Mama mkwe anamhimiza mke wangu anichune; naomba ushauri

Cku za mwanzo za ndoa akili za wanawake wengi bado zinakaa kinyumbani zaidi,Unatakiwa kumtoa nyumbani kifkra kumweka kwako.Usifadhaike we mpime mkeo kama anakupenda,an zidisha upendo,tafuta jinsi ya kumweka mbali na mamaake (anaonekana alikuwa mchunaji ujana wake),kama ana ratiba ya kwenda kwa mama ake kila wkend tafuta jinsi ya kuipiga chini kwa kumtengenezea ratiba zingine
Mzalishe watoto (muhim sana hili).
 
Kadri siku zinavyoenda ndo identify ya mwanaume inavyopotea, umeshajua nini kinaendelea siyo kwa kusimuliwa bali kwa kuona kwa kukusaidia fanya mambo mawili kati ya haya, mwite mwambie kila kitu option hii kama bado unampenda na bado unataka kuendelea na ndoa japo kuna asilimia nyingi huko mbele itakuja kukukost option ya pili inahitaji moyo wa chuma vunja ndoa achana nae kwa amani itakusumbua mwanzoni lakini hiyo ndiyo dawa ya kudumu the option is up to u bro
 
Hakuna kitu kama hicho huwezi badili akili na fkra za mtu mzima sana atabadili mbinu tuu lakini lengo lipo pale pale na pengine anaweza tengenezewa mbinu za kumtoa uhai kabsa ili mke arithi mali
 
Wamama wa mjini ni shida sana. Wanawafanya wanao kama kitega uchumi. Na ukute mipango yote anayokuambia mkeo ya kimaisha anakuwa ameelekezwa na mama ake. Pole sana mwamba
 
matukio kama haya ndo yanatuongezea point vijana wa Kataa ndoa na kubaki na msimamo wetu Kataa ndoa okoa kibunda chako
 
Asante sana mkuu. Alikubali masharti ya mama yake
 
Mkuu sijasoma uzi wote, ila mama mkwe anae ingiilia anga zako mpelekee moto
 
Wamama wa mjini ni shida sana. Wanawafanya wanao kama kitega uchumi. Na ukute mipango yote anayokuambia mkeo ya kimaisha anakuwa ameelekezwa na mama ake. Pole sana mwamba
Asante mkuu. Yaani hawa wakwe wa mjini wanatia hasira sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…