Nimeitizam ile intvw ya Mzee Abdul na Mama yake D.
Kuna maswali mengi inabidi huyu mama ayajibu.
1.Kabla ya umauti kumkuta mzee Nyange,alikiwa anajua Nasib mwanae au nae alimficha?
2.Amesema D si mtoto wa mzee Abdul,bali alikuwa baba mlezi na mwanzo mzee Abdul aliikataa Mimba,sasa inakuwaje mtu anaye ikataa mimba awe baba mlezi.....????
3.Situation ya mimba ya Diamond kupatikana ilikuwaje kuwaje?
Alafu hata huyo mzee Abdul naye dish limeyumba,anasema Diamond hamsaidii jana kwa kinywa chake akihojiwa na SnS amesema Diamond huwaga anamsaidia na anampa hela zina range laki 2 mpaka 1mil,sasa najiuliza kwa nini alikuwa anasema uwongo akihojiwa na vyombo vya habari ?
Alafu inaonekana ana mmaindi Shamte,anadai haiwezekani yeye apate kidogo,wenzake wapate kingi.......😀😀😀.