''MAMA MWENYE NYUMBA'' vs ''MPANGO WA KANDO''-WHO ENJOYS?


Mambo mpenzi? Missed you aisee....
Mbona wataka kuharibu taimingi za watu hivi hivi?
 
huo ndo ukweli unaotuzunguka,,hata usipozungumzwa ulikuwepo na upo,,,sitaki kuamini kuwa maneno ya keyboard ndo matendo,,lkn huo ndo ukweli

hebu cheki na kimey aliniambia ana mpango wa nje huko usalule sasa sijui ufunge safari uende huko
 
Mambo mpenzi? Missed you aisee....
Mbona wataka kuharibu taimingi za watu hivi hivi?

nimekumiso pia my darling!......wacha tu niaribu kunusuru hawa warembo, wanataka kukwepa majukumu wanaishili kupita njia za panya(waingie ndani waicheze hii ngoma)
 

umeona dada chauro eeh, ndo maana nahisi infii anafaida, unaogesha, unafua, unalisha, akiumwa unauguza,
mambo yakikaa sawa, my infii kuna mech ya Assernal na ........ uko wapi mamaaaaaaa.

Tafadhali jamani..
 
aisee ST RR hapo juu hii thread haijapelekwa off-topic tangu imeanzwa....

mtumie pm nyamayao ataelewa tu
 
nimekumiso pia my darling!......wacha tu niaribu kunusuru hawa warembo, wanataka kukwepa majukumu wanaishili kupita njia za panya(waingie ndani waicheze hii ngoma)

Swali la mwisho.....mwenye kosa hapa ni nani?
MMN au MN au mmiliki wa mipango hiyo miwili?
 
umeona dada chauro eeh, ndo maana nahisi infii anafaida, unaogesha, unafua, unalisha, akiumwa unauguza,
mambo yakikaa sawa, my infii kuna mech ya Assernal na ........ uko wapi mamaaaaaaa.

Tafadhali jamani..

hehehe!aisee haya bana.kamata hii kwa afya yangu:
The Following User Says Thank You to LD For This Useful Post:

Teamo (Today)​
 
umeona dada chauro eeh, ndo maana nahisi infii anafaida, unaogesha, unafua, unalisha, akiumwa unauguza,
mambo yakikaa sawa, my infii kuna mech ya assernal na ........ Uko wapi mamaaaaaaa.

Tafadhali jamani..

ha ha ha ha
 
aisee ST RR hapo juu hii thread haijapelekwa off-topic tangu imeanzwa....

mtumie pm nyamayao ataelewa tu

Ok...ok...baba g.....hiyo offtopic yangu ililenga kuingia on topic.....😛arty:....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…