Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange

Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange

Nyange uchagani ipo. Bila shaka ni marangu au mwika. Marangu kuna soko la kwa Nyange linaitwa Kinyange! Dayamondi disemba inabidi aungane na wakwao wakahesabiwe mjini mtuache
 
hawa wapogoro mkuu, kama kina babu tale.

Mondi angekua mchaga angekuwa anashinda bar, angekua mpare angekua analia ugali kwa picha ya samaki

Hakuna ushahidi wa kihistoria mkuu unaoonyesha kuwa Ukoo wa Nyange upo upogoroni au kabila lingine isipokuwa kwa Wachagga na kidogo kwa wapare, tena wapare ni kutokana na kuwa kuna Nyange mmoja alikimbizwa uchagani akatokea maeneo ya Mamba huko upareni.
Hiyo ni historia unaweza ingia hata mtandaoni kutafuta.

Majina ya kipare yanayoanzia na Herufi N, ukoo wa Nyange nimeukoleza kwa wino mzito

Nachai, Ndago, Ngasu, Ngomoi (Same), Ngomuo (Ugweno), Nguve, Ngwijo, Niarira, Nisaghurwe, Nkima, Ntarishwa, Ntekaniwa, Nyange (Jina hili lipo zaidi kwa Wachagga lakini linatumika hata kwa wapare. Kwa Wachagga ni ukoo ambapo kwa Wapare ni jina tu la kawaida), Nzao, Nziajose, Nziamwe,
 
[emoji23][emoji23][emoji23] ni kweli kabisaaa. Wanajua kuzira wale wazee balaaa. Sitashangaa kweli kama dai mchagga maana ana spirit ya kuoambana sana. Ila hizi tabia za mama yake pooh mbaka. Mungu aniepushe sana

Why Mkuu lakn mko na hii spirit..?

Nakumbuka nikiwa shule moja huko uchagani, Muuza duka mmoja aliyefahamika kwa jina la Ulomi, alikuja shuleni na panga kabisa kumsaka mwanafunzi mwenzetu aliyemkopesha kitu cha 200, eti ajarudisha kwa wakati.! Seriously deni la 200 unadai na panga!
 
Sasa mzimu wa Nyange wamtesa Mzee Abdul
Aah wapi. Hauwezi mdhuru. Najiuliza mama yake dai alikua..

1. Anafanya sex kwa wakati mmoja kwa mzee abdul at the same time na mzee Nyange kiasi cha kutomtambua baba ni yupi kati yao.

2. Mzee nyange alikataa mimba ndo akambambikizia mzee Abdul?

3. Endapo mzee Abdul alijua na akakubali kuwa responsible as baba na kumfichia aibu kwanini leo hii afanye hivi?

Bibi Sandra ni mchawi karaaba.

Nachoamini... Mzee Abdul hajafunguka bado. Akifunguka tutatafutana. Wanaume wana madhaifu yao ila wanatusitiri sana aisee na mambo yetu. Heshima sana kwa huyu mzee. Kwangu mimi angeendelea kuwa baba na ningemuheshimu na huduma zote angepata. Diamond ni mtu mzima sasa aache ujinga asimame kama mwanaume na afanye kinachostahili.
 
Why Mkuu lakn mko na hii spirit..?

Nakumbuka nikiwa shule moja huko uchagani, Muuza duka mmoja aliyefahamika kwa jina la Ulomi, alikuja shuleni na panga kabisa kumsaka mwanafunzi mwenzetu aliyemkopesha kitu cha 200, eti ajarudisha kwa wakati.! Seriously deni la 200 unadai na panga!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa unataka kucheka na kima kwenye hela? It is get rich or die trying. Na tola enzi watu wanamiliki mabunduki huko kiia dk 0 tu
 
Aah wapi. Hauwezi mdhuru. Najiuliza mama yake dai alikua..

1. Anafanya sex kwa wakati mmoja kwa mzee abdul at the same time na mzee Nyange kiasi cha kutomtambua baba ni yupi kati yao.

2. Mzee nyange alikataa mimba ndo akambambikizia mzee Abdul?

3. Endapo mzee Abdul alijua na akakubali kuwa responsible as baba na kumfichia aibu kwanini leo hii afanye hivi?

Bibi Sandra ni mchawi karaaba.

Nachoamini... Mzee Abdul hajafunguka bado. Akifunguka tutatafutana. Wanaume wana madhaifu yao ila wanatusitiri sana aisee na mambo yetu. Heshima sana kwa huyu mzee. Kwangu mimi angeendelea kuwa baba na ningemuheshimu na huduma zote angepata. Diamond ni mtu mzima sasa aache ujinga asimame kama mwanaume na afanye kinachostahili.

Mama Diamond ameona mzee anapiga kelele nyingi so ameamua kumpiga one to goo ili kumfunga mdomo. Sitegemei kama Mzee Abdul atarudisha shambulizi lolote kwani aliyopikwa ni TKO
 
Ukimsikiliza baba Diamond alipohojiwa na Zamaradi unaweza ukapata picha jinsi mama Diamond alivyokuwa ana gawa tunda hadi baba Diamond akanona hili si tunda tena bali ni frame ya kupangisha aisee..... halafu nimegundua kuwa hata Esma siyo mtoto wa mama Diamond kabisa..... lakini ni wazi kabisa mzee Abdul ana katariwa tuu kwakuwa hana hela na huyo mama anapenda sana kulalwa kiufupi..........
Huyu baba wangemsitiri lakini kwa haya wanaoyomfanyia hayatakaa yawaache........
Huyu mama aiseeee ni kiboko yani inaonekana alikuwa anafanya biashara ya kuuza mwili kabisa kama ukimsikiliza kwa makini baba Diamond.........aiseee
Ingia kwenye link hii utaelewa usiyoyajuwa.

Issue ni kuzima skendo la Esma la madawa ya kulevya na ujambazi, hiyu mzee Abdul ni victim wanamtumia kama cover tu.

Hawa matapeli kumbe wanatumia nguvu kubwa ili kuficha skendo la Esma watu wasahau.

 
Mama Diamond ameona mzee anapiga kelele nyingi so ameamua kumpiga one to goo ili kumfunga mdomo. Sitegemei kama Mzee Abdul atarudisha shambulizi lolote kwani aliyopikwa ni TKO
Sawa hatukubali... kampiga TKO. Lakini amejichafua mno. Yeye anaona ni sifa lkn outcome yake ni just soon enough tutaiona. Heshima ni kitu cha bure sana.
 
Ndoa inaumuhimu wake hasa linapokuja suala la umiliki wa mali wakiwemo watoto.
Mwanamke akiamua kukuchapa kama hakuna ndoa anakuchapa hasa kwenye inshu ya mtoto kama hakuna ndoa rasmi. Kisa cha Muna Love na Baba Patick, ponea ponea ya Baba Patrick ilikuwa ni ndoa, hivyo kisheria Patrick alikuwa mwanaye, hata kama kibaolojia sio.

Na mwanamke kwenye suala la mali huchapika zaidi kama hakuna ndoa, ni rahisi kudhulumiwa na mumewe na kesi huwa ngumu zaidi.
Ila kama kuna ndoa kesi huwa bwerere hata wanaume tunajua hilo
Yes. Exactly.
 
Uko right hawajulikani, ila ndio wewe huyo mwenye ID nyingine???????????????, mimi Naona kuna viwango, huwezi kumfananisha Diamond na familia yake,, this is entertainment industry, media inawajenga,kwa status aliyopo Mond kwenye career yake hawezi kuikwepa media labda astaafu music ndio atapumzika, huyo bakhresa na Mo je wanategemea media kufanya wale mkate wao wa kila siku??? The answer is NO, kwangu mimi Naona unafananisha tui la nazi na maziwa
Hawa matapeli kumbe wanatumia nguvu kubwa ili kuficha skendo la Esma watu wasahau.

 
Kuna wanawake ni hovyo hovyo kabisa. Well, wapo wanaume ni hovyo pia lakini ninachoona hapa ni "Keeping up with the Diamonds"! Trending throughout on social platforms n' earning more cheddar!

Ningekuwa katika nafasi ya Naseeb nisingekubali huu upuuzi(japo kwake ku trend mitandaoni ndio priority)
Hawa matapeli kumbe wanatumia nguvu kubwa ili kuficha skendo la Esma watu wasahau.

 
Hata mimi namuonea huruma sana mwisho ataanza ku doubt Hata hao watoto wengine km ni wa kwake, very sad,,,, mimi kinachonishangaza KWA NINI WAMELIIBUA SASA HIVI NA WAKATI LILIKUA LINAJULIKANA KITAMBO??!? Kilichowafanya lililokua Siri walitoe?
Hawa matapeli kumbe wanatumia nguvu kubwa ili kuficha skendo la Esma watu wasahau.

 
Sawa hatukubali... kampiga TKO. Lakini amejichafua mno. Yeye anaona ni sifa lkn outcome yake ni just soon enough tutaiona. Heshima ni kitu cha bure sana.

Mama Diamond hataki heshima anachotaka ni pesa, huoni anamuita Mzee abdul baba mlezi alafu wakati huo huo anasema Mzee Abdul hakumlea Diamond na aliikataa mimba yake. Huoni kama anajichanganya hapo.

Baba ili awe mlezi si ni lazima atoe huduma, sasa Mzee Abdul anakuwaje Baba mlezi alafu muda huo huo haihudumii familia yake akiwepo Diamond?

Hapo ndio unajua huyo Mama ni kichwaa boksi
 
Back
Top Bottom