Mama Mkwe ana tabia ya kutusikiliza wakati tukifanya majambozi

Sasa nyie hamjui kufanya kimya kimya wakwe/wageni wakiwepo 😱?Au ndoa changa?
Kwa watu walobobea kwenye ndoa wanajua kulihandle hilo tatizo ukiwa na watoto wa umri fulani/wageni inabidi upunguze mihemko unajiachia mkiwa wenyewe au mnaenda sehem maalum mfano romantic weekend....

Jingine inawezekana unamfikisha sana mkeo mpaka mama mkwe akapatwa na mshawasha!
Kama hali ishakuwa hivo uwe makini isijekuwa na yeye keshaanza kujenga matamanio!

NB:Kuna swali nmejiuliza pia mama mkwe wako ana umri gani na je ameolewa?
 
Kwani mleta Uzi ye anagonga zigo mchana mchanamchana na mama mkwe yuko sebuleni?.huyu jamaa atakuwa anapenda sana mambo ya show off.
 
Tatizo ni nyie wenyewe, Kwanini mnapenda kujaza watu nyumbani kwenu? na Nyumba zenu za uswahilini zina matundu nao ni binadamu wana hisia, usiruhusu ndugu,marafiki au wafanyaka kuja kwako kama huna nafasi au uwezo wa kuwahudumia, Hakikisha unafanya tasmini ya Mazingira yako kukaribisha watu nyumbani kwako.
 
Duh,hampewi limit ila duh,any way si wa zamani kidogo tulifundishwa malezi ya kifala sana.
Achana na ndoa changa wewe, kuna jamaa ilibidi awe anampigia simu mkewe kama anakwenda na mgeni otherwise anamkuta bibie na khanga moja nyepesi sana.
 

50+ walishatalikiana na mumewe miaka mingi iliyopita
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…