Full charge
JF-Expert Member
- Mar 1, 2018
- 1,678
- 1,617
Duh! Ushaur wa shetan kabsaWe mpelekee moto huyo mama mkwe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh! Ushaur wa shetan kabsaWe mpelekee moto huyo mama mkwe
Mkuu unaweza hii kweli, mchana mama mkwe yuko sebleni alafu et wewe kisingizio kuna baridi mnaanza kukazana na wife.Dah,malezi yanamata sana kwakweli
Aisee kumbe ndo maana maandiko yanasema aziniye hana akili.Kichwa cha chini kinapochachamaa, cha juu kinapoteza ufahamu, inawezekana sana tu
Kwani mleta Uzi ye anagonga zigo mchana mchanamchana na mama mkwe yuko sebuleni?.huyu jamaa atakuwa anapenda sana mambo ya show off.
Kama yule wa Kenya mpaka akapata Ujauzito.Ipo siku mama mkwe atataka gemu na yeye
Kweli jukwaa la great thinkers hili eti?Mfungie spika chumbani kwake na uweke mike chumbani kwako ili ukiwa unapiga bakora za kimkakati asipate shida kuja mlangoni
Jamani huku ni kukufuru... Hivi ukikuta baba yako mzazi kampandia mkeo utajisikiaje? Mzazi ni mtu muhimu sana na anatakiwa kuenziwa na sii vinginevyo... Hukuwahi kusikia msemo wa waswahili mzazi ni Mungu wa Pili??? Jaribu uone, utakuwa chizi halafu tuanze kuulizana aliyekulonga!!! utaiharibu dunia yako na mbinguni huna fungu ukifanya upuuzi huuMgonge wee vipi, huoni kama mnamtamanisha na wewe huna interest , kwani si ana chura kama mwanaye ama?
Mkwe anaugwadu wa kutosha nae anataka kunata na bitiKutokana na mabadiliko ya hali ya hewa kuwa na baridi kiasi kipindi hiki ambapo pia nipo likizo, najikuta muda mwingi nikiwa chumbani, tena kitandani na wife tukishiriki tendo takatifu la ndoa.
Mke wangu ni miongoni mwa wale wanawake ambao wakifikishwa kileleni Hutoa sauti za mahaba na vilio tofauti tofauti vya kunogeza game!
Hivi karibuni baada ya kumaliza show yetu salama. Wife alihisi kitu kwa nje ya mlango kupitia uwazi unaotenganisha mlango na sakafu hivyo akaamua kwenda kufungua mlango, na akapigwa na butwaa baada ya kukutana uso kwa uso na macho ya mama yake mzazi ambaye kwa wakati huo alikuwa ameduwaa mithili ya mtu aliyefumaniwa: Alipoulizwa hakuwa na majibu ya kuridhisha.
Sipati majibu nia yake ni nini hasa, na anapata faida gani baada ya kufuatilia game zetu na mwisho wake ni nini! Hatamuonea wivu mwanaye! Maana bado yupo kwetu na hatujui lini ataondoka.
Wataalam naomba mnisaidie.
Aaahaaa,nmecheka.Mtafuteni mtu ampigie simu kuwa kwake majambazi wamevunja mlango kama mnashindwa kumchana live.
Aaahaaa,nmecheka.Mtafuteni mtu ampigie simu kuwa kwake majambazi wamevunja mlango kama mnashindwa kumchana live.
aagh Mama mkwe anaskilizia mwanawe akikojozwa na yeye anaenda kujichua.Kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa kuwa na baridi kiasi kipindi hiki ambapo pia nipo likizo, najikuta muda mwingi nikiwa chumbani, tena kitandani na wife tukishiriki tendo takatifu la ndoa.
Mke wangu ni miongoni mwa wale wanawake ambao wakifikishwa kileleni Hutoa sauti za mahaba na vilio tofauti tofauti vya kunogeza game!
Hivi karibuni baada ya kumaliza show yetu salama. Wife alihisi kitu kwa nje ya mlango kupitia uwazi unaotenganisha mlango na sakafu hivyo akaamua kwenda kufungua mlango, na akapigwa na butwaa baada ya kukutana uso kwa uso na macho ya mama yake mzazi ambaye kwa wakati huo alikuwa ameduwaa mithili ya mtu aliyefumaniwa: Alipoulizwa hakuwa na majibu ya kuridhisha.
Sipati majibu nia yake ni nini hasa, na anapata faida gani baada ya kufuatilia game zetu na mwisho wake ni nini! Hatamuonea wivu mwanaye! Maana bado yupo kwetu na hatujui lini ataondoka.
Wataalam naomba mnisaidie.
Tuwe realistic; binti yake wakati anapiga kelele wala hakua anajitambua, mwanamke akiwa kwenye climax hawezi kua na hisia kama anachunguliwa, mwanaume hali kadhalika hasa wakati wazungu/watoto wanatoka, unaweza kumuahidi mtu kumpa dunia nzima wakati uwezo huo huna, binti ni kwamba kahisi anachunguliwa wakati show imesiaha or wakati wa mapumziko so kipindi hicho mama alitakiwa kua kaondoka cause alikua kahakikisha kwamba mkwe wake ni RIJALI hasa maanake anajua kumliza binti yake. Mama ana kitu anakitaka but again naogopa sana kutoa ushauri wangu ambao nahisi utakua wa KIJINGAMkuu itakuwa Mama Mkwe alikuwa anachungulia kuhakikisha usalama tu wa Mwanae. Labda alivyosikia hizo kelele, alidhani unamchinja, ndio maana akaja mlangoni kuchungulia.
Hao wenzetu wazunguMkuu unaweza hii kweli, mchana mama mkwe yuko sebleni alafu et wewe kisingizio kuna baridi mnaanza kukazana na wife.