Headcorner
JF-Expert Member
- Nov 26, 2020
- 205
- 292
Akihojiwa na chombo kimoja cha habari Mama mzazi wa Mchezaji Feisal Salum Fei Toto amelitaka shirikisho la Mpira wa Miguu kutenda haki hapo kesho.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
TFF wanashindwa nguvu na hizi timu 2 kongwe maamuzi mengi yamekuwa yakuzibeba hizi takataka,hata upangwaji wa mechi huwezi kukuta Simba au Yanga zinacheza saa8 jua kali tofauti na ulaya Man utd unaweza kucheza saa 8 au saa9 na ikawa poa..TFF acheni dhulma na Uhuni...mpeni kijana haki yake.
Waliomdanganya feisal kwanza walimuhaidi pesa nyingi sana,na wakamdanganya kuhusu suala zima la kesi awaachie wao while kama fei angekua akili angewaambia tu wapeleke ofa yao kwa YangaHaki Gani Wewe?!, Feisal Sio Mchezaji Wa Kwanza Duniani Kuondoka Kwenye Timu ilhali Ana Mkataba Na Iyo Timu, Ila Kuna Taratibu Sahihi Huwa Zinafuatwa Na Jambo Hukamilika Sasa Sio Anavotaka Kufanya Yeye Mikataba Haivunjwi Kihuni Hivo Kama Alivofanya Eti Unaweka Hela Kwenye Acc Af Unasepa Kwamba Tayari Umevunja Mkataba [emoji16], Mpira Una Taratibu Na Kanuni Zake Za Kufuatwa Na Ndizo Zitakazotumika Kuamua Ishu Yake Na Sio Kwa Kutumia Mihemuko Yenu Na Huruma.
Waliomdanganya feisal kwanza walimuhaidi pesa nyingi sana,na wakamdanganya kuhusu suala zima la kesi awaachie wao while kama fei angekua akili angewaambia tu wapeleke ofa yao kwa Yanga
Umekariri wewe...hoja za wakati wa nyerere...poor education, poor infrastructure...TFF wanashindwa nguvu na hizi timu 2 kongwe maamuzi mengi yamekuwa yakuzibeba hizi takataka,hata upangwaji wa mechi huwezi kukuta Simba au Yanga zinacheza saa8 jua kali tofauti na ulaya Man utd unaweza kucheza saa 8 au saa9 na ikawa poa..TFF acheni dhulma na Uhuni...mpeni kijana haki yake.
Toa mifano ya hao wachezaji waliofanya uhuni kama wa Feisali tuoneHaki Gani Wewe?!, Feisal Sio Mchezaji Wa Kwanza Duniani Kuondoka Kwenye Timu ilhali Ana Mkataba Na Iyo Timu, Ila Kuna Taratibu Sahihi Huwa Zinafuatwa Na Jambo Hukamilika Sasa Sio Anavotaka Kufanya Yeye Mikataba Haivunjwi Kihuni Hivo Kama Alivofanya Eti Unaweka Hela Kwenye Acc Af Unasepa Kwamba Tayari Umevunja Mkataba [emoji16], Mpira Una Taratibu Na Kanuni Zake Za Kufuatwa Na Ndizo Zitakazotumika Kuamua Ishu Yake Na Sio Kwa Kutumia Mihemuko Yenu Na Huruma.
huyu mama hana anachojua na hayo aliyosema yanaakisi msimamo wa fei totoAkihojiwa na chombo kimoja cha habari Mama mzazi wa Mchezaji Feisal Salum Fei Toto amelitaka shirikisho la Mpira wa Miguu kutenda haki hapo kesho.
View attachment 2534235
Utopolo ndio wanabebwa sio Simba Sc, hao mbumbumbu wa sheria FC wana bahati sana.TFF wanashindwa nguvu na hizi timu 2 kongwe maamuzi mengi yamekuwa yakuzibeba hizi takataka,hata upangwaji wa mechi huwezi kukuta Simba au Yanga zinacheza saa8 jua kali tofauti na ulaya Man utd unaweza kucheza saa 8 au saa9 na ikawa poa..TFF acheni dhulma na Uhuni...mpeni kijana haki yake.
Kwa iyo yanga mmeamua kumkomoaFeisal Hakuwa Na Washauri Wazuri Juu Hili Jambo Na Ni Wazi Waliokuwa Wanamshauri Hawazijui Sheria Za Mpira Hata Kidogo…Feisal Ameingia Cha Kike.
Bush lawyers mnadanganyana sana huku, huku vichwa vyenu mmeficha kwenye mchanga, mnavyobebwa na TFF ajabu mpaka leo mnajidai hamuoni!Haki Gani Wewe?!, Feisal Sio Mchezaji Wa Kwanza Duniani Kuondoka Kwenye Timu ilhali Ana Mkataba Na Iyo Timu, Ila Kuna Taratibu Sahihi Huwa Zinafuatwa Na Jambo Hukamilika Sasa Sio Anavotaka Kufanya Yeye Mikataba Haivunjwi Kihuni Hivo Kama Alivofanya Eti Unaweka Hela Kwenye Acc Af Unasepa Kwamba Tayari Umevunja Mkataba [emoji16], Mpira Una Taratibu Na Kanuni Zake Za Kufuatwa Na Ndizo Zitakazotumika Kuamua Ishu Yake Na Sio Kwa Kutumia Mihemuko Yenu Na Huruma.
Kama vile ulikuwepo wakidanganyana, utopolo bana[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Waliomdanganya feisal kwanza walimuhaidi pesa nyingi sana,na wakamdanganya kuhusu suala zima la kesi awaachie wao while kama fei angekua akili angewaambia tu wapeleke ofa yao kwa Yanga
Bi mkubwa anavyolalamika ni kama vile mwanae alisaini huu mkataba akiwa mirembe kumbe alisaini akiwa na akili zake timamuFeisal Hakuwa Na Washauri Wazuri Juu Hili Jambo Na Ni Wazi Waliokuwa Wanamshauri Hawazijui Sheria Za Mpira Hata Kidogo…Feisal Ameingia Cha Kike.
Anataka haki gani tena, na wakati mtoto wake amechagua njia ya kihuni? Kwa nini alichagua njia ya mkato kuvunja mkataba wake?Akihojiwa na chombo kimoja cha habari Mama mzazi wa Mchezaji Feisal Salum Fei Toto amelitaka shirikisho la Mpira wa Miguu kutenda haki hapo kesho.
View attachment 2534235
Kama Media zinamfuata kumhoji asiongee ?Huyo mama anapenda sana kujianika mbele ya vyombo vya habari au ndo anajitengenezea soko!!!......matokeo yake atakuja kumdhalilisha mtoto wake
Mkuu ukifuatilia soka la Bongo Simba na Yanga zinanguvu kubwa sana hadi ndani ya Serikali sembuse KWA Tifua Tifua.Utopolo ndio wanabebwa sio Simba Sc, hao mbumbumbu wa sheria FC wana bahati sana.