Mama Mkwe ana tabia ya kutusikiliza wakati tukifanya majambozi

Mama Mkwe ana tabia ya kutusikiliza wakati tukifanya majambozi

Kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa kuwa na baridi kiasi kipindi hiki ambapo pia nipo likizo, najikuta muda mwingi nikiwa chumbani, tena kitandani na wife tukishiriki tendo takatifu la ndoa.

Mke wangu ni miongoni mwa wale wanawake ambao wakifikishwa kileleni Hutoa sauti za mahaba na vilio tofauti tofauti vya kunogeza game!

Hivi karibuni baada ya kumaliza show yetu salama. Wife alihisi kitu kwa nje ya mlango kupitia uwazi unaotenganisha mlango na sakafu hivyo akaamua kwenda kufungua mlango, na akapigwa na butwaa baada ya kukutana uso kwa uso na macho ya mama yake mzazi ambaye kwa wakati huo alikuwa ameduwaa mithili ya mtu aliyefumaniwa: Alipoulizwa hakuwa na majibu ya kuridhisha.

Sipati majibu nia yake ni nini hasa, na anapata faida gani baada ya kufuatilia game zetu na mwisho wake ni nini! Hatamuonea wivu mwanaye! Maana bado yupo kwetu na hatujui lini ataondoka.

Wataalam naomba mnisaidie.
Mkuu Pole Sana...ongea na shem amtengenezee mazngira arud home asee.......
 
Kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa kuwa na baridi kiasi kipindi hiki ambapo pia nipo likizo, najikuta muda mwingi nikiwa chumbani, tena kitandani na wife tukishiriki tendo takatifu la ndoa.

Mke wangu ni miongoni mwa wale wanawake ambao wakifikishwa kileleni Hutoa sauti za mahaba na vilio tofauti tofauti vya kunogeza game!

Hivi karibuni baada ya kumaliza show yetu salama. Wife alihisi kitu kwa nje ya mlango kupitia uwazi unaotenganisha mlango na sakafu hivyo akaamua kwenda kufungua mlango, na akapigwa na butwaa baada ya kukutana uso kwa uso na macho ya mama yake mzazi ambaye kwa wakati huo alikuwa ameduwaa mithili ya mtu aliyefumaniwa: Alipoulizwa hakuwa na majibu ya kuridhisha.

Sipati majibu nia yake ni nini hasa, na anapata faida gani baada ya kufuatilia game zetu na mwisho wake ni nini! Hatamuonea wivu mwanaye! Maana bado yupo kwetu na hatujui lini ataondoka.

Wataalam naomba mnisaidie.
soon BIMKUBWA atawashauri muende kwa mpalange
 
Kwa mama kwenye akili "TIMAMU" anaweza kwenda kwa mwanae wa kike aliyeolewa na kukaa tu bila sababu ya msingi? Ajue mwanae kaachana nae ili akaanzishe familia yake. Ni haki yake kwenda kwa mwanae wa kiume aliyeoa ili ashirikiane na mke wa mwanae kufanya kazi mbalimbali, hapo ni nyumba kwake, ila kwa mwanae wa kike aliyeolewa sio kwake, ni ukoo mwingine, aje tu kusalimia na kuondoka .
 
Alafu anakwambia kulia ni involuntary actions jamani, kheri sisi tulozaliwa na kukulia bush maana haya mambo ni mageni kwetu
Malezi mkuu, kuna jamaa humu wanampump mleta Uzi wanamwambia msokote na mama mkwe eti amekubali show,afu na jamaa kwa ufala eti anawaomba wampe maujanja ya kumla mama mkwe,mi ni mjinga ila not to that extent,(in ndalichako,s voice).

Viungo vyetu vinaitwa viungo vya siri,na tendo la ndoa linaitwa tendo la siri.
 
Ukute mama mkwe ndio wale wazee wa chabo😂 hapo haondoki kizembe, mwambie mwanaye amchane live...ila wewe kausha tu.
 
Malezi mkuu, kuna jamaa humu wanampump mleta Uzi wanamwambia msokote na mama mkwe eti amekubali show,afu na jamaa kwa ufala eti anawaomba wampe maujanja ya kumla mama mkwe,mi ni mjinga ila not to that extent,(in ndalichako,s voice).

Viungo vyetu vinaitwa viungo vya siri,na tendo la ndoa linaitwa tendo la siri.
Dah,malezi yanamata sana kwakweli
 
Nahisi tu aliposikia kelele alijuwa labdani ugomvi labda mnapigana, kama ujuavyo mama kwa mwanae ni kama kugusa mboni ya jicho lake akaamua aje asikilize kumbe makelele yenu yalikuwa ya raha tu hakuna ugomvi

Alafu kabla ujaconclude ungejiuliza mmemkuta mara ngapi, coz tabia ni jambo linalofanywa kwa kujirudia rudia

Wakati mwingine jaribu kuwa Positive
 
Ila kuna watu humu wana ushauri usiofaa kimaadili hata kidogo, yaani mtu anashauri jamaa akalale na Mama mkwe wake kabisa, this is real shit. Labda kama ame comment as joke, which is real bad.

Maoni ya namna hii yakiendelea kutolewa itafikia wakati mtu hawezi kuomba ushauri humu kwa jambo serious.

Hii Ina implies mmomonyoko mkubwa wa kimaadili uliopo miongoni mwetu.
 
Kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa kuwa na baridi kiasi kipindi hiki ambapo pia nipo likizo, najikuta muda mwingi nikiwa chumbani, tena kitandani na wife tukishiriki tendo takatifu la ndoa.

Mke wangu ni miongoni mwa wale wanawake ambao wakifikishwa kileleni Hutoa sauti za mahaba na vilio tofauti tofauti vya kunogeza game!

Hivi karibuni baada ya kumaliza show yetu salama. Wife alihisi kitu kwa nje ya mlango kupitia uwazi unaotenganisha mlango na sakafu hivyo akaamua kwenda kufungua mlango, na akapigwa na butwaa baada ya kukutana uso kwa uso na macho ya mama yake mzazi ambaye kwa wakati huo alikuwa ameduwaa mithili ya mtu aliyefumaniwa: Alipoulizwa hakuwa na majibu ya kuridhisha.

Sipati majibu nia yake ni nini hasa, na anapata faida gani baada ya kufuatilia game zetu na mwisho wake ni nini! Hatamuonea wivu mwanaye! Maana bado yupo kwetu na hatujui lini ataondoka.

Wataalam naomba mnisaidie.
Na wasi wasi na uzi
 
Back
Top Bottom