Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange

Tena ni mluguru
 
Formally stated, Newton's third law is: For every action, there is an equal and opposite reaction. The statement means that in every interaction, there is a pair of forces acting on the two interacting objects. The size of the forces on the first object equals the size of the force on the second object.

Mama kwa kusema hivi anajua hata image yake yeye mwenyewe inaharibika
.
 
Huyu mama ni mkosi!! Na huenda alikuwa "changu"!

Sasa anaemwita baba mlezi ndie anaelalamikiwa kuwa alimtelekeza Dimond akiwa mtoto, na hastahili chochote...
Huyu anaedaiwa kuwa baba mzazi ambaye inaonekana ndie haswaa alikimbia kabisa majukumu, si ndio atatukanwa matusi ya nguoni!

Mungu hawezi kukupa kila kitu, atakupa pesa na umaarufu...atakunyima mama mwenye akili!
 
Nikiwatazama bado naona, Nasibu anafanana na Abdul kuliko Salum

Inawezekana baba mzazi mwenye mashaka alinyang'anywa mtoto baada ya kuonesha mashaka na kugoma kutoa huduma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…