Mimi na kula maisha tu kama kawa mkuu!! Wala sifikiri mimi ni mlalahoi kama wewe!Utakoma hadi roho itakutoka, kalime upate chakula maana bwanako ndo hivyo tena hatawali tena au bado unaamini ataogezewa muda🤣🤣🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mimi na kula maisha tu kama kawa mkuu!! Wala sifikiri mimi ni mlalahoi kama wewe!Utakoma hadi roho itakutoka, kalime upate chakula maana bwanako ndo hivyo tena hatawali tena au bado unaamini ataogezewa muda🤣🤣🤣🤣
Bado wapambe wakeNdo wamelipa au bado???
Unatunga uongo kwa faida ya nani ?Mimi na kula maisha tu kama kawa mkuu!! Wala sifikiri mimi ni mlalahoi kama wewe!
Kwa faida yangu! Vipi hujajifungua tu?!Unatunga uongo kwa faida ya nani ?
Huna hojaKwa faida yangu! Vipi hujajifungua tu?!
ingefaa sasa utuambie Kabendera alifanya nn?Changanya dua za wafungwa elfu tano na ushee +ndugu na jamaa za wafungwa,ukipata jumla yake,kaanayo
Kisha laana huyo bibi na kijana wake msaliti wa taifa upime mzani .
Kosa alilofanya huyu dogo kwa taifa hili alistahili kunyongwa,sema Magufuli anahuruma sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Huyu mqma kabendera nilienda kushiriki kumuaga pale parokia ya chang'ombeMaisha kuna leo na kesho , viongozi pia wajitahidi kutenda haki .
Dua zenu zimelipaHuyu mqma kabendera nilienda kushiriki kumuaga pale parokia ya chang'ombe
wako wengine wanafuatiaInasikitisha Sana kuona mambo yalivyokuwa yanaenda.
Mama wa watu alipata magonjwa kwa kufungwa kwa mwanae.
Mama Kabendera ametangulia na aliyekuwa anamuomba naye ametangulia....Inafikirisha Sana hii.
Noma sana !Mwenda zake alitesa watu
Leo yupo wapi?
Hapa Duniani tunapita tu
Tuishi vizuri na wenzetu
Tayari kishakula laana
HatimayeKabla hujafa hujaumbika , hivi kama kweli Kabendera ni mtakatisha pesa huyu mama angelia namna hii ? endeleeni na ukatiri wenu lakini mtakuja kulipa tu
Kiko wapi sasa!!Changanya dua za wafungwa elfu tano na ushee +ndugu na jamaa za wafungwa,ukipata jumla yake,kaanayo
Kisha laana huyo bibi na kijana wake msaliti wa taifa upime mzani .
Kosa alilofanya huyu dogo kwa taifa hili alistahili kunyongwa,sema Magufuli anahuruma sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Halafu kuna mbwa zinaomba apumzuke kwa amani, WTF, malipo hapa hapa, baadae mbinguni, amemkuta Mama Kabendera amekaa kuume kwa bwana, wakati lenyewe likiungua moto, linaomba japo mama kabendera alipatie maji ya kunywa hata toneVerdiana Mjwahuzi (81) ambaye ni mama wa mwandishi wa habari, Erick Kabendera amemuomba Rais wa Tanzania, John Magufuli kumsamehe mwanaye.
Akizungumza kwa huzuni leo Ijumaa Desemba 13, 2019 katika mkutano na waandishi wa habari, Verdiana amesema Kabendera ni mwanaye pekee anayemsaidia katika matibabu.
Kabendera anakabiliwa na mashtaka matatu likiwemo la utakatishaji za zaidi ya Sh173 milioni na tayari amemuandikia barua mkurugenzi wa mashtaka (DPP) kukiri makosa na kuomba msamaha. Oktoba Mosi , 2019 kupitia wakili wake Jebra Kambole, alimuomba msamaha Rais Magufuli kama kuna makosa ameyafanya.
Verdiana amesema kati ya watoto wake wanane, Kabendera ni wa saba kuzaliwa na ndio alikuwa na uwezo wa kumtunza na kumuuguza.
Mheshimiwa Rais na yeye ni mtoto kama walivyo watoto wengine hata kama ni mkubwa. Ni mzazi na analea watoto. Namwomba anionee huruma.”
"Angalia maisha yalivyo magumu, dawa sipati. Naomba Rais anisaidie kama anavyosaidia wazazi wake,” amesema.
Amesema mwanaye alijitahidi kuitunza familia yake, yeye na ndugu zake wengine na kusisitiza kuwa ndio mhimili wa familia.
"Siwezi kumsifia mwanangu, wanaume wengi wakitoka kazini wanakwenda kulewa lakini Eric anafanya kazi zake hapa nyumbani hadi saa saba usiku na wakati mwingine hadi saa nane . Mambo yote aliyopata ni kwa sababu ya kufanya kazi," amesema mama huyo huku akibubujikwa machozi.
Ameongeza, “kule Segerea (gerezani) siwezi kwenda kwa sababu kuna msongamano wa watu, mahakamani kuna ngazi. Lakini mara ya mwisho nilijitahidi nikaenda nilipomuona mwanangu sikulia, nilijikaza lakini chozi moja lilinitoka. Sikujua kama ni yeye, amekonda na ana nywele nyingi kama mwehu. Ni mweusi lakini amezidi kuwa mweusi.
"Huyu mtoto ni Mungu amenizawadia, ni tunu kwangu. Akisikia mama anaumwa anakimbia haraka. Sasa hizo dawa sizipati tena, macho yalikuwa yanauma na moja halioni tena na hili linaloona naona vitu vyeusi."
View attachment 1291137