Biashara za hovyo! Kama kweli mnatakq kufanya biashara katika ligi uwekezaji uwe wa kutosha kila timu inufaike sawa na wengine kama nchi zilizoendelea sio kwa matabaka.....ifikie kipindi kila timu inayoshiriki ligi iwe na mvuto wa kutazamwa na kila mtu nadhani itakuwa ni maendeleo makubwa ya hizo biashara....kama Bongo Movie KWA sasa wamepiga hatua kwenye Tamthilia(series)....kila series inayotoka kwa sasa inamvuta kila mtu kuifutilia tofauti na zamani mf,kama hizo Huba,Nyavu n.k,sasa na huku kwenye soka ifikie kipindi Ihefu vs Singida BS unakuwa mechi ya kutazamwa wasiangalie Timu 2 au 3 tu.