Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Like heart beat,like yawning,like screaming like making noisy during sex especially at orgasm ehneee na nyingine?involuntary is something u cant control like ur heart beating, yawning, screaming, etc. Au nikutafsirie kwa kiswahili?
Mi naishi mkoa mmoja na mamkwe,nimetoka zangu huko narudi home nimepiga pens nafika nakuta ki baby walker cha ma mkwe kaja kumtembelea mwanae,niligeuza nkarud nilikotoka,kwetu mama mkwe ni mwiko kuangalia mironjo yako,ntathubutu kweli kumsokota mwanae mbele yake kweli?.Achana na ndoa changa wewe, kuna jamaa ilibidi awe anampigia simu mkewe kama anakwenda na mgeni otherwise anamkuta bibie na khanga moja nyepesi sana.
Unafuraaahi wadau wanavyo kupambaa.Mmmh! Unaanzaanzaje kwa mfano!!!
Kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa kuwa na baridi kiasi kipindi hiki ambapo pia nipo likizo, najikuta muda mwingi nikiwa chumbani, tena kitandani na wife tukishiriki tendo takatifu la ndoa.
Mke wangu ni miongoni mwa wale wanawake ambao wakifikishwa kileleni Hutoa sauti za mahaba na vilio tofauti tofauti vya kunogeza game!
Hivi karibuni baada ya kumaliza show yetu salama. Wife alihisi kitu kwa nje ya mlango kupitia uwazi unaotenganisha mlango na sakafu hivyo akaamua kwenda kufungua mlango, na akapigwa na butwaa baada ya kukutana uso kwa uso na macho ya mama yake mzazi ambaye kwa wakati huo alikuwa ameduwaa mithili ya mtu aliyefumaniwa: Alipoulizwa hakuwa na majibu ya kuridhisha.
Sipati majibu nia yake ni nini hasa, na anapata faida gani baada ya kufuatilia game zetu na mwisho wake ni nini! Hatamuonea wivu mwanaye! Maana bado yupo kwetu na hatujui lini ataondoka.
Wataalam naomba mnisaidie.
Alafu anakwambia kulia ni involuntary actions jamani, kheri sisi tulozaliwa na kukulia bush maana haya mambo ni mageni kwetuMi naishi mji mmoja na mamkwe,nimetoka zangu huko narudi home nimepiga pens nafika nakuta ki baby walker cha ma mkwe kaja kumtembelea mwanae,niligeuza nkarud nilikotoka,kwetu mama mkwe ni mwiko kuangalia mironjo yako,ntathubutu kweli kumsokota mwanae mbele yake kweli?.
Kama amekuja kukaa nasi Mimi kama Mimi ningebadilsha ya time table ya kupiga mikasi na wife ili tu nilinde heshima,nisingeshindwa kuvumilia kumsokota mchana.
Ningempeleka hata guest hse, sasa huyu anakaa double room labda afu hafungulii hata radio kwenye simu wasisike,kisa wamrushe roho mama dah.lol
Chabolizing 🤓
Jamaa akifika anailenga tuAchana na ndoa changa wewe, kuna jamaa ilibidi awe anampigia simu mkewe kama anakwenda na mgeni otherwise anamkuta bibie na khanga moja nyepesi sana.