''MAMA MWENYE NYUMBA'' vs ''MPANGO WA KANDO''-WHO ENJOYS?

''MAMA MWENYE NYUMBA'' vs ''MPANGO WA KANDO''-WHO ENJOYS?

hujanipata vizuri Chauro....hakuna kitu nakipinga kama hiki, ni kwa vile tu ukisoma mabandiko ya humu ndani wazee wanakuambia hakuna mwanaume mwenye kuweza kukaa na mwanamke mmoja, na akitoka nje c bora ujue kama anatoka bac, na je ucpojua ukakaa ukajifariji kumbe magonjwa yanakunyemelea taratibu?....ishu kwangu sio kurudi ishu kwangu ni kwa hao warembo wanaokubali kuweka uzuri wao rehani na kutembea na waume za watu wakijua fika hawana future nao ila mwisho wa cku wanarudi kwa wanaowaita"wife"...nakemea hao wadada kwa nguvu zote nikiwaambia "ringieni uzuri/urembo wenu".....hawa wazee(Asprin) wacwadanye mwisho wa cku wanakimbilia kwa wife zao na adabu zote.

Mambo mpenzi? Missed you aisee....
Mbona wataka kuharibu taimingi za watu hivi hivi?
 
huo ndo ukweli unaotuzunguka,,hata usipozungumzwa ulikuwepo na upo,,,sitaki kuamini kuwa maneno ya keyboard ndo matendo,,lkn huo ndo ukweli

hebu cheki na kimey aliniambia ana mpango wa nje huko usalule sasa sijui ufunge safari uende huko
 
Mambo mpenzi? Missed you aisee....
Mbona wataka kuharibu taimingi za watu hivi hivi?

nimekumiso pia my darling!......wacha tu niaribu kunusuru hawa warembo, wanataka kukwepa majukumu wanaishili kupita njia za panya(waingie ndani waicheze hii ngoma)
 
unachokiongea nyamayao ni sawa kwahiyo unahalalisha kwao kulala ovyo uko nje hapa sijakuelewa dada una maana gani kwa hiyo atembee tu huko halafu atakimbilia kwangu nimpokee sababu ni mume mbona kama tunachanganya mambo huwa tunajisahau sana na kuamini ukishaolewa unapendwa wewe tu na hakuna kingine bado naamini kuna security ambayo ndoa inatupa ndio inatufanya wanaume waweze kuandika haya na sisi tunasapoti kuamini atarudi tu na magonjwa je mapenzi yanagawanyika wapi uliona usafishe chupi usiku mwingine akaweka utando wake halafu atarudi najua atarudi sababu ya hii NDOA

umeona dada chauro eeh, ndo maana nahisi infii anafaida, unaogesha, unafua, unalisha, akiumwa unauguza,
mambo yakikaa sawa, my infii kuna mech ya Assernal na ........ uko wapi mamaaaaaaa.

Tafadhali jamani..
 
aisee ST RR hapo juu hii thread haijapelekwa off-topic tangu imeanzwa....

mtumie pm nyamayao ataelewa tu
 
nimekumiso pia my darling!......wacha tu niaribu kunusuru hawa warembo, wanataka kukwepa majukumu wanaishili kupita njia za panya(waingie ndani waicheze hii ngoma)

Swali la mwisho.....mwenye kosa hapa ni nani?
MMN au MN au mmiliki wa mipango hiyo miwili?
 
umeona dada chauro eeh, ndo maana nahisi infii anafaida, unaogesha, unafua, unalisha, akiumwa unauguza,
mambo yakikaa sawa, my infii kuna mech ya Assernal na ........ uko wapi mamaaaaaaa.

Tafadhali jamani..

hehehe!aisee haya bana.kamata hii kwa afya yangu:
The Following User Says Thank You to LD For This Useful Post:

Teamo (Today)​
 
umeona dada chauro eeh, ndo maana nahisi infii anafaida, unaogesha, unafua, unalisha, akiumwa unauguza,
mambo yakikaa sawa, my infii kuna mech ya assernal na ........ Uko wapi mamaaaaaaa.

Tafadhali jamani..

ha ha ha ha
 
aisee ST RR hapo juu hii thread haijapelekwa off-topic tangu imeanzwa....

mtumie pm nyamayao ataelewa tu

Ok...ok...baba g.....hiyo offtopic yangu ililenga kuingia on topic.....😛arty:....
 
Back
Top Bottom