TFF wanashindwa nguvu na hizi timu 2 kongwe maamuzi mengi yamekuwa yakuzibeba hizi takataka,hata upangwaji wa mechi huwezi kukuta Simba au Yanga zinacheza saa8 jua kali tofauti na ulaya Man utd unaweza kucheza saa 8 au saa9 na ikawa poa..TFF acheni dhulma na Uhuni...mpeni kijana haki yake.
Kitu ambacho jamaa hafahamu, Mechi zinaweza kuchezwa ata saa sita mchana inategemea na Hali ya hewa ya eneo husika.Timu gani bongo imecheza saa nane mkuu,hali ya hewa ya wenzetu si kama ya kwetu,kwani hizo team kubwa kucheza saa 10 wanacheza peke yao yani bila mpinzani au zinacheza timu mbili?
IKIFIKA ISHU YA MPIRA TUONGEE KIMPIRA BASI.
Lakin pia na mwenye haki ya matangazo yeye anainfluence kubwa kwenye kupanga muda wa mechiUmekariri wewe...hoja za wakati wa nyerere...poor education, poor infrastructure...
Hili la muda wa mechi za simba na yanga...mbona lishaelezewa sana...ni kwamba...ni timu zenyewe zinazocheza na simba na yanga kwa sababu za kimapato...hawataki wacheze muda huo...mashabiki wengi watakuwa bado makazini...
Inachekesha sana pale mama anaposema tu TFF itende haki, huku hasemi ni haki gani iliyopotezwa. Na si walisema kesi imepanda juu? Huko juu kuna muafaka gani umefikiwa?Akihojiwa na chombo kimoja cha habari Mama mzazi wa Mchezaji Feisal Salum Fei Toto amelitaka shirikisho la Mpira wa Miguu kutenda haki hapo kesho.
View attachment 2534235
Wewe ni muungwana gani unamdhalilisha mama wa mwenzio kisa ushabiki ambao haukupi chochote mbele ya Mungu kama kweli u muungwana hupaswi kusema mama wa mtu anajitangaza kama Malaya......kavunja sheria ya dini gani kisa kumuongelea mwanae?Bahati mbaya au nzuri kwa umri nilionao sina mzazi aliebaki dunia na mungu awape majaaliwa huko walipo hivyo kuhisi nao watakuja kudhalilishwa hilo ondoa mawazoni......wakija kukuhoji ni lazima ukubali!!!!??utakubali kwa fikra ili watu wakuone na unajitangaza,pia ni kinyume na taratibu za dini yake kwa mwanamama kujianika anika na kupaza sauti hadharani
Jambo litaamuliwa kisheria yeye anataka liamuliwe kwa kuhurumiwa kwa nini yeye asingemshawishi mtoto wake awahirumie waliomfanya kuwa na thamani anayojiona anayo,sie waungwana tuna msemo usemao akutendeae wema usimlipe mabaya,yeye km mzazi kwa nini asingemshauri mtoto wake kutokuwalipa waajiri wake kwa wema hata kidogo kwa kuwaaga na si kutaka kuondoka kihuni
Asubiri hukumu ambayo hakuna ajuae nani itamfurahisha na si kujianika na kijitangaza tangaza kama maslay queen
Chombo cha kupakulia viaziKwa kutumia chombo gani cha kutoa haki? Hii video ya huyu Mama au Sheria?
Chombo cha kupakulia viazi
Hongera mkuu kwa kunipa hongera zangu.Kila mtu ana haki ya maoni na anatakiwa kusikilizwa, akili yako ndo imefikia hapo na sio sawa kubezwa, hongera sana
Hongera mkuu kwa kunipa hongera zangu.
Hilo liko kibiashara zaid kati ya tff na Azam ..Moja ya mashart ya Haki ya matangazo , Azam waliwaambia tff Simba ,yanga ,na Azam..zisicheze siku Moja...pia mda WA kucheza uwe tofauti na Tim zingine...hii ni kwa sababu timu hizo zinafatiliwa sana hivyo inarahisisha utangazaji WA biashara....upo?Unabisha hakuna timu zinacheza saa8 mchana ligi juu ya NBC?
Mimi naongea ninachokijua,nimeanza kufuatilia mpira toka enzi za kusikiliza redio ligi ya Tanzania bara mpaka Azam anaanza kuonesha live,Fuatilia au uulize ratiba ya Ligi kuna timu zinacheza mchana jua kali,lakini hizo timu tajwa hazijawahi kupangiwa mechi saa8,TFF Bodi ya Ligi wanazipa hadhi kubwa Timu 2, ndio maana hatuwezi kuwa na ushindani kama nchi zingine kwenye ligi yetu....ukitaka kuona maendeleo timu ya daraja la kwanza upande ligi kuu na imalize top 2,au ichukue ubingwa. ....kwa hapa bongo hiyo ni ndoto, ya alinacha....kila siku wanapikezana kijiti tu hakuna jipya.
Nawe pia mkuu tuko pamoja.Barikiwa sana
Biashara za hovyo! Kama kweli mnatakq kufanya biashara katika ligi uwekezaji uwe wa kutosha kila timu inufaike sawa na wengine kama nchi zilizoendelea sio kwa matabaka.....ifikie kipindi kila timu inayoshiriki ligi iwe na mvuto wa kutazamwa na kila mtu nadhani itakuwa ni maendeleo makubwa ya hizo biashara....kama Bongo Movie KWA sasa wamepiga hatua kwenye Tamthilia(series)....kila series inayotoka kwa sasa inamvuta kila mtu kuifutilia tofauti na zamani mf,kama hizo Huba,Nyavu n.k,sasa na huku kwenye soka ifikie kipindi Ihefu vs Singida BS unakuwa mechi ya kutazamwa wasiangalie Timu 2 au 3 tu.Hilo liko kibiashara zaid kati ya tff na Azam ..Moja ya mashart ya Haki ya matangazo , Azam waliwaambia tff Simba ,yanga ,na Azam..zisicheze siku Moja...pia mda WA kucheza uwe tofauti na Tim zingine...hii ni kwa sababu timu hizo zinafatiliwa sana hivyo inarahisisha utangazaji WA biashara....upo?
We hujui kitu....hata UEFA Kuna gem special zinazofutia watazamaji zinatengewa mda na siku maalumu.....sio kubwabwaja hapa kama jibwa kolo Waheed weweBiashara za hovyo! Kama kweli mnatakq kufanya biashara katika ligi uwekezaji uwe wa kutosha kila timu inufaike sawa na wengine kama nchi zilizoendelea sio kwa matabaka.....ifikie kipindi kila timu inayoshiriki ligi iwe na mvuto wa kutazamwa na kila mtu nadhani itakuwa ni maendeleo makubwa ya hizo biashara....kama Bongo Movie KWA sasa wamepiga hatua kwenye Tamthilia(series)....kila series inayotoka kwa sasa inamvuta kila mtu kuifutilia tofauti na zamani mf,kama hizo Huba,Nyavu n.k,sasa na huku kwenye soka ifikie kipindi Ihefu vs Singida BS unakuwa mechi ya kutazamwa wasiangalie Timu 2 au 3 tu.
Aisee! Sawa mr khinzir.We hujui kitu....hata UEFA Kuna gem special zinazofutia watazamaji zinatengewa mda na siku maalumu.....sio kubwabwaja hapa kama jibwa kolo Waheed wewe
Hii ndio maada inayo kupa furaha baadae mnaenda kulia na MangunguUtopolo ndio wanabebwa sio Simba Sc, hao mbumbumbu wa sheria FC wana bahati sana.