Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa nyie hamjui kufanya kimya kimya wakwe/wageni wakiwepo 😱?Au ndoa changa?Kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa kuwa na baridi kiasi kipindi hiki ambapo pia nipo likizo, najikuta muda mwingi nikiwa chumbani, tena kitandani na wife tukishiriki tendo takatifu la ndoa.
Mke wangu ni miongoni mwa wale wanawake ambao wakifikishwa kileleni Hutoa sauti za mahaba na vilio tofauti tofauti vya kunogeza game!
Hivi karibuni baada ya kumaliza show yetu salama. Wife alihisi kitu kwa nje ya mlango kupitia uwazi unaotenganisha mlango na sakafu hivyo akaamua kwenda kufungua mlango, na akapigwa na butwaa baada ya kukutana uso kwa uso na macho ya mama yake mzazi ambaye kwa wakati huo aalikuwa ameduwaa mithili ya mtu aliyefumaniwa: Alipoulizwa hakuwa na majibu ya kuridhisha.
Sipati majibu nia yake ni nini hasa, na anapata faida gani baada ya kufuatilia game zetu na mwisho wake ni nini! Hatamuonea wivu mwanaye! Maana bado yupo kwetu na hatujui lini ataondoka.
Wataalam naomba mnisaidie.
Akifika huko mnamwambia ukweli kuwa hapo hatakiwi kwasababu ya tabia yake mbaya.Si ataenda na kurudi?
Kwani mleta Uzi ye anagonga zigo mchana mchanamchana na mama mkwe yuko sebuleni?.huyu jamaa atakuwa anapenda sana mambo ya show off.Kuna mawili.
Kwanza: Mama mkwe wako ni kijana na amelelewa kwenye mazingira ya kighetto ghetto, (uswazi) hivyo kukosa maadili ya asili ya kiafrika.
Pili: Mama mkwe wako anatamani kuingilia anga la binti yake.
Ushauri:
Kama uwezo unaruhusu, mfungulie biashara ndogo yoyote hapo nje hata kama ni ya kuuza nyanya ili apate cha kufanya kama hana mpango wa kuondoka soon.
Hayo ni mawazo yangu tu, unaweza kujiongeza mwenyewe ila tumia busara.
Hao wanaogongana mchana kutwa Mara tatu ndo wanazengua.Akifika huko mnamwambia ukweli kuwa hapo hatakiwi kwasababu ya tabia yake mbaya.
Kwani mkioana huwa mnapewa limits? Huyu mama angekaa kwake unless ni mgonjwa au ni mzee sana.Hao wanaogongana mchana kutwa Mara tatu ndo wanazengua.
Ma mkwe hana kosa.
Duh,hampewi limit ila duh,any way si wa zamani kidogo tulifundishwa malezi ya kifala sana.Kwani mkioana huwa mnapewa limits? Huyu mama angekaa kwake unless ni mgonjwa au ni mzee sana.
Tatizo ni nyie wenyewe, Kwanini mnapenda kujaza watu nyumbani kwenu? na Nyumba zenu za uswahilini zina matundu nao ni binadamu wana hisia, usiruhusu ndugu,marafiki au wafanyaka kuja kwako kama huna nafasi au uwezo wa kuwahudumia, Hakikisha unafanya tasmini ya Mazingira yako kukaribisha watu nyumbani kwako.Kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa kuwa na baridi kiasi kipindi hiki ambapo pia nipo likizo, najikuta muda mwingi nikiwa chumbani, tena kitandani na wife tukishiriki tendo takatifu la ndoa.
Mke wangu ni miongoni mwa wale wanawake ambao wakifikishwa kileleni Hutoa sauti za mahaba na vilio tofauti tofauti vya kunogeza game!
Hivi karibuni baada ya kumaliza show yetu salama. Wife alihisi kitu kwa nje ya mlango kupitia uwazi unaotenganisha mlango na sakafu hivyo akaamua kwenda kufungua mlango, na akapigwa na butwaa baada ya kukutana uso kwa uso na macho ya mama yake mzazi ambaye kwa wakati huo aalikuwa ameduwaa mithili ya mtu aliyefumaniwa: Alipoulizwa hakuwa na majibu ya kuridhisha.
Sipati majibu nia yake ni nini hasa, na anapata faida gani baada ya kufuatilia game zetu na mwisho wake ni nini! Hatamuonea wivu mwanaye! Maana bado yupo kwetu na hatujui lini ataondoka.
Wataalam naomba mnisaidie.
Achana na ndoa changa wewe, kuna jamaa ilibidi awe anampigia simu mkewe kama anakwenda na mgeni otherwise anamkuta bibie na khanga moja nyepesi sana.Duh,hampewi limit ila duh,any way si wa zamani kidogo tulifundishwa malezi ya kifala sana.
Sasa nyie hamjui kufanya kimya kimya wakwe/wageni wakiwepo [emoji33]?Au ndoa changa?
Kwa watu walobobea kwenye ndoa wanajua kulihandle hilo tatizo ukiwa na watoto wa umri fulani/wageni inabidi upunguze mihemko unajiachia mkiwa wenyewe au mnaenda sehem maalum mfano romantic weekend....
Jingine inawezekana unamfikisha sana mkeo mpaka mama mkwe akapatwa na mshawasha!
Kama hali ishakuwa hivo uwe makini isijekuwa na yeye keshaanza kujenga matamanio!
NB:Kuna swali nmejiuliza pia mama mkwe wako ana umri gani na je ameolewa?
Si ajabu wanaishi kwenye chumba na sebuleMama mkwe amehamia kwako au amekuja tu kusalimia ? Kama Ni kusalimia muache tu ashangae na ataondoka.
Jamaa anatakiwa achangamkie fursa hiyo ale mbususu ya mkweArudi tu kwake kabla hujakufuru.
Basi mama mkwe ana elements za uchawiHapana, ni nyumba kubwa ya vyumba vitano pamoja na hiki, sebule, verander, balcon etc