaambiwa huyo ukimgusa tu anakimbilia Twitter kupost zile Picha zake za mtu anaota Moto kwa ngazi. Wakuu kwa vile mama anapita hapa kila siku ebu tumpe ushauri wa kusolve hii inshu.
Kwamba anawaogopa WANADAMU kuliko Kumwogopa Mungu?

Kwa maana imeandikwa HAKI huinua Taifa, na RUSHWA hupofusha ufahamu.

Bt naamini unasaga tu SUMU!!!!
 
Kwanza ampeleke kwenye wizara ambayo ipo kimya kidogo yaani haivumi sana wala haina impact Moja kwa moja kwa wananchi!

Kama mazingira,Muungano,sanaa na utamaduni!!yaani amfiche kama alivomficha mchengerwa!

Halafu kalemani arudi kwake!
Watanzania hatuna tatizo na nani awe wazli, eidha febluary or much shida ya watanzania ni paformance yenye +outcome.
 
Mama katika Baraza lake hamna mtu ambaye hamuelewi Kama dogo janja.
Sio kwamba hampendi bali ni uwezo wake mdogo na kupenda rushwa.

Mama ana wasiwasi Sana na dogo janja. Mpaka mama alikuwa anamwambia mdau wake mmoja kuwa Nina wasiwasi Sana Kama hili bwawa litaweza kuzalisha hata uniti moja chini ya dogo janja.

Kwa miezi 3 sasa mama anatafuta njia ya kumrudisha Kalemani mjengoni bila kumkasirisha dogo janja lkn bado hajapata. Aliwahi kwenda kwa mstaafu kuomba ushauri akaambiwa muache kabisa huyo 'last born'.

Akaenda kwa Mumogadishu kuomba ushauri, akaambiwa huyo ukimgusa tu anakimbilia Twitter kupost zile Picha zake za mtu anaota Moto kwa ngazi. Wakuu kwa vile mama anapita hapa kila siku ebu tumpe ushauri wa kusolve hii inshu.
Sukuma gang kazini
 
Mama katika Baraza lake hamna mtu ambaye hamuelewi Kama dogo janja.
Sio kwamba hampendi bali ni uwezo wake mdogo na kupenda rushwa.

Mama ana wasiwasi Sana na dogo janja. Mpaka mama alikuwa anamwambia mdau wake mmoja kuwa Nina wasiwasi Sana Kama hili bwawa litaweza kuzalisha hata uniti moja chini ya dogo janja.

Kwa miezi 3 sasa mama anatafuta njia ya kumrudisha Kalemani mjengoni bila kumkasirisha dogo janja lkn bado hajapata. Aliwahi kwenda kwa mstaafu kuomba ushauri akaambiwa muache kabisa huyo 'last born'.

Akaenda kwa Mumogadishu kuomba ushauri, akaambiwa huyo ukimgusa tu anakimbilia Twitter kupost zile Picha zake za mtu anaota Moto kwa ngazi. Wakuu kwa vile mama anapita hapa kila siku ebu tumpe ushauri wa kusolve hii inshu.
Haaaaaa haaaaaa.
 
Mama Bora aniteue Mimi niwe msaidizi wake wa hii sekta muhimu ya umeme. Namuhakikishia kwa 100% hatojutia maamuzi yake.
Nashindwa jinsi ya kumfikishia ujumbe Katibu Mkuu kiongozi Ili ajue ni namna gani watu wanaweza kusaidia maeneo nyeti kama haya kwa mustakabali wa maendeleo ya wananchi na TAIFA kwa ujumla wake

Nimefikia hatua najaribu kuwaza, hivi nchi hii kwanini watu hawana huruma na mamilioni ya watanzania? Kwanini rasilimali za nchi hii zinachezewa kwa manufaa ya wachache ambao wao ndio wanaona Wana hati miliki ya nchi hii wakati hii nchi ni ya watanzania wote na Wana haki ya kufaidika na utajiri au rasilimali za nchi ! JIBU ni HAPANA, HAPANA HAPANA.
MH. Rais , na MH. Katibu Mkuu Kiongozi, Kuna kitu inabidi mfanye Ili muache legacy ambayo kila kizazi kitawakumbuka. Waswahili Wana msemo unasema ukimchekea nyani mwishowe utavuna mabua. Chukueni maamuzi magumu japo wachache kwa maslahi Yao binafsi hayatawafurahisha lakini mtakua mmesaidia mamilioni ya watanzania na TAIFA letu litazidi kuheshimika duniaini.

Natamani kuonana nawe Mh. Rais , face to face tuongee mengi tu, ikishindikana basi Katibu Mkuu Kiongozi. Naomba tuwasiliane kama hamtojali, japo naamini ujumbe huu mtaupata ila mta-ni-underate na kunipuuzia, POA HAKUNA TATIZO ILA SIKU MOJA MTAKUJA KUNIELEWA KUWA NILIKUWA SAHIHI KWA MUDA SAHIHI.

MY PROFILE
1. Sio mchumia tumbo, na sio chawa na siutaki uchawa.
2. Mwaka 2020 niliomba kuteuliwa na Chama kupitia CCM kugombea Ubunge na kwa bahati mbaya kura za maoni hazikuniwezesha kusonga mbele.
3. Mwaka huu January niliomba Chama kiridhie kupitisha jina langu kugombea nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya muungano wa Tanzania kupitia CCM, katika majina yaliyokuwa yanasambaa mitandaoni jina langu lilikuwa namba 3, likitanguliwq na la Mh. Sophia Simba, Mtemi Chenge, then la kwangu linafuata.
4. Uchaguzi wa CHAMA CHA MAPINDUZI - niliomba nafasi ya Mwenyekiti wa CCM Mkoa, na MJUMBE WA HALMASHAURI KUU YA CCM, huko jina langu lilichinjiliwa mbali kabisaa.


Anyway, nisiwachose , naendelea kutumikia serikali yangu kwa nafasi niliyopo and I feel proud with my career lakini naumia kuona namna Gani watu wanashindwa kuwa na uchungu na maisha ya watanzania ambao ni mamilioni ya watu huku wao wakifanya mambo ya kifisadi kwa maslahi Yao na familia zao.

Binafsi nasema hapana, something should be done.
I believe that still your not late, you can do something better for the benefits of the majority of citizens and the entire nation.

Nawatakia kazi njema na Mungu awape maoni mazuri ya kuliongoza TAIFA letu.

ASANTE.
Nextpresd



.
 
Mama katika Baraza lake hamna mtu ambaye hamuelewi Kama dogo janja.
Sio kwamba hampendi bali ni uwezo wake mdogo na kupenda rushwa.

Mama ana wasiwasi Sana na dogo janja. Mpaka mama alikuwa anamwambia mdau wake mmoja kuwa Nina wasiwasi Sana Kama hili bwawa litaweza kuzalisha hata uniti moja chini ya dogo janja.

Kwa miezi 3 sasa mama anatafuta njia ya kumrudisha Kalemani mjengoni bila kumkasirisha dogo janja lkn bado hajapata. Aliwahi kwenda kwa mstaafu kuomba ushauri akaambiwa muache kabisa huyo 'last born'.

Akaenda kwa Mumogadishu kuomba ushauri, akaambiwa huyo ukimgusa tu anakimbilia Twitter kupost zile Picha zake za mtu anaota Moto kwa ngazi. Wakuu kwa vile mama anapita hapa kila siku ebu tumpe ushauri wa kusolve hii inshu.

Huyo “Mama” yako hana lolote!

Siku hizi udhaifu wa Mama wana wabebesha viongozi wengine.

Acheni unafiki.

Hujui kama Mama=Makambas
 
Mama katika Baraza lake hamna mtu ambaye hamuelewi Kama dogo janja.
Sio kwamba hampendi bali ni uwezo wake mdogo na kupenda rushwa.

Mama ana wasiwasi Sana na dogo janja. Mpaka mama alikuwa anamwambia mdau wake mmoja kuwa Nina wasiwasi Sana Kama hili bwawa litaweza kuzalisha hata uniti moja chini ya dogo janja.

Kwa miezi 3 sasa mama anatafuta njia ya kumrudisha Kalemani mjengoni bila kumkasirisha dogo janja lkn bado hajapata. Aliwahi kwenda kwa mstaafu kuomba ushauri akaambiwa muache kabisa huyo 'last born'.

Akaenda kwa Mumogadishu kuomba ushauri, akaambiwa huyo ukimgusa tu anakimbilia Twitter kupost zile Picha zake za mtu anaota Moto kwa ngazi. Wakuu kwa vile mama anapita hapa kila siku ebu tumpe ushauri wa kusolve hii inshu.
Aende March au April
 
Kalemani ni mtu shupavu, alisema nguzo haziuzwi, bila woga kwani hapo Tanesco kuna mtu anaitwa "bwana nguzo" na anafaidi sana. Aliinyoosha Tanesco, sijui ni kwa nini aliondolewa. Rea ilienda vizuri sana, tena sana. Mama, nakuomba mrudishe Kalemani.
 
Back
Top Bottom