Babu tale kasema eti diamond ni mluguru....
Wachaga hatuna uswahili kama wa mondiNdiyo kwao. Na ndio maana anaakili ya kutafuta. Nilijiuliza maswali mengi sana kuhusu akili ya Mondi.
Ukiangalia akili ya kiba na Dai tofaut ni kubwa sana. Sasa ndiyo nimeelewa kwanini Daimond ni fighter na Akili kubwa. Hakuna Muha anaweza kuwa akili kubwa namna hiyo na akatengeneza pesa hivyo. Muha ni Muha tu
π π πBasi inaonekana bi sandra "kakitembeza" sana enzi za ujana wake....hii familia bana mama malaya, baba malaya, watoto malaya
Doooh....Yaaani Mama kaona kheri ambadilishie baba mtoto ..kuliko.huyo mzee Nasibu kupata hela ya DaimondHii familia pesa na umaarufu unaivuruga vibaya.
Official Documents zote za Diamond zina jina la Naseeb Abdul ????Hivi hiikisheria imekaaje?
Huyu mzee kutumika Jina lake kipindi chote hicho?
Au kudharirishwa hivyo?
Diamond mikataba yake na Makampuni?,
This is totally embarrassment kwa yule mzee
Wanaweza msababishia depression ambayo haipo,
Tafsiri yake kwa mtu mzima kama yeye ni kama kutaka kumuua,
Pata picha mzee Ana pressure,moyo etc
Unaposema mzigo unamaanisha nini maana inaonekana huyo mama Dangote alikuwa demu tu wa mzee abdul ambaye hakuzaa naye mtoto yeyote.Hi iwe funzo kwetu vijana
Tunawaachia mzigo mzito sana akina dada wanateseka sana
Kisha sisi tunawaponda huku tukiwaita single motherβs [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Yap huku Uluguruni kuna majina ya Nyange,inawezekana ni hivyo kama ni kweli baba yake wa ukwelikweli ana ubini wa NyangeBabu tale kasema eti diamond ni mluguru....
Ulivyomalizia umeniacha hoiTujuane sasa ; kwahiyo Daimond ni Mchaga wa wapi ? Tuanze kumfanyia matambiko ya kichaga. Nillan na Tifa Wote waje Uchagani wapatambue kwao na asili yako.
Hii move ni tamu kutumia Jina la baba mlezi mbona ni kawaida sana. Mtoto ni Mali ya Serikali, Mtoto ni wa Mama na Serikal tu Mwanaume ni mlezi na muangalizi tu.
Hata Yesu hana Baba, Joseph alikuwa ni mlezi na muangalizi tu .
Diamond arudi kwao Uchagani apajue na ajue ndugu zake.
Mdomo ukizidi ni shida ; Mzee Abdul alipewa heshima sana lakini hakuweza kukituliza.
Daimond ukisikiliza nyimbo yake na Flavor ya Nana utasikia akipataja kwao na kilevya chao cha Asili. Tatizo wabongo hamjui kusoma Alama. The guy was trying to expose his Masonic truth. Diamond haimbi kitu isipokuwa anatoa ujumbe.
Ukisikiliza Kwangaru, anapataja kwao upande wa Mama yake. Diamond knew this since day one [emoji3516], kuwa yeye ni wa KILIMANJARO!
Mzee Abdul imeisha hiyo ; Muha ni Muha tu . Shaka yangu huyu mzee asije kufa kwa stress. Na siku nyingine atambue waandishi wa Habari ni mashetani, hawakuachi mpaka wakuingize shimo.
kwa kuangalia picha tu huyu anaonrkana kua na undugu na Mond but kwa nini mama afiche ukweli miaka yote hiyo? hapa ndo inakuja kujidhihirisha kwamba WANAWAKE NI NDUGU NA SHETANI ISHINI NAO KWA AKILIHuyu ndio mzee Nyange mwenyewe ππππ duh.
View attachment 1678088
Nimeitizam ile intvw ya Mzee Abdul na Mama yake D.kwa kuangalia picha tu huyu anaonrkana kua na undugu na Mond but kwa nini mama afiche ukweli miaka yote hiyo? hapa ndo inakuja kujidhihirisha kwamba WANAWAKE NI NDUGU NA SHETANI ISHINI NAO KWA AKILI
Huyu Mama haaminiki, jana katika Radio kasema Esma ndugu kwa mama tumbo moja baadae akasikika Esma mtoto wa dada yangu mara Mzee Abdu hakumlea Diamond mara Queen Darlin ndugu na Diamond wamelelewa na baba mlezi hata hujui lipi ndio lipi mimi nadhani hawa wakamatwe wote hata yeye Mama wakipimwe DNA inawezekana hata Mama alimuiba huyu Diamond π€£ π€£ π€£ π€£Tatizo Watanzania tupo nyuma sana kimaendeleo,nchi za watu hata baba mlezi ni baba.So undugu wa queen na Nassibu unatokana na baba mlezi
Naunga hoja 100%, yupi bora aliyekataa kabisa hata jina lake au huyu aliyejaribu hata kutoa jina lake na kusaidia kulea hata kama sio kipesa yupi bora? kweli Mama mswahili sana au bora huyo Uncle Shamte ambaye hata clinic hajaenda ale pesa...Huyu mama ni mkosi!! Na huenda alikuwa "changu"!
Sasa anaemwita baba mlezi ndie anaelalamikiwa kuwa alimtelekeza Dimond akiwa mtoto, na hastahili chochote...
Huyu anaedaiwa kuwa baba mzazi ambaye inaonekana ndie haswaa alikimbia kabisa majukumu, si ndio atatukanwa matusi ya nguoni!
Mungu hawezi kukupa kila kitu, atakupa pesa na umaarufu...atakunyima mama mwenye akili!
Tatizo mshua hana back upp,simuiti mzee maana kanipita tumiaka tu.Official Documents zote za Diamond zina jina la Naseeb Abdul ????
Hizi Drama impact yake itakuja kuwa kishindo kizito.
Wazee Abdul wapo wengi,wewe unamzungumzia yupi?