Mama mzazi wa Feisal aitaka TFF itende haki

Una upungufu wa akili yaani TFF waanze kuanika mikataba ya wachezaji hadharani?
 
Acha ubishi kaangalie fixture ya Laliga uone kama Real Madrid na Barcelona hua wanacheza mechi za saa sita mchana ya Spain
 
Bush lawyers mnadanganyana sana huku, huku vichwa vyenu mmeficha kwenye mchanga, mnavyobebwa na TFF ajabu mpaka leo mnajidai hamuoni!
Kuuliza si ujinga.

Ninayo maswali 3 kwako, nipatie majibu yake:-

1. Hivi unazo akili timamu?

2. Ulishawahi kuugua ugonjwa wa Kichaa?

3. Ulishawahi kupata matibabu kwenye Hospitali ya Milembe?

Natanguliza shukrani!
 
Mbona msimu ulipita Morison alishinda zidi ya Yanga. Au tunahesabu ni haki kama Yanga akichemka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…