johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hahahaaaa..........!Punguza wenge bwashee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahahaaaa..........!Punguza wenge bwashee
Walishindwa kumkodia hata bajaji 🤐🤐🤐Pole yake na kwa Familia, ila nimeshangaa kuona mahala kuwa alipanda Bodaboda wakati najua Mwanae hujitapa kuwa na Utajiri mkubwa nchini.
Umenikumbusha Makete!Bodaboda siku ya harusi ya mwanaye? Msiwe mnawaleta wazazi mjini kama hamuwapendi hivyo.
Kubadili nguo salasala ? Tena wewe mgeni bongo.
Ukute ndo hiyo wanasema "Tunataka damu ya uchungu" Ngoja tu tutasikia.
Dah... taifa limepata pigo sio?Rip mama mc, huu ni msiba mkubwa kwa taifa hili..
Hamna chochote hapo, ni coincidence tu.Wajuvi watufahamishe kuna uhusiano gani kupata ajali na kuhudhuria harusi, maana na mimi niliwahi kupata ajali ya gari nilipokuwa naenda kwenye harusi ya ndugu yangu.
Twende msibani mama la wananguPoleni wafiwa,
Bado mnaamini shule ni vyeti?kama ulienda shule kachome vyeti vyako.
Aisee [emoji134]Inasemekana mama yake alikuwa na nguo specific antaka kuivaa ikabidi aifate kwa fundi chap na boda boda maana mda wa kwenda Ukumbini ulishafika.
Na Bwana harusi akaenda honeymoon... Eti wakaenda kumpa taarifa akiwa anakata mauno kwa mbuchuchu iliyobarikiwa. Watu wana roho ngumu sana wallah....Halafu kuna mtu nilipomuhadithia mimi na boda boda mbali mbali akanishawishi sana anipandishe eti hata kwa nusu saa tu! 😳 maisha ni matamu sana. RIP mama. Anniversary ya harusi unaisherehekea vipi ikiwa siku hiyo hiyo mama alifariki? Harusi iliendelea baada ya maharusi kufahamu mama mzaa Chema kazimika?
Bodaboda ni hatari kwa watu wote,si wamama tu.Mama yake MR Blu alikufa wa ajali ya boda boda pia.
Wamama jitahidini sana msiwe mnapanda boda.
Ni rahisi sana kwa Waendesha boda kukosa balance kwa sababu ya maumbo ya wamama wa africa
Kuna elements za dharau kwenye post hii,au wewe ni mzito kujiongeza.Wewe hujui board inatutoaga hasa kama kuna foleni na umechelewa unakokwenda? inawezekana siyo kwamba ni suala la uwezo kuwa mdogo bad timing too.Hiv huwezi tuu kujiuliza siku ya harusi ya mtoto wako usafiri usafiri na bodaboda.hata kama huna gariRip!
Inasikitisha mama wa MC maarufu kupata ajali ya bodaboda tena wakiwa wamepanda mshikaki!
Yupo bize Instagram anapost kwa kwenda mbele utadhan hajafiwa, kamcheki kule wanavyomsema vibaya.RIP Mama MC Pilipili.
Huyo mwanao asipolia hadi kugalagala, mtokee usingizini na kumtandika makofi manake sote tulimshuhudia alivyokuwa analia wakati wa kumvika pete mchumba wake!
Siku ya kifo huwa haipigi hodi sawa na siku ya kuibiwa ilivyoWalishindwa kumkodia hata bajaji 🤐🤐🤐
Innalilah wainailah rajiun
Sema unatania!!Yupo bize Instagram anapost kwa kwenda mbele utadhan hajafiwa, kamcheki kule wanavyomsema vibaya.
Mwanzon hata mm nilijua ni ajali ya gari nilishangaa sana ajali kuuwa wawili hlf eneo lenyewe sinza. Kumbe walipanda boda. Rip
Mmh, hivi hio ajali ni ajali ya baskeli, gari, pikipiki ama kitu gani? Mbona its unclear. Mtu anakufa Sinza kwa ajali ambayo haisemwi wala picha hakuna?
Boda boda siku ya harusi ya mwanae... mama anaanzaje kupanda boda boda? Mama anabadilishaje nguo wakati kanisani alikuwepo