Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu Mzee nimemuonea huruma Sana . Ila malipo ni hapa hapa duniani
Familia ya kiswahili.Haya sasa
Kumekucha.
Hii familia ina vibweka Sana.
Hata urafiki haupo ScarsKwa hiyo mzee abdul kwa diamond ni kama rafiki tu?
Haswa...ila tofuti mmoja kalala na mama wa mmoja...............Kwa hiyo mzee abdul kwa diamond ni kama rafiki tu?
Tena ni mluguruWanawake tunapitia mengi sana dah. Kumbe ndio maana mzee Abdul hakuona shida kugoma kusomesha diamond na kumtelekeza...
Ndio maana Diamond hajawahi kuwatambulisha watoto wake kwa Mzee Abdul maskini
Mzee Abdul uligoma hudumia mtoto kwa chochote sasa umekosa mtoto
Diamond, Kaka yake na Marehemu baba yao. Mzee alikua na damu Kali sana Yaani huulizi[emoji3][emoji3][emoji3]
View attachment 1678244
Umeona point ya kutooa hapo inavyopata nguvu?Hata urafi haupo Scars
Mama ana mind sana dingi lakini hili swla linahitaji hekima zaidi.Kuna kipande cha kuikamilisha hii story anacho Mama Dangote,sisi wengine tutabaki kuhisihisi.
Pia wamefanana, na kwanini walikua wanamuomba pesa za matunzo?Yaan wamemtumia wee saiv wanamuona hana maana ila najiuliza kama sio baba yake kwann anatumia jina lake badala ya huyo mzee wake anayemuona wa maana
Na wewe unafikaga huku!!Haswa...ila tofuti mmoja kalala na mama wa mmoja...............
Huyo mama ni snitch ana mdomo mchafu sijui kama anaulia chakulaHaswa...ila tofuti mmoja kalala na mama wa mmoja...............
Mzee ameongea kwa hasira sana, hekima itumike kulimaliza hili swala.Huyu Mzee nimemuonea huruma Sana . Ila malipo ni hapa hapa duniani
Sana huyu yeye angekula buyu kama mzee wake Mwana Fa.Mama ana mind sana dingi lakini hili swla linahitaji hekima zaidi.