TANZIA Mama mzazi wa Mwandishi Erick Kabendera, Verdiana Mjwahuzi amefariki dunia leo Jumanne Desemba 31, 2019

Dah haya bwana mzee wa Chato hii laana haitakuacha salama. Pia hata wale wengine uliowafanyia uliyofanya pia subiri laana kuu! Sijawahi kuona kiongozi wa aina yako niseme kweli kabisa!
Alafu utawasikia wale wapambe wake akiwemo mtoto pendwa wakisema eti Mh Rais amepokea kwa masikitiko makubwa kifo cha mama yetu "Mama Erick Kabendera.

Poleni sana ndugu zangu wote mlioguswa na msiba huu mwishoni mwa mwaka 2019.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
RIP Mama.
Kiukweli muwe na akili kidogo tu, kila mama ya mtu akilia so mtuhumiwa aachiwe?
Acheni ufala nyinyi kabendera aenjoy tu makosa yake huko alipo.mahakama ndo itaamua kama kaonewa au kafanya makosa kweli
Humanless
 
Pumzika kwa Amani Mama Yetu!
Umeiacha Dunia kwa maumivu makali moyoni


Watesi wako hawalala usingizi wa Amani
Watesi wako watahukumiwa na Muumba
Watesi wako hawataipenda dunia tena


Tuonane ng'ambo ile!
 
Mkuu ebu jiulize pia; kwa nini jambo la mama Kabendera limeibua hisia za wengi. Ni kweli kuwa wapo wamama wengi ambao wana watoto kama mama Kabendera na yumkini kuwa nao wako korokoroni kama Kabendera, hoja inayoletwa hapa ni hofu ya Kabendera kubebeshwa dhambi isiyomhusu huku watawala wakiwa wanaongozwa na hofu ya kalamu ya kabendera.
Lala salama mama
Sent using Jamii Forums mobile app
 
.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna dalili ya mtu kula laana mbaya sana. Hakuna mswalia mtume katika hilo.

R.I.P Mama Eric Kabendera
 
Kelele pumbavu ww mahakama hizo za hapo hujawahi pata kesi ukazionja.
Kwani hujui zinafanyaje kazi?mi najua so kabla hujalaumu mahakama jilinde usifanye kosa kienyejienyeji.
 
Kelele,kenge we
 
Kwa wenye kumbu kumbu aliomba akisema Mwanaye wanamtegemea kwa kila kitu ata kwa ugonjwa unao msumbua Dawa alikuwa anagaramia yeye .Dunia hii naona uchungu mpaka nashidwa kula.

Siyo ndugu yangu lakini Ukweli wamekatisha Maisha yake/wamemuua kwa kuondoa msaada wake

Poleni sana wafiwa.R.I.P Bibi yetu/ mama yetu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…