Mama Mzazi wa Erick Kabendera amuomba Rais Magufuli kumsamehe mwanae

Utakoma hadi roho itakutoka, kalime upate chakula maana bwanako ndo hivyo tena hatawali tena au bado unaamini ataogezewa muda🤣🤣🤣🤣
Mimi na kula maisha tu kama kawa mkuu!! Wala sifikiri mimi ni mlalahoi kama wewe!
 
ingefaa sasa utuambie Kabendera alifanya nn?
Tito magondi alifanya nini?
 
Hehehhehe dah nacheka kama mazuri vile. Ila dingi alikuwa ana roho inafanana na huu mmea kama unavyofanana nae. 😂😂
 

Attachments

  • 20240311_141602.jpg
    94.6 KB · Views: 3
Halafu kuna mbwa zinaomba apumzuke kwa amani, WTF, malipo hapa hapa, baadae mbinguni, amemkuta Mama Kabendera amekaa kuume kwa bwana, wakati lenyewe likiungua moto, linaomba japo mama kabendera alipatie maji ya kunywa hata tone
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…