Mama Mzazi wa Erick Kabendera amuomba Rais Magufuli kumsamehe mwanae

Huo ushauri alipaswa kupewa Sabaya, sio Kabendera.
Nimemuonea huruma sana huyu bibi na sisi watoto tujifunze tunapokuwa sehemu tujifunze tutii mamlaka tunawapa tabu sana wazazi wetu
 
Ulitaka wafanyaje?
 
Nyie watu mna roho mbaya sana
 
Aiseee
 
Laana ya huyu mama iendelee kuwatafuna wote waliohusika na kesi ya kabendera
 
Magufuli alikua shetani alitakiwa afufuliwe akatupwe baharini shetani mkubwa yule
 
Nimemuonea huruma sana huyu bibi na sisi watoto tujifunze tunapokuwa sehemu tujifunze tutii mamlaka tunawapa tabu sana wazazi wetu
Mungu ametufundisha Utii lakini hakuwahi kusema tumtii shetani
 
Magufuli alikua shetani alitakiwa afufuliwe akatupwe baharini shetani mkubwa yule
Shetani ni mama yako anatakiwa akachomwe moto na majivu yake yakamwagwe kwenye kina kirefu cha bahari.
 
Shetani ni mama yako anatakiwa akachomwe moto na majivu yake yakamwagwe kwenye kina kirefu cha bahari.
Kwendraaa basi ukazikwe nae maana sahizi lishajiozea huko chato lile limzoga[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Shetani ni mama yako anatakiwa akachomwe moto na majivu yake yakamwagwe kwenye kina kirefu cha bahari.
Utakoma hadi roho itakutoka, kalime upate chakula maana bwanako ndo hivyo tena hatawali tena au bado unaamini ataogezewa muda🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…