Mama mzazi wa Feisal aitaka TFF itende haki

Mama mzazi wa Feisal aitaka TFF itende haki

Kama Media zinamfuata kumhoji asiongee ?
Anaongea kwa uchungu kama mzazi acheni unazi wa hovyo!!
TFF iweke mkataba wazi watu wauone kama kweli hicho kipengele wanachosimamia kina Feisal ni kweli au uongo,Halafu wale washenzi wanaovaa uchi mbona huwa hamsemi kama wanatafuta soko!Mama wa watu kajistiri anaongea maneno yasiyovunja ustaarabu wewe unamtusi na kumvujia heshma kisa Yanga....iko siku nawe mama yako atadhalilishwa kama ulivyofanya.
Una upungufu wa akili yaani TFF waanze kuanika mikataba ya wachezaji hadharani?
 
Biashara za hovyo! Kama kweli mnatakq kufanya biashara katika ligi uwekezaji uwe wa kutosha kila timu inufaike sawa na wengine kama nchi zilizoendelea sio kwa matabaka.....ifikie kipindi kila timu inayoshiriki ligi iwe na mvuto wa kutazamwa na kila mtu nadhani itakuwa ni maendeleo makubwa ya hizo biashara....kama Bongo Movie KWA sasa wamepiga hatua kwenye Tamthilia(series)....kila series inayotoka kwa sasa inamvuta kila mtu kuifutilia tofauti na zamani mf,kama hizo Huba,Nyavu n.k,sasa na huku kwenye soka ifikie kipindi Ihefu vs Singida BS unakuwa mechi ya kutazamwa wasiangalie Timu 2 au 3 tu.
Acha ubishi kaangalie fixture ya Laliga uone kama Real Madrid na Barcelona hua wanacheza mechi za saa sita mchana ya Spain
 
Bush lawyers mnadanganyana sana huku, huku vichwa vyenu mmeficha kwenye mchanga, mnavyobebwa na TFF ajabu mpaka leo mnajidai hamuoni!
Kuuliza si ujinga.

Ninayo maswali 3 kwako, nipatie majibu yake:-

1. Hivi unazo akili timamu?

2. Ulishawahi kuugua ugonjwa wa Kichaa?

3. Ulishawahi kupata matibabu kwenye Hospitali ya Milembe?

Natanguliza shukrani!
 
TFF wanashindwa nguvu na hizi timu 2 kongwe maamuzi mengi yamekuwa yakuzibeba hizi takataka,hata upangwaji wa mechi huwezi kukuta Simba au Yanga zinacheza saa8 jua kali tofauti na ulaya Man utd unaweza kucheza saa 8 au saa9 na ikawa poa..TFF acheni dhulma na Uhuni...mpeni kijana haki yake.
Mbona msimu ulipita Morison alishinda zidi ya Yanga. Au tunahesabu ni haki kama Yanga akichemka.
 
Back
Top Bottom