Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange

Mama Diamond: Mzee Abdul alinikuta nina mimba ya Naseeb (Diamond) na aliikataa. Ricardo Momo na Diamond ni ndugu, baba yao ni Salum Idd Nyange

Mzee anahojiwa sababu haswa aliyotengana na huyo mama ni ipi? Anajibu kuwa kipindi hicho kuna jamaa amemtaja na jina alitoka South Africa karudi Bongo. Huyo Bi. Mkubwa akawa anaruka nae nyumbani akawa anarudi mpaka saa 8 usiku.

Ikafika mahala mpaka huyo Diamond anamuulizia mama yuko wapi Mzee anajibu atarudi usihofu! Mzee wa watu akashindwa kuvumilia akaamua kuondoka kurudi kwao K/KOO kwa hasira mazima. Kipindi hicho Diamond yupo kidato cha kwanza.

Mzee ameishia kufunguka hapo tu! Ila anakwambia hata mamakwe anafahamu ni kwa nini alimucha mama Diamond. Ijapokuwa hakumuoa ila alishamtolea barua ya uchumba kwao.

Na jina la Naseeb ni jina alilompatia yeye kwani ni jina la baba yake (Babu wa diamond). Amesema mtoto hagombaniwi! Maadamu amesema yeye si baba mzazi haya! Ila yeye anamtakia mema kwa kwenye maisha yake.
Mzee alijibu kwa busara Sana, maneno mazito Sana Yale.
 
Hello JF,

Kama mnavyojua mwanamke akipata mimba ana uhakika mimba ni yake...

Ila kwa wanaume mimba hakuna guarantee ya kujua ni yake/ingawa kuna DNA testing siku hizi...

Swala la partenity ni suala linalowanyima usingizi wanaume...

Jambo ambalo lilikuwepo tangu zamani,

Mpaka leo it is believed wanaume wengi kuchepuka ni katika harakati za kutaka maximizing their chances of being a father, sababu kuzaana ndio lengo kuu la kuwepo sisi duniani.

Anyway,

nilichotaka kusema leo,

ingawa wanawake tunapenda ubuyu but watakaoongea sana kwenye hii ishu ya Diamond ni wanaume! lol

Tutegemee nyuzi nyingi za wakaka humu kuhusu hili... 🤣 🤣 🤣

Mama Diamond kagusa pale panapouma...

A reminder of their worst nightmares!

Wanaume wa humu tulieni tu dawa iwaingie🤣🤣

************* Diamond, is either uwaache wote baba zako au uwe nao wote, ukijifanya kuchagua mmoja over the other,the public wont forgive you. Anyway its your life.

Leo nimejiskia tu kuandika chochote....lol
Just imagine wabeba mimba wengi hawajui ni ya nani. Siku moja wanaume hata watatu wanachovya humo humo. Mimba ampe nani? Juma kawa naye asubuhi. Jioni yupo na John.

Upo sahihi. Chance ya mwanaume kuwa baba ni kuchovya multiple times with multiple partners!
 
Huyu mama ni mkosi!! Na huenda alikuwa "changu"!

Sasa anaemwita baba mlezi ndie anaelalamikiwa kuwa alimtelekeza Dimond akiwa mtoto, na hastahili chochote...
Huyu anaedaiwa kuwa baba mzazi ambaye inaonekana ndie haswaa alikimbia kabisa majukumu, si ndio atatukanwa matusi ya nguoni!

Mungu hawezi kukupa kila kitu, atakupa pesa na umaarufu...atakunyima mama mwenye akili!

Huyo mama alikua changu kweli anajiuza na anauza gays hela wanagawana
 
Kumbe hata Queen na mwenyewe alitelekezwa na Mzee Abdul?!

Queen upande wa mama yake walikua wanajiweza kidogo tofauti na mama diamond , Darren walk Kua wana nyumba kariakoo za kutosha round about ya shule ya Uhuru kariakoo ndio maana aliishi kidoni
Walipangisha frem baadhi zikauzwa
 
Kumbe hata Queen na mwenyewe alitelekezwa na Mzee Abdul?!

Queen upande wa mama yake walikua wanajiweza kidogo tofauti na mama diamond , Darren walk Kua wana nyumba kariakoo za kutosha round about ya shule ya Uhuru kariakoo ndio maana aliishi kidoni
Hii familia kwenye ngono ni shida sana na wote familia nzima ina sifa moja wanafanana .

Diamond alikuwa na wema ,zari Penny ,Tanasha ,hamisa ,na kazaa na watatu bado hujui ambao ni Siri yake.

Mama Dangote yeye kapachikwa mimba enzi zake kaja kumbambikia mzee Abdul ,wameachana sasa anakazwa na bwana mdogo Uncle Shamte.

Esma yeye kaachana na petiti kwa maneno kaenda kwa huyo mwingine mwenye wake 3 wamemwagana tena na kuchafuliana mara sijui kutoa mimba.

Queen Darling yeye anahangaika huko na uke wenza .

Hii familia inapiga pumbu mbalala
esma hii ni ndoa ya tatu , natamani serikali imfatilie diamond na ubebaji drugs (punda)wake maana wasimnyooshe msizwa kidole wakati
na wao ndio biashara Yao

tena Diamond Anabeba na kutumia siku hizi, wakajifanya kumuomba makonda awe Mlezi wao ili awalinde siku ya wakikamatwa
 
Queen upande wa mama yake walikua wanajiweza kidogo tofauti na mama diamond , Darren walk Kua wana nyumba kariakoo za kutosha round about ya shule ya Uhuru kariakoo ndio maana aliishi kidoni

esma hii ni ndoa ya tatu , natamani serikali imfatilie diamond na ubebaji drugs (punda)wake maana wasimnyooshe msizwa kidole wakati
na wao ndio biashara Yao

tena Diamond Anabeba na kutumia siku hizi, wakajifanya kumuomba makonda awe Mlezi wao ili awalinde siku ya wakikamatwa
Hivi mama yke qn alirudi toka hlland

Ova
 
Huyo mama alikua changu kweli anajiuza na anauza gays hela wanagawana
Kuna dada mmoja anaitwa pikcook alikuwa na saloon!kinondoni mitaa ya brzl mbn huyu mama alikuwa anakuja sana kfanya kz za kfua nguo
Huyu mama kaishi thg life sana...ile ksema watu
Ovyo wkt hajui yy kama watu wana mjua na mabalaa yke zamani aliyokuwa anafanya
Wanamuangalia tu...
Sema tu pesa ilikosea njia

Ova
 
Kwa kweli imenisikitisha msanii ambae amekuwa mstari wa mbele katika kukuza wasanii na kulitangaza jina, leo hii amefunikwa na kadhia chafu sana, inayomuweka katika kundi la watoto chokoraa, na zaidi kama wanatafuta kiki basi mpira umepasuka.

Kwanini wakuu wa nchi hawaingilii kati na kulizima? Sasa ni aibu ilioje mitandaoni ni aibu kwa Watanzania na siasa zetu za mwendo kasi, utamaduni gani huu?
 
Kwa kweli imenisikitisha msanii ambae amekuwa mstari wa mbele katika kukuza wasanii na kulitangaza jina,leo hii amefunikwa na kadhia chafu sana,inayomuweka katika kundi la watoto chokoraa,na zaidi kama wanatafuta kiki basi mpira umepasuka.

Kwanini wakuu wa nchi hawaingilii kati na kulizima ? Sasa ni aibu ilioje mitandaoni ni aibu kwa Watanzania na siasa zetu za mwendo kasi,utamaduni gani huu ?
Wakuu wa nchi waingilie kati? Are you kidding?

Anawezaje kuitafuta heshima pale ambapo hakuihifadhi? Na kama hakuiweka popote vivyo hivyo hawezi kuipata. Kile ambacho hakukitoa maishani hawezi kukipata kwa sababu hapa duniani yeye ndiye msanifu na mbomoaji.

Kama anakosa kuheshimiwa, ni kwa sababu hakupata kujiheshimu. Mambo yote haya ni lazima yaanze ndani kwake mwenyewe kisha yaende kwenye maisha ya wengine. Kwa kuwa amekosa kujipa thamani yake mwenyewe na kujiheshimu, na hivyo ni vigumu kuipata toka kwa wengine.

Apambane na hali yake tu.
 
Back
Top Bottom