Mkuu wamama achana nao, hata hivyo sitashangaa huyo Mama Diamond akikanusha na kusema Baba yake ni Masanja
Yawezekana huko kwa wazazi wake kuna msimamo wake si lazima kuweka uswazi, kawaachia ligi wazazi wake, maana wakati wanamtafuta yeye hakuwepo zilikuwa starehe zaoToto jinga lisilo na msimamo, yeye mwenyewe hovyo, anashindwaje kuamua jambo hilo mwenyewe tu??
Mkandamizaji huyuhuyu au?
Hata ningekuwa mimi ningetulia waparurane wenyewe huko maana zilikuwa ni starehe zao.Diamond atagawanwa mpaka akome, 😀😀😀
Hujui Morogoro kuna sehemu iligawanywa kwa ajili ya watu wa Kilimanjaro enzi za nyerere?
Hata ningekuja mimi ningetulia waparurane wenyewe huko maana zilikuwa ni starehe zao.
Lucy Nkya, Mchagga, amewahi kuwa Mbunge Morogoro Kusini Mashariki kupitia CCM
Jona Nkya, Mchagga, amewahi kugombea ubunge Mikumi kupitia CCM
Huyu mama katuletea balaa, sijui lengo lake ni ada zisilipwe njanuary hii mpaka mkemia mkuu atoe tamko[emoji2297][emoji2297][emoji2297]
Asante, unajua sahizi ni mtu mzima na ana watoto pia akiwaendekeza wale atachanganyikiwa, wakati wanatafutana hakuwepo, kama wao hawakubahatika kupata pesa au utajiri basi wamwache wanamvuruga tu.Kwa hili umenizidi hekima Mkuu, much respect
Yaani angetulia mtu mwenyewe aliwakimbia lakini anapewa chochote angejikalia kimya ale anachopewaHajatumia akili hata chembe, yeye angejikausha zake, huyo mzee Abdul angefanyiwa hisani tuu kwani shilingi ngapi kumpa hata kwa mwezi laki 5 zingemtosha. Sasa sijui kafaidika nini
Aiseee!!
Sema Morogoro kuna makabila mengi yaliyojimilikisha baadhi ya maeneo aise. Pale Dumila ni kama vile pamekuwa pa wamaasai.Kweli, vijana hawajui historia.
waende Kilombero, Kilosa na Ifakara wakashangae wachagga na wasukuma walivyojazana
Asante, unajua sahizi ni mtu mzima na ana watoto pia akiwaendekeza wale atachanganyikiwa, wakati wanatafutana hakuwepo, kama wao hawakubahatika kupata pesa au utajiri basi wamwache wanamvuruga tu.
Sema Morogoro kuna makabila mengi yaliyojimilikisha baadhi ya maeneo aise. Pale Dumila ni kama vile pamekuwa pa wamaasai.
Nashangaa namna mtu anavyoenda kuhama kabila kizembe tu. Kazi kweli kweli aise.Naambie sister, unashangaa tena
[emoji16][emoji119]Toto jinga lisilo na msimamo, yeye mwenyewe hovyo, anashindwaje kuamua jambo hilo mwenyewe tu??
Nashangaa namna mtu anavyoenda kuhama kabila kizembe tu. Kazi kweli kweli aise.