Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange

Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange

Maana ya baba ni malezi


Na sio Mzazi


Hata wodini hakuna wodi ya wazazi (baba).

Bali baba ni kwa malezi yupo sahihi mondi.
Mpaka hapo ushanizingua kwa nini tukiwapachikaga mimba mnaulizwa mimba ni ya nani kama sisi sio wazazi mtoto siku zote ni wa mwanaume
 
Basi sawa tunaanzisha mchakato wa kuzungusha bakuli kumchangia baba feki wa Diamond pesa ya kumlipia bima ya afya atibiwe miguu imeanza kuoza.
Wazee wetu wengi tuu hawana bima wala hakuna anayewapa goodtime ila hakuna anayekumbuka kuwachangia sababu hawana umaarufu.

Sasa wewe Daudi toa pesa kwa Mzee Abdul apate bims wakati baba yetu kubwa pale kijijini hana bima wala pesa ya kipimo cha malaria😎
 
Shida inakuja hapa (IMO); ujauzito haukuwa wa Mzee Abdul, na yeye akaukataa ujauzito huo na akakataa kushiriki kwenye malezi ya Diamond; ni sawa kabisa. Kwa hiyo Bi Sandra alimsingizia mimba mzee Abdul; na hata baada ya mzee kukataa, ilikuwaje diamond akapewa ubini wa Abdul ikiwa Mzee Abdul alimkataa, na huku baba yake mzazi huyo Nyange akiwepo? Na Diamond alikuwa anaenda kwa mzee Abdul kumuomba matumizi kama nani ikiwa si baba yake mzazi wala mlezi? Na undugu wa Queen Darleen na Diamond unatokea wapi ikiwa baba Darleen hakuwahi kujihusisha kimalezi na Diamond?
Mzee Abdul amesha ongea juu ya ili swala kasema kua inawezekana vip aukatae ujauzito wakat yeye ndie alie simamia mpaka Diamond anazaliwa Amana na pia aliuza dek yake ili apate hela ya kulipa den hospital pia anasema yeye na mama diamond wamegombana Diamond akiwa form 1 na pia kasema Mama diamond kajichanganya kusema alienda na mimba wakat kabla ya mimba ya Diamond Kuna mimba moja waliitoa then ndio mama Diamond akapata mimba ya mond so swal ni je kipind mama diamond anakaa na mzee ndio wakat alipata mimba io unamaanisha kua Kama ni kwel mzee abdul sio Baba yake mond bas mama mond alikua anachepuka akiwa kwa mzee abdul na baba mond original
 
Wazee wetu wengi tuu hawana bima wala hakuna anayewapa goodtime ila hakuna anayekumbuka kuwachangia sababu hawana umaarufu.

Sasa wewe Daudi toa pesa kwa Mzee Abdul apate bims wakati baba yetu kubwa pale kijijini hana bima wala pesa ya kipimo cha malaria[emoji41]
Mambo kama yale yule mama ilibidi aonge na familia lkn yeye kaenda kuongea kwenye media
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]huu utandale bado uko kichwan mwake

Ova
 
Tubinti twa kigoma ogopa sana mwanawane, mnasema wangoni ni malaya naona kigoma lbd ikihamishiwa burundi😁, hako kasandra si unaona sasa, n kahuni balaaa🤣
 
Ukisoma kitabu cha Bill Clinton "My Life", Bill Clinton kaandika kwamba baba yake mzazi aliitwa Blythe.

Hilo jina la Clinton alichukuq jina la baba mlezi.

Si ajabu mtoto kuchukua jina la baba mlezi.
Yap niliwahi soma hio sehemu alisema alichukua Hilo jina ili mdogo wake aliezaliwa na babake wa kambo ajihisi tofauti maana alikuwa anampenda Sana
 
Tubinti twa kigoma ogopa sana mwanawane, mnasema wangoni ni malaya naona kigoma lbd ikihamishiwa burundi[emoji16], hako kasandra si unaona sasa, n kahuni balaaa[emoji1787]
Ukichubguza background ya huyo mama inaelekea ilikuwa balaa
Sasa ndy kakamata mpunga ndy usiseme

Ova
 
Oooh sijaiangalia hiyo interview. So mtoto walimlea pamoja, ila matatizo yalianza baada ya wao kutengana; so hadi Diamond anafika form 1 mzee Abdul ndiye aliyemlea

Mzee Abdul amesha ongea juu ya ili swala kasema kua inawezekana vip aukatae ujauzito wakat yeye ndie alie simamia mpaka Diamond anazaliwa Amana na pia aliuza dek yake ili apate hela ya kulipa den hospital pia anasema yeye na mama diamond wamegombana Diamond akiwa form 1 na pia kasema Mama diamond kajichanganya kusema alienda na mimba wakat kabla ya mimba ya Diamond Kuna mimba moja waliitoa then ndio mama Diamond akapata mimba ya mond so swal ni je kipind mama diamond anakaa na mzee ndio wakat alipata mimba io unamaanisha kua Kama ni kwel mzee abdul sio Baba yake mond bas mama mond alikua anachepuka akiwa kwa mzee abdul na baba mond original
 
Leo mama diamond almaarufu kama Mma dangote, amekiri kua Mzee Abdul anaejulikana kua ni baba mzazi wa Diamond, sio baba mzazi wa diamond na kukazia kua baba wa diamond alishakufa mda tokea akiwa na mimba ya diamond.

Akiendele na mazungumzo yake alidai kua Mzee abdul aliikataa mimba ya na kukataa kumlea diamond alipozaliwa.

NAYAONA HAYA:

*MZEE HUYU ABDUL ATAKATA TAMAA YA MAISHA KWANI TEGEMEO LAKE ILIKUA NI SIKU MOJA DIAMOND ARUDISHE MOYO NYUMA AMSAIDIE

*NAONA KABISA MZEE HUYU KUJIINGIZA KWENYE VILEVI KUPINDUKIA KWA SABABU YA STRESS

*YOYO KWA YOTE NAONA KABISA TUNAMPOTEZA HUYU MZEE, HIZI HABARI SIO NJEMA KWAKE.

TUSUBIRI TUONE



View attachment 1678070
Awe mlevi mara ya ngapi?
 
Duh hatari.

Japo Hayatuhusu lakini mzee mondi angeenda kupima DNA na baba yake.

Au angemsaidia tu kama mume wa zamani wa mama yake.

Kama anasaidia maskini asiowajua basi nadhani ni jambo linawezekana akamsaidia anayemjua(ex wa mamake)
Unaamini hajafanya hivyo?
 
Ngoja tuunganishe dots!

1. Mzee Nyange kampa kitu Bi Sandra,
2. Bi Sandra kaona Mzee Nyange boya tu, hata pesa hana! (NB: Inasemekana Mzee Abdul hapo zamani alikuwa na mkwanja!
3. Mzee Abdul akadondoshewa jumba bovu, akaanza kulea
4. Miaka kadhaa baadae, Wambeya wakamtonya Mzee Abdul kwamba anahudumia mtoto wa mwanaume mwenzake!!
5. Mzee Abdul akaamua kula kona mamoja
6. Diamond akaamini baba ake Mzee Abdul amemtelekeza kumbe baba halisi aliyemtelekeza ni Salim Nyange
7. Bi Sandra nae akaendelea kumwaminisha mtoto Naseeb kwamba huyo aliyemkimbia (Mzee Abdul) ndie babake hasa!!
8. Naseeb akaja kuwa Diamond, na mambo yakaanza kumnyookea
9. Mzee Abdul akaanza kujileta tena kwa Diamond baada ya kuwa amemkacha Naseeb
10. Kwa nongwa tu, huku akitaka mazuri ya Diamond ayafaidi peke yake, hatimae Bi Sandra akaamua kupasua ukweli kwamba kwanza "huyo mzee Abdul mwenyewe sio baba yako mzazi"!
11. Kama ambavyo Bi Sandra alitarajia, Mond nae akaamua kumpotezea Baba wa Kuazima!!!

Je, ina-make sense?! Halafu itakuwa Bi Sandra alikuwa anapenda sana Washkaji wa Kariakoo kwa sababu kuna kila dalili hata Uncle Nyange nae ni mtoto wa Kariakoo!!! Huyo uncle Nyange baba ake atakuwa Mpare mama yake, Mmanyema!!! Au Nyange sio Wapare?
Kuna kipande cha kuikamilisha hii story anacho Mama Dangote,sisi wengine tutabaki kuhisihisi.
 
Back
Top Bottom