joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Ila si shangai mtoto mzuri ni wa baba,mbaya ni wa mama,hivi najiuliza Diamond kama angekuwa bado muuza mitumba mzee angejitokeza na kumlilia kama leo hii.Atakua na lake linalomuumiza
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila si shangai mtoto mzuri ni wa baba,mbaya ni wa mama,hivi najiuliza Diamond kama angekuwa bado muuza mitumba mzee angejitokeza na kumlilia kama leo hii.Atakua na lake linalomuumiza
Wakilipia gharama ndio Diamond atampenda yake mzee kifupi mzee aachane na hiyo Familia maisha yaendelee hawagai pumzi wala rizikiKwani DNA hazipo. hapo wanataka kumtoa Mzee Abdul nje
Diamond akalipie gharama za DNA hawa kina mama wana hila
Jina Abdul limekujaje ??Mzee Nyange alikataa mimba, mzee Abdul nae akakataa mimba lakini akaendelea kujivinjari na mama Diamond.
Kwa maelezo ya mama Diamond amelea mwenyewe. Kasema mzee Abdul tangu akatae mimba hakuwahi jishughulisha na matunzo ya mtoto na akasisitiza japo walikua pamoja yeye aliendelea kumlea mwanae mwenyewe hadi walipotengana
Wanaume mjue tuu wanawake ni wavumilivu lakini kuna point wakifika wanakua wabaya kuliko ubaya wenyewe!!!!! Yaani Mungu alipowaambiwa muishi na wanawake kwa akili na hii ndio maana yake🙌🙌🙌
Walimwengu tutaona ni mjinga ila sio kwa Diamond na Esma.Cha ajabu hapa hakuna akili ni ufala, kuna kusakiziwa mimba na kuna kulea mtoto wa single mother,mtu akisakiziwa then akajua kulea ni utata, na akijua toka mapema atalea tu..
Kuishi na mwanamke kwa akili uki apply hapa, hawa wazee wawili waliishi na mwanamke mpumbavu full stop.
Imagine kwa age yake now na vituko hivi, uzee wangu wote this shit feels embarrassing
Daah..mambo yamefikia hukuQueen Darlin ni mtoto wa Mzee Abdul au Mama Shamte?
Mzee Abdul nimemsikia anasema Dayamond alizaliwa kibahati mbaya tu maana "KONDOMU" ilipasuka wakati wanawezana na Mama Shamte.
SIjaelewa Mzee Abdul alikuwa Tajiri wa k/koo? Kivipi Mbona alikuwa kachoka tangia zamani tu!!
Nimependa majibu ya Mzee Abdul.
2012Duh! Hili gazeti la mwaka gani?!
Kama taarifa hizi ni za ukweli hivi huoni walimstahi sana kwa miaka yote hii?! Just imagine, kila Domo anashutumiwa kwamba roho mbaya asiyemjali baba yake mzazi huku wengine tukisema afanya afanyavyo Mzee Abdul atabaki kuwa baba yake tu! Sasa pamoja na yote hayo, bado familia, hususani Diamond mwenyewe alivumulia shutuma zote hizo kwa miaka yote hiyo hadi pale waliposema "sasa basi"!! Kama alivyosema mchangiaji joseph1989 hapo juu kwamba ukweli anaujua Bi Sandra na Mzee Abdul mwenyewe, na kwahiyo kama ni kweli, binafsi naona walimvumilia sana! Inaonesha wazi wao hawakutaka kabisa kuyaanika hadharani ila baada ya kuchoshwa, ndipo wakaamua liwalo na liwe!Anahitaji ushauri mzito sana wa kisaikolojia..
Kila mwanadamu anahitaji/anatamani kuwa sehemu ya jamii fulani.
Na kutoka ktk jamii husika anayotamani kuwa sehemu yake anategemea apate mrejesho chanya kama upendo, msaada, faraja, kuthaminiwa..
Ukimsikiliza huyo mzee, unaona kabisa amepambana sana kuwa sehemu ya hiyo familia akijua fika there is where he belongs, pamoja na kuliwa buyu hakuacha kujikomba and now wanakuja public hawamtambui.
Kiufupi, walichokifanya mama na momo hakina afya hata kidogo kwa mzee Abdul.
Mzee kapanick, kaishiwa maneno na kubaki kujikosea heshmaQueen Darlin ni mtoto wa Mzee Abdul au Mama Shamte?
Mzee Abdul nimemsikia anasema Dayamond alizaliwa kibahati mbaya tu maana "KONDOMU" ilipasuka wakati wanawezana na Mama Shamte.
SIjaelewa Mzee Abdul alikuwa Tajiri wa k/koo? Kivipi Mbona alikuwa kachoka tangia zamani tu!!
Nimependa majibu ya Mzee Abdul.
Huruma kwa huyu mzeeWao ndio walioanza kumtumia kwenye kiki zao nae akajitokeza kukoleza mambo ona sasa wanayakuza. Wale wanaodiss single mothers hapa watajipatia point muhimu. Mzee alimkubali mama domo akiwa na esma kumbe akabambikiziwa hadi mimba
DUH! Basi inawezekana ni kweli!!!2012
Hebu tuwe wakweli!! Walikuwa wanamtumia kivipi wakati kila lilipoibuka jina la Mzee Abdul ilikuwa ni kashfa kwa Diamond na Bi Sandra?! Mzee Abdul alikuwa nani hadi wamtumie kwa kiki?!Wao ndio walioanza kumtumia kwenye kiki zao nae akajitokeza kukoleza mambo ona sasa wanayakuza. Wale wanaodiss single mothers hapa watajipatia point muhimu. Mzee alimkubali mama domo akiwa na esma kumbe akabambikiziwa hadi mimba
Na sio kumvumilia tuu, walikua wakimwambia aache hizo mambo zake wakiwa nje ya media ila mzee akajua sababu dogo anatumia jina lake hawamfanyi kituKama taarifa hizi ni za ukweli hivi huoni walimstahi sana kwa miaka yote hii?! Just imagine, kila Domo anashutumiwa kwamba roho mbaya asiyemjali baba yake mzazi huku wengine tukisema afanya afanyavyo Mzee Abdul atabaki kuwa baba yake tu! Sasa pamoja na yote hayo, bado familia, hususani Diamond mwenyewe alivumulia shutuma zote hizo kwa miaka yote hiyo hadi pale waliposema "sasa basi"!! Kama alivyosema mchangiaji joseph1989 hapo juu kwamba ukweli anaujua Bi Sandra na Mzee Abdul mwenyewe, na kwahiyo kama ni kweli, binafsi naona walimvumilia sana! Inaonesha wazi wao hawakutaka kabisa kuyaanika hadharani ila baada ya kuchoshwa, ndipo wakaamua liwalo na liwe!
Kasema hivyo LIVE kabisa??Mzee Abdul nimemsikia anasema Dayamond alizaliwa kibahati mbaya tu maana "KONDOMU" ilipasuka wakati wanawezana na Mama Shamte.
Ntamuachaje...maana anapenda sana shw [emoji23][emoji23][emoji23]Kakikuomba game mkuu utakapa??,[emoji16]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We huoni pamoja na umaarufu na pesa ila ngozi imekataa kabisa kutoka Tandale
Kumbe bi Sanura naye pia ni msanii!!!Habar wanajf,
Aliyesema kuwa wanawake na mama zetu tusiwaamini hakukosea leo kwani huenda wazazi wetu wa kiume walio tulea sio baba zetu.
Leo Rikardo Momo amesema kuwa mzee Abdul sio baba yake Diamond na kusema kuwa yeye na Diamond wanachangia baba na baba yao anaitwa Mzee Salim Nyange.
Haya yote yanaweza kuwa sawa lakini kwanini Diamond anaitwa Naseeb Abdul na siyo Salim Naseeb Nyange? Hivi inawezekana baba mlezi kupewa hadhi ya ubin wa mtoto au ndio mama Diamond anataka amalize mchezo?
Na kama ni kweli Mzee Abdul sio baba yake Diamond huenda mama Diamond alikataliwa hii mimba na mzee Salim Nyange akaamua kumtupia zigo mzee Abdul na bila shaka mzee alikubali kiroho safi ila huenda alikuwa anaambiwa mengi na ndugu pamoja na rafiki.
Apa hii story sioni kama ina utofauti na story iliyopo kwenye mziki wa Stamina na Profesa Jay maana namuona Diamond anamlaumu Mzee Abdul kwa kutokumlea ilihali Mzee Abdul alijua Diamond siyo mwanae na bado akaendelea kuwa baba kwa uwezo wake.
Ila sijaamini kama Mzee Abdul sio baba yake mzazi Diamond sababu sio rahisi mtoto alelewe na baba wa kambo mpaka abadilishe jina la ubin wake pia na kuwapa mpaka watoto zake jina la babu yao feki walitumia kama babu yao.
Hizi ni faulo zinataka kuchezeka hapa Mama Diamond anataka kumaliza mechi.
Yes Clip imewekwa hapo juu katamka live.....Anasema Mama shamte alipata mimba mwanzo walipokutana kwakuwa walikuwa hawajapanga wakaichomoa na wakaamua sasa wawe wanavaa "JEZI" sasa katika purukushani "JEZI" ikapasuka ndio mimba ya dayamondi ikapatikana na walikuja kujua mimba ina miezi miwili.Kasema hivyo LIVE kabisa??
😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳
Mzee Abdul alizidisha usela hadi sasa hajui keshahama ujanani na yupo uzeeniKasema hivyo LIVE kabisa??
😳😳😳😳😳😳😳😳😳😳