Mama Mkwe ana tabia ya kutusikiliza wakati tukifanya majambozi

Mama Mkwe ana tabia ya kutusikiliza wakati tukifanya majambozi

involuntary is something u cant control like ur heart beating, yawning, screaming, etc. Au nikutafsirie kwa kiswahili?
Like heart beat,like yawning,like screaming like making noisy during sex especially at orgasm ehneee na nyingine?
 
Yaani alikua anapiga CHABO, kajulikana na wapiga show kwamba alikua anapiga CHAPO. Kwa maneno mengine, kajua kwamba mmejua hua anawachungulia na bado hataki kuondoka; tafsiri yake naogpa kutoa ushauri wa kijinga kuhusu hili tukio, ngoja ninyamaze kwanza
 
Mkuu itakuwa Mama Mkwe alikuwa anachungulia kuhakikisha usalama tu wa Mwanae. Labda alivyosikia hizo kelele, alidhani unamchinja, ndio maana akaja mlangoni kuchungulia.
 
Achana na ndoa changa wewe, kuna jamaa ilibidi awe anampigia simu mkewe kama anakwenda na mgeni otherwise anamkuta bibie na khanga moja nyepesi sana.
Mi naishi mkoa mmoja na mamkwe,nimetoka zangu huko narudi home nimepiga pens nafika nakuta ki baby walker cha ma mkwe kaja kumtembelea mwanae,niligeuza nkarud nilikotoka,kwetu mama mkwe ni mwiko kuangalia mironjo yako,ntathubutu kweli kumsokota mwanae mbele yake kweli?.

Kama amekuja kukaa nasi Mimi kama Mimi ningebadilsha ya time table ya kupiga mikasi na wife ili tu nilinde heshima,nisingeshindwa kuvumilia kumsokota mchana.

Ningempeleka hata guest hse, sasa huyu anakaa double room labda afu hafungulii hata radio kwenye simu wasisike,kisa wamrushe roho mama dah.lol
 
Mpe game ya ugenini na yeye kwani anaona bintiye anafaidi sana hadi kutoa sauti za kimahaba tamu ambaye yeye hajawahi kuzitoa katika maisha yake. Si ajabu papuchi ilikuwa so wet 😜😜😜
Kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa kuwa na baridi kiasi kipindi hiki ambapo pia nipo likizo, najikuta muda mwingi nikiwa chumbani, tena kitandani na wife tukishiriki tendo takatifu la ndoa.

Mke wangu ni miongoni mwa wale wanawake ambao wakifikishwa kileleni Hutoa sauti za mahaba na vilio tofauti tofauti vya kunogeza game!

Hivi karibuni baada ya kumaliza show yetu salama. Wife alihisi kitu kwa nje ya mlango kupitia uwazi unaotenganisha mlango na sakafu hivyo akaamua kwenda kufungua mlango, na akapigwa na butwaa baada ya kukutana uso kwa uso na macho ya mama yake mzazi ambaye kwa wakati huo alikuwa ameduwaa mithili ya mtu aliyefumaniwa: Alipoulizwa hakuwa na majibu ya kuridhisha.

Sipati majibu nia yake ni nini hasa, na anapata faida gani baada ya kufuatilia game zetu na mwisho wake ni nini! Hatamuonea wivu mwanaye! Maana bado yupo kwetu na hatujui lini ataondoka.

Wataalam naomba mnisaidie.
 
Mi naishi mji mmoja na mamkwe,nimetoka zangu huko narudi home nimepiga pens nafika nakuta ki baby walker cha ma mkwe kaja kumtembelea mwanae,niligeuza nkarud nilikotoka,kwetu mama mkwe ni mwiko kuangalia mironjo yako,ntathubutu kweli kumsokota mwanae mbele yake kweli?.

Kama amekuja kukaa nasi Mimi kama Mimi ningebadilsha ya time table ya kupiga mikasi na wife ili tu nilinde heshima,nisingeshindwa kuvumilia kumsokota mchana.

Ningempeleka hata guest hse, sasa huyu anakaa double room labda afu hafungulii hata radio kwenye simu wasisike,kisa wamrushe roho mama dah.lol
Alafu anakwambia kulia ni involuntary actions jamani, kheri sisi tulozaliwa na kukulia bush maana haya mambo ni mageni kwetu
 
kupiga chapo ni kaugonjwa fulani......😂😂😂,,,mwambie mkeo awe na weledi kdg mpk bi mkubwa aondoke.....pambana uwe na nyumba kubwaaaaaaaa......mpaka akufikie kuna milango mi3
 
Huenda makelele yenu hayajazoeleka madikioni mwa wahenga. Hadi mkwe anahisi hakuna usalama tena.
Kama huamini hilo mlete mama mkwe wa mkeo muone kama hali itaendelea.
 
Back
Top Bottom