Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange

Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange

Hii familia kwenye ngono ni shida sana na wote familia nzima ina sifa moja wanafanana .

Diamond alikuwa na wema ,zari Penny ,Tanasha ,hamisa ,na kazaa na watatu bado hujui ambao ni Siri yake.

Mama Dangote yeye kapachikwa mimba enzi zake kaja kumbambikia mzee Abdul ,wameachana sasa anakazwa na bwana mdogo Uncle Shamte.

Esma yeye kaachana na petiti kwa maneno kaenda kwa huyo mwingine mwenye wake 3 wamemwagana tena na kuchafuliana mara sijui kutoa mimba.

Queen Darling yeye anahangaika huko na uke wenza .

Hii familia inapiga pumbu mbalala
[emoji23][emoji28]najichekea zangu tu hapa daah
 
Mara nyiingi saana nawaambia ndugu zangu juu ya mama zetu tumshukuru sana mungu kwa kutupa mama TIMAMU kichwanj, hawa wamama wengine chenga kwa mtu mwenye akili zake timamu unaweza ugua uchizi kwa aibu za kila siku...
 
Haya mambo yanatokana na falsafa za familia. Mfano Mimi nimewaandikisha wajomba zangu shule January hii kwa majina ya ukoo wetu kwa sababu tu baba zao wamewatelekeza watoto wao. Hata mama zao malezi yao ni kidogo Sana, asilimia kubwa wanalelewa na bibi ambaye ni mama yangu.
Kwa hiyo huko mbeleni mojawapo akiwa maarufu, atajulikana kuwa Yuko ukoo wetu, Baba yake akija kusema huyu ni mwanangu basi itafahamika hivyo lakini si kwa jina analotaka.

Ukiangalia Ricardo Momo na diamond wanafanana kuanzia sura Hadi sauti. Yule mzee Abdul anatakiwa apewe heshima ya ubaba mlezi na si baba mzazi. Katika miaka ya Sasa malezi Yana nguvu kuliko kuzaa. Ricardo amesema amemlea Diamond Kama mdogo wake tangia diamond akiwa na miaka 10.Mzee Abdul hapewi heshima kwa sababu hakumlea diamond ipasavyo Kama ule masomo wa "ukipenda boga penda na ua lake".

Suala la Sasa ni kuangalia hii familia ya Iddi Nyange ilikuwaje na ikoje Sasa ndugu zao ni kina Nani Ili tujue ukweli.
Hiyo paragraph ya mwisho imeshiba,mimi mwenyewe natamani kuwajua.
 
Hatuna uhakika kama mzee Nassibu hakulifahamu hili swala.Uzuri lazima ataongea,vile anapenda sana media.
Mbona mzee kama amepanic umesikia akivyosikia ameruka hajui kinachoendelea
 
Diamond mzee wa kupima watoto wake dna....kumbe na yeye anafaa apimwe dna....mwehh mweeeh ... Huu mwaka unaendaa Kasi sana
 
Huyu Mzee nimemuonea huruma Sana . Ila malipo ni hapa hapa duniani
Unamuonea huruma gani, yeye pia si alishamkanaga Diamond kuwa sio mwanae enzi za ujana wake na mama dangote..

Mimi huwa nakasirishwa sana na wale watu wanakuaga na shobo mpaka wakuone umefanikiwa au una nyadhifa kidogo pesa ipo, sasa mtu wa hivyo sio binadamu wa kawaida
 
Hi iwe funzo kwetu vijana
Tunawaachia mzigo mzito sana akina dada wanateseka sana
Kisha sisi tunawaponda huku tukiwaita single mother’s [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
 
Unamuonea huruma gani, yeye pia si alishamkanaga Diamond kuwa sio mwanae enzi za ujana wake na mama dangote..

Mimi huwa nakasirishwa sana na wale watu wanakuaga na shobo mpaka wakuone umefanikiwa au una nyadhifa kidogo pesa ipo, sasa mtu wa hivyo sio binadamu wa kawaida
Kwanini wanaendelea kutumia jina la mtu ambaye aliwakana? Mpaka wajukuu wanatumia Hilo jina fika wanafahamu sio baba yake Diamond.
 
Mara nyiingi saana nawaambia ndugu zangu juu ya mama zetu tumshukuru sana mungu kwa kutupa mama TIMAMU kichwanj, hawa wamama wengine chenga kwa mtu mwenye akili zake timamu unaweza ugua uchizi kwa aibu za kila siku...
Yaaani Huyu Mama Jamani...kweli haya Ni Mambo ya kuongea kweli...

Yaaani WATU WANACHUPA MIPAKA..
 
Haya mambo yanatokana na falsafa za familia. Mfano Mimi nimewaandikisha wajomba zangu shule January hii kwa majina ya ukoo wetu kwa sababu tu baba zao wamewatelekeza watoto wao. Hata mama zao malezi yao ni kidogo Sana, asilimia kubwa wanalelewa na bibi ambaye ni mama yangu.
Kwa hiyo huko mbeleni mojawapo akiwa maarufu, atajulikana kuwa Yuko ukoo wetu, Baba yake akija kusema huyu ni mwanangu basi itafahamika hivyo lakini si kwa jina analotaka.

Ukiangalia Ricardo Momo na diamond wanafanana kuanzia sura Hadi sauti. Yule mzee Abdul anatakiwa apewe heshima ya ubaba mlezi na si baba mzazi. Katika miaka ya Sasa malezi Yana nguvu kuliko kuzaa. Ricardo amesema amemlea Diamond Kama mdogo wake tangia diamond akiwa na miaka 10.Mzee Abdul hapewi heshima kwa sababu hakumlea diamond ipasavyo Kama ule masomo wa "ukipenda boga penda na ua lake".

Suala la Sasa ni kuangalia hii familia ya Iddi Nyange ilikuwaje na ikoje Sasa ndugu zao ni kina Nani Ili tujue ukweli.
Ili ujue ukweli😆😆😆🤣😂
 
Huyu mama ni mkosi!! Na huenda alikuwa "changu"!

Sasa anaemwita baba mlezi ndie anaelalamikiwa kuwa alimtelekeza Dimond akiwa mtoto, na hastahili chochote...
Huyu anaedaiwa kuwa baba mzazi ambaye inaonekana ndie haswaa alikimbia kabisa majukumu, si ndio atatukanwa matusi ya nguoni!

Mungu hawezi kukupa kila kitu, atakupa pesa na umaarufu...atakunyima mama mwenye akili!
Hili ndio namtetea huyo mzee Abdul, ndio maana single mother wanatukanwa kwa sababu ya wanawake wachache sampuli ya mama Diamond.
 
Kuhusu mtoto kuchukua jina la baba wa kambo inawezekana na ipo sana kwenye jamii.
 
Hivi hiikisheria imekaaje?
Huyu mzee kutumika Jina lake kipindi chote hicho?
Au kudharirishwa hivyo?
Diamond mikataba yake na Makampuni?,
This is totally embarrassment kwa yule mzee
Wanaweza msababishia depression ambayo haipo,
Tafsiri yake kwa mtu mzima kama yeye ni kama kutaka kumuua,
Pata picha mzee Ana pressure,moyo etc
 
Back
Top Bottom