Mama January atimiza miaka 70, January Makamba amsindikiza mama yake Kanisani

January amezeeka kuliko mama yake!!!
 
ule waraka uliokuwa na baraka zote za Jesuits waliupinga. Matokeo yake yataonekana soon
 
2025 πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚

Kanisa Moja Takatifu La Mitume 🌹
kanisa ndio takatifu au muumini ndio anakuwa mtakatifu?
Kanisa halikupeleki pahala, wewe binafsi ndio utahukumuwa kwa matendo yako.
Mbinguni kila mtu ataulizwa aliyotenda na siyo kanisa?

Acha kiburi cha udini, Mafarisayo na Masadukayo walikuwepo na kiburi cha dini zao wakimtambia Yesu , aliwaita WANAFIKI wakubwa na aliwaonyesha hivyo huo unafiki wao na NI KAMA MAKABURI YANAYOPAKWA CHOKAA KWA NJE NA NDANI KUNA MIFUPA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…