Mama mzazi wa Feisal aitaka TFF itende haki

Mama mzazi wa Feisal aitaka TFF itende haki

Uyo mama anatumiwa na wakina jemedari na wao wanapata pesa kupitia mitandao yao uko, Mambo ya kisheria ayanaga huruma, anasema fei aliteseka sana sijui alitesekaje? Alikuwa ananyimwa chakula kambini? Alikuwa alipwi mshahara wake? Alikuwa atimiziwi mahitaji yake? Uyu fei amezungukwa na watu wasiojitambua na ndio wanaomshauri sasa asipojiangalia atapotea kwenye ramani ya soka, Anadhani anaikomoa yanga ajui yanga ni taasisi aiwezi kuyumbishwa na mtu mmoja na ndio maana tokea fei atokomee kusikojulikana shughuli za taasisi zinaendelea kama kawaida na timu inaendelea kupata mafanikio bila yeye, Yeye aendelee kukaa uko mpaka mwaka kesho mkataba wake utakapoisha, CAS ipo kwanini wasiende uko kudai haki yao wanayoona wameporwa? Waache uhuni wa kipumbavu
 
Anataka haki gani tena, na wakati mtoto wake amechagua njia ya kihuni? Kwa nini alichagua njia ya mkato kuvunja mkataba wake?

Aendelee kufurahia maisha huko kwao Zanzibar, huku klabu ikiendelea kumlipa mshahara wake kila mwezi mpaka hapo mwakani mkataba wake utakapofikia tamati.
Kutokuwepo kazini bila sababu zinazokubalika kisheria hawezi kulipwa kila mwezi. Asijikute yeye ndio anadaiwa hasara za kutokuwepo kwake kazini. Sheria msumeno.
 
Mama ana uchungu na mwanae lakini nahisi hana ushauri mzuri kuhusu haya mambo, ana force kuwa manager wa asiyoyajua. Bila kujijuwa anamharibia mwanae badala ya kumtegenezea

Ashauriwe kufata sheria na kanuni na si huruma. Pesa hazina huruma.
MtAfute uumpe ushauri afuate njia gani iliyosahihi katika sakata hili.
 
 
Walio nyuma ya huu mpango ndio waliokwenda kumfata Mama yake Fei Toto wamrekodi Ili ionekane Fei Toto aneonewa sana na Yanga Kwaiyo Tff katika maamuzi yake ya tarehe 2 March 2023 imuonee huruma na kumpendelea Fei Toto katika maamuzi Kwa maana nyingine ana jaribu kuweka shinikizo Kwa mamlaka Ili mtoto wake apendelewe.

Wanajua ki maamuzi hakuna kitakacho badilika kwakua shauri ni lilelile, hakuna ushahidi mpya.
Tukumbuke wakili wa Feitoto alisha Sema Hadharani hatua zote wanazo chukua wanajua uzuri na ubaya wake.
Walimweleza mchezaji na akakubali atavumilia mpaka haki yake ipatikane maana yake ata kama itachukua muda wa miaka kadhaa yupo tayari kusubiria.

Kinacho fuatia huitaji uwe mganga wa kienyeji kutambua Fei anaenda kuangukia pua Kwa maranyinge.Sasa wajiandae kwenda CAS na huko kama kesi itakwenda haraka haipungui miezi sita.

Kwa namna kesi ya Fei ilivyo Kaa uko CAS hatoboi na atarudishwa Yanga kutumikia mkataba kuanzia pale alipo ishia au auzwe Kwa matakwa ya Yanga. Kwa maana atakua na mwaka mzima na nusu maana kwasasa hatumikii mkataba wake bado yupo kwenye kesi.
Poleni mnao mshauri na kuzidi kumuingiza machakani yeye na Familia yake.
 
[emoji81][emoji81]yahee ana taka mpemba pale chamwino amsikie au..ajui mpira auitaji siasa
 
TFF wanashindwa nguvu na hizi timu 2 kongwe maamuzi mengi yamekuwa yakuzibeba hizi takataka,hata upangwaji wa mechi huwezi kukuta Simba au Yanga zinacheza saa8 jua kali tofauti na ulaya Man utd unaweza kucheza saa 8 au saa9 na ikawa poa..TFF acheni dhulma na Uhuni...mpeni kijana haki yake.
Timu gani bongo imecheza saa nane mkuu,hali ya hewa ya wenzetu si kama ya kwetu,kwani hizo team kubwa kucheza saa 10 wanacheza peke yao yani bila mpinzani au zinacheza timu mbili?

IKIFIKA ISHU YA MPIRA TUONGEE KIMPIRA BASI.
 
Fei kubali tu kumaliza yanga.watakacho kufanya utajulikana .hizi timu mbili ni sawa unapambana na ccm
 
TFF wamejaa wajinga wajinga wanasoma upepo wa mashabiki wa Uto na maelekezo ya Mwigulu
 
Timu gani bongo imecheza saa nane mkuu,halibya hewa ya wenzetu si kama ya kwetu,kwani hizo team kubwa kucheza saa 10 wanacheza peke yao yani bila mpinzani au zinacheza timu mbili?

IKIFIKA ISHU YA MPIRA TUONGEE KIMPIRA BASI.
Unabisha hakuna timu zinacheza saa8 mchana ligi juu ya NBC?

Mimi naongea ninachokijua,nimeanza kufuatilia mpira toka enzi za kusikiliza redio ligi ya Tanzania bara mpaka Azam anaanza kuonesha live,Fuatilia au uulize ratiba ya Ligi kuna timu zinacheza mchana jua kali,lakini hizo timu tajwa hazijawahi kupangiwa mechi saa8,TFF Bodi ya Ligi wanazipa hadhi kubwa Timu 2, ndio maana hatuwezi kuwa na ushindani kama nchi zingine kwenye ligi yetu....ukitaka kuona maendeleo timu ya daraja la kwanza upande ligi kuu na imalize top 2,au ichukue ubingwa. ....kwa hapa bongo hiyo ni ndoto, ya alinacha....kila siku wanapikezana kijiti tu hakuna jipya.
 
Timu gani bongo imecheza saa nane mkuu,halibya hewa ya wenzetu si kama ya kwetu,kwani hizo team kubwa kucheza saa 10 wanacheza peke yao yani bila mpinzani au zinacheza timu mbili?

IKIFIKA ISHU YA MPIRA TUONGEE KIMPIRA BASI.
Unabisha hakuna timu zinacheza saa8 mchana ligi juu ya NBC?

Mimi naongea ninachokijua,nimeanza kufuatilia mpira toka enzi za kusikiliza redio ligi ya Tanzania bara mpaka Azam anaanza kuonesha live,Fuatilia au uulize ratiba ya Ligi kuna timu zinacheza mchana jua kali,lakini hizo timu tajwa hazijawahi kupangiwa mechi saa8,TFF Bodi ya Ligi wanazipa hadhi kubwa Timu 2, ndio maana hatuwezi kuwa na ushindani kama nchi zingine kwenye ligi yetu....ukitaka kuona maendeleo timu ya daraja la kwanza upande ligi kuu na imalize top 2,au ichukue ubingwa. ....kwa hapa bongo hiyo ni ndoto, ya alinacha....kila siku wanapikezana kijiti tu hakuna jipya
Tarehe 2 si imepita, hukumu ya TFF imetoka?
Wee umeiona wapi?
Badoo wako chumbani wana process data...kuwa na subra.
 
Kama Media zinamfuata kumhoji asiongee ?
Anaongea kwa uchungu kama mzazi acheni unazi wa hovyo!!
TFF iweke mkataba wazi watu wauone kama kweli hicho kipengele wanachosimamia kina Feisal ni kweli au uongo,Halafu wale washenzi wanaovaa uchi mbona huwa hamsemi kama wanatafuta soko!Mama wa watu kajistiri anaongea maneno yasiyovunja ustaarabu wewe unamtusi na kumvujia heshma kisa Yanga....iko siku nawe mama yako atadhalilishwa kama ulivyofanya.
Bahati mbaya au nzuri kwa umri nilionao sina mzazi aliebaki dunia na mungu awape majaaliwa huko walipo hivyo kuhisi nao watakuja kudhalilishwa hilo ondoa mawazoni......wakija kukuhoji ni lazima ukubali!!!!??utakubali kwa fikra ili watu wakuone na unajitangaza,pia ni kinyume na taratibu za dini yake kwa mwanamama kujianika anika na kupaza sauti hadharani
Jambo litaamuliwa kisheria yeye anataka liamuliwe kwa kuhurumiwa kwa nini yeye asingemshawishi mtoto wake awahirumie waliomfanya kuwa na thamani anayojiona anayo,sie waungwana tuna msemo usemao akutendeae wema usimlipe mabaya,yeye km mzazi kwa nini asingemshauri mtoto wake kutokuwalipa waajiri wake kwa wema hata kidogo kwa kuwaaga na si kutaka kuondoka kihuni
Asubiri hukumu ambayo hakuna ajuae nani itamfurahisha na si kujianika na kijitangaza tangaza kama maslay queen
 
Haki Gani Wewe?!, Feisal Sio Mchezaji Wa Kwanza Duniani Kuondoka Kwenye Timu ilhali Ana Mkataba Na Iyo Timu, Ila Kuna Taratibu Sahihi Huwa Zinafuatwa Na Jambo Hukamilika Sasa Sio Anavotaka Kufanya Yeye Mikataba Haivunjwi Kihuni Hivo Kama Alivofanya Eti Unaweka Hela Kwenye Acc Af Unasepa Kwamba Tayari Umevunja Mkataba [emoji16], Mpira Una Taratibu Na Kanuni Zake Za Kufuatwa Na Ndizo Zitakazotumika Kuamua Ishu Yake Na Sio Kwa Kutumia Mihemuko Yenu Na Huruma.
Ni kweli kabisa Mkuu. Kwenye soka nidhamu kwa wachezaji ni Jambo muhimu sana. Fei Toto asitegemee kuheshimiwa wakati kaonyesha utovu wa nidhamu. Atavuna alichokipanda.
 
Back
Top Bottom