Mama mkwe hataki niolewe na mwanaye kisa mimi ni Mchaga

Na ndokinachoniumiza hizi vurugu angefanya kabla ya mahari Mimi ningejikataa zangu ila swala la kunilipia mahari ni Kama wamenitia nuksi hata tukiachana kupata mtu nahisi itakuwa shida coz naskia kulipiwa mahari na kuvalishwa Pete ni Kama Agano
Kibiblia hakuna katazo la kuvunja uchumba, sio agano. Agano niko kwenye Unyumba kama mlifanya
 
miss chuga balaa uje uzingue huko mbele,yani makaburi yatafukuliwa na kila mtu,show atasimamia huyo mama mkwe.

Kama utakubali kuolewa na huyo jamaa utahitaji kuwa makini sana sababu hata kama migogoro ikitokea haiwezi kupelekwa kwa wazazi wa mume tena.
 
Sio wachaga tu hata wapare..

Sent from my SM-G611K using JamiiForums mobile app
 
kwa nini mkuu,kama hutojali unaweza kutushikrikisha sababu ya kwa nini hutoweza kufanya hivyo?
mkuu wachagga sisi bhna yaani unavowaona tu hawajui mapenzi yaani ukiwa na mchagga faragha utachukia sana, achana na hizo za faragha lakini hoja yangu ya msingi sisi wachagga tunapendwa na wazazi wetu kama ilivo sawa na jamii za kihindi unavoziona, kwa sisi kuna ile wazazi na ndugu wanachukulia maanani swala la mtoto wao hasa anapopiga hatua (usipopiga hatua kwenye jamii zetu unadharaulika sana, hata salamu hupewi wala wazazi hawatakujali) pia wachagga wakijua una oa wanataka mtu wa maana.
Kuhusu wadada wakichaga wanadharau, hawajui kupenda huwezi kuta mwanamke wa kichagga anakupigia magoti eti salam, au anakusikiliza kwa heshima, ukizuba zuba unaeza hata kupigwa na kudhulumiwa mali. sasa dada zangu jirekebisheni.
 

aiseee pole sana
 
ah okay kumbe ndo ilivyo asante kwa kushiriki hili na sisi

na nadhani haya maneno yako yataeleweka zidi kwa sababu yametoka kwa mtu kutoka huko pia
 
Amani,very important thing in marriage,hata kama mtakuwa na mali na magari mnaweza msione thamani yake kama ndoa yenu haitakuwa na amani...
 
Ukisikia mtihani wa maisha ndio huu sasa
 
This is best and wisdom comment.!

Inapaswa bint ajitahid japo kubadir asili ni ngumu ajitahid kwa Kweli kufuata ushaur wako mzuri.
 
Siwezi zingua tuna mwaka wa 7 sahivi toka tuanze mahusiani hajawahi kuona kasoro yoyote kwangu ndomana anaumia
 
Siwezi zingua tuna mwaka wa 7 sahivi toka tuanze mahusiani hajawahi kuona kasoro yoyote kwangu ndomana anaumia
Mmh, huna kasoro kabisa.!
Honger sana bila Shaka wazaz wake pia wanakufahamu vzr zaidi ya miaka 2 au uchumba wenu ulkua wa siri sana.

Kwa miaka zaid ya 6 atakua amekupotezea muda sana na hivyo huna kasoro inatakiwa wazaz wenyw wakukubalie bila tatizo.
 
Tuliambiwa wamachame wanauwaga waume zao mara baada ya watoto wao kuwa wakubwa.kimsingi inadaiwa ni study imefanyika.inamaanisha Miongoni mwa wajane kundi kubwa ni la wachaga.labda ifanywe study upya itakayo prove wrong hii story."Wachaga husababisha vifo vya waume zao pindi watoto wao wanapokuwa wakubwa".

Personally niliaminishwa hivyo miaka hiyo na ikapelekea nikawaepuke wanawake wa kichaga na wanyiramba ktk harakati zangu za kutafu mke.
 
Kinachoshangaza watu hao ndugu zake hawanijui hata huko mtwara sijawahi kwenda ndomana mtoto wao aliwambia mtu hata hamumjui mnaanza kumchukia na mkikaa nae si itakuwa shughuli, yani nyie acheni tu imefika hatua mama mtu ikipita hata masaa 5 hajapigiwa simu na mwanae utaskia toka uwe na huyo mwanamke umebadilika kitu kidogo ambacho Mimi sihusiki utaskia toka uwe na huyo mwanamke umebadilika me wakati mwingine huwa nacheka tu maana vingine vinachekesha


 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…