Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange

Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange

Yaan wamemtumia wee saiv wanamuona hana maana ila najiuliza kama sio baba yake kwann anatumia jina lake badala ya huyo mzee wake anayemuona wa maana
Na amesema waache kutumia jina lake atawapeleka mahakamani

Ila yalianza zamani kumbe

20210115_181537.jpg
 
Sana huyu yeye angekula buyu kama mzee wake Mwana Fa.

Mzee wake Mwana Fa kuna picha yake kapiga,yupo bar anakula nyagi alafu anaonekana hana time kabisa yani na yeye mwenyewe alivyo hojiwa wala hajutii.
Niliangalia interview ya Mwana FA na Salama Jabir, alikua kwa shida sana ana haki ya kumdiss dingi yake.
 
Mtu wa kuondoa utata ni mama D,kuna gap hapa hili jina la Abdul alilipata vipi,je huyo mzee Nyage mpaka anavuta alikuwa anajua Nasibu mwanae.???????????????
Jina sio issue, muhimu ni ukweli au uongo wa taarifa yenyewe! Kama habari ni za kweli basi inawezekana Mzee Abdul alisakiziwa uja uzito lakini mwenyewe alipokuja kushituka, ndo maana akasepa mazima!!
 
Weee usiniambie
Acha kabisa...wee ukitaka kujia wanayajua mambo...pamoja na nyuzi za kutukataza wanaume kuoa single maza lakini watu wanazama tuu kwa hao warembo....sasa wee ulishabwagwa unadhani utaleta ujinga ukipata mwanaume mwengine...hapo lazima ufanye ufundi wote.
 
Niliangalia interview ya Mwana FA na Salama Jabir, alikua kwa shida sana ana haki ya kumdiss dingi yake.

Yule dingi yake ni bandidu hata sura yake inajieleza hajali kabisa.

Dingi yake Ommy nae anakomaa na bajaj tu,ingawa kama anatiatia huruma lkn si mtu wa kamera sana kaamua ajitafutie riziki mwenyewe.

Najiuliza huyu mzee Nyage mpaka umauti unamkuta,alikuwa anajua Nasibu ni mwanae? Je hiyo mzee Abdul alishawahi kuambiwa ,yeye siye baba bali Nyage ndiye mtoto?

Yaani kuna sitofahamu nyingi ambazo mama D inabidi azimalize.
 
Jina sio issue, muhimu ni ukweli au uongo wa taarifa yenyewe! Kama habari ni za kweli basi inawezekana Mzee Abdul alisakiziwa uja uzito lakini mwenyewe alipokuja kushituka, ndo maana akasepa mazima!!
Kama kasepa sasa karudi kufanya nini?Si angeendelea na maisha yake.
 
Mtu wa kuondoa utata ni mama D,kuna gap hapa hili jina la Abdul alilipata vipi,je huyo mzee Nyage mpaka anavuta alikuwa anajua Nasibu mwanae.???????????????
Mzee Nyange alikataa mimba, mzee Abdul nae akakataa mimba lakini akaendelea kujivinjari na mama Diamond.

Kwa maelezo ya mama Diamond amelea mwenyewe. Kasema mzee Abdul tangu akatae mimba hakuwahi jishughulisha na matunzo ya mtoto na akasisitiza japo walikua pamoja yeye aliendelea kumlea mwanae mwenyewe hadi walipotengana

Wanaume mjue tuu wanawake ni wavumilivu lakini kuna point wakifika wanakua wabaya kuliko ubaya wenyewe!!!!! Yaani Mungu alipowaambiwa muishi na wanawake kwa akili na hii ndio maana yake🙌🙌🙌
 
Jina sio issue, muhimu ni ukweli au uongo wa taarifa yenyewe! Kama habari ni za kweli basi inawezekana Mzee Abdul alisakiziwa uja uzito lakini mwenyewe alipokuja kushituka, ndo maana akasepa mazima!!
Mzee Abdul kapanick sana.
 
Formally stated, Newton's third law is: For every action, there is an equal and opposite reaction. The statement means that in every interaction, there is a pair of forces acting on the two interacting objects. The size of the forces on the first object equals the size of the force on the second object.

Mama kwa kusema hivi anajua hata image yake yeye mwenyewe inaharibika.
Tafsiri rahisi ni kuwa leo hii kuna wanaume wanalea watoto ambao sio wao, huku wamama wakijua kabisa wenye watoto.
Itokeapo changamoto ya maisha ndio siri hizi udhihilika.
 
Kama kasepa sasa karudi kufanya nini?Si angeendelea na maisha yake.
Alisepa kama ambavyo huwa wanasepa mababa wengi, na akarudi kama ambavyo huwa wanarudi mababa wengi! Itakuwa alisepa enzi anaitwa Naseeb, akaja kurudi enzi anaitwa Diamond!! Hivi huoni hata bond ya Diamond na Queen Darleen ni kama ya ku-force tu?! I don't see any affection kutoka kwa Diamond kwenda kwa QD kama ile aliyonayo kwa Esma! Sijawahi kuona wala kusikia Diamond akiwatolea watu povu kuhusu QD lakini mara kibao tu huwa anatoa kwa ajili ya Esma!
 
Back
Top Bottom