Martha ni mtu mzima ujue, yeye ndio anajua kwa nini hatoi msaada kwa mama yake. Ni wa kuwaacha kama walivyo mambo ya familia za watu si ya kuyaingilia sababu hakuna ajuae ukweli zaidi ya wao wenyewe.Atakama amtunze mzazi wewe mama ako kipindi unalia usiku alikuwa anakupeleka nyumba ya jirani akubembeleze?
Samahani mama mchungaji, haya ya kwako hayakuanzia rohoni yakaja mpaka huku??Ukishindwa vita ya Rohoni ndio hutokea vita mwilini...
Haya sawa siwezi kubishiaAtakama iweje uwezi mtelekeza mzazi yeye hukuwai kumkosea?
Ila now hakuna watoto sikuizi watoto hawasaidii wazaz wao wanasema sio lazimaMartha ni mtu mzima ujue, yeye ndio anajua kwa nini hatoi msaada kwa mama yake. Ni wa kuwaacha kama walivyo mambo ya familia za watu si ya kuyaingilia sababu hakuna ajuae ukweli zaidi ya wao wenyewe.
Sio lazima kumtunza ni maamuzi yake na roho yake. Je huyo ni Mama yake mzazi ?Atakama amtunze mama yake
Kwahy msifanye makosa ya wazaz walio wakosea mka wahukumu kuto kuwasaidia wao pia mliwakwaza lakini hakuna siku walio wai kuwanyamazia kabisa kuweni na hurumaHaya sawa siwezi kubishia
Huna akili na mpumbavu kabisa wa mwishoSio lazima kumtunza ni maamuzi yake na roho yake. Je huyo ni Mama yake mzazi ?
Salama tuNiko poa. Habari ya wewe?
Matusi ya nini tena ?Huna akili na mpumbavu kabisa wa mwisho
wewe mama yako kuna siku alisema amechoka kukunyonyesha akakupeleka kwa jirani unyonye?
Usiku ulipokuwa unalia njaa baba yako mda mwingine alikuwa anampiga makofi mama yako ili akunyonyeshe alitokea jirani kuja kumuamsha mama yako akunyonyeshe?
Heshimuni wazazi wenu leo mmekua mnajua kunyoa ndevu mnaona wajinga
💯💯Tafuta hela zako mkuu watoto sio uwekezaji , huyo mama ajiulize je yeye mama yake anamsaidia?
Alafu mnafanana na Martha😁Mambo ya familia za watu ni ya kuyaacha kama yalivyo.
Sikia hakuna mtu atoke uko kwenda kumsaidi mama yako ni jukumu lako wewe kumsaidia ila watoto wasikuizi hawatakiMatusi ya nini tena ?
Wakati mwingine usijihusishe na kujipa umuhimu kwenye maisha ya watu. Kutoa ni moyo wa mtu na hata huyo Mama kuja kulia mitandaoni kumlalamikia mwanae hamsaidii huo nao ni ujinga tu.
Tatizo lako dogo unajifanyaga Much know kumbe uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana na bado hujitambui ipo siku ukija kujitambua utajidharau na kujiona mjinga sana. Na nilishawahi kukuambia humu kuna siku.
Namshukuru Mungu sana Sikuwahi kuwa na mzazi ambaye anatoka kwenda kuongea nje, mtoto wake akitereza anamwambia hapo hapo, na walikuwa washauri mpaka Kwa wakwe zao, ukiwapa kila mara Kwa mara lazima akwambie nawewe unajiwekeza ? Sio kutuletea sie kila siku kwanza anza kujenga nyumba sisi maisha tulishaanza kwahiyo walikuwa wazazi.Kwahy msifanye makosa ya wazaz walio wakosea mka wahukumu kuto kuwasaidia wao pia mliwakwaza lakini hakuna siku walio wai kuwanyamazia kabisa kuweni na huruma
Mbaya mnoo Mkuu. Kumtegemea mtu na ninamweleza huyu dogo Mwachiluwi matokeo yake anaishia kunitukana.Ukianza kuishi Kwa kuketegemea watu itakusumbua Sana .
Mtegemee Mungu yeye ndo ataipitisha riziki yako Kwa watu na hao watu watakuletea.
Pia soma Sana neno -Jeremiah 17:5
Kulia mitandaoni ni wrong approach , maana adui yako ataendelea kuona ameshinda.
Hao wazazi walishindwaje kujisaidia wao wenyewe?Saidien wazaz wenu