Mama Mzungu, Wanaume siku hizi hawajiamini Kwa sababu hawawakuti mkiwa na bikra

Mama Mzungu, Wanaume siku hizi hawajiamini Kwa sababu hawawakuti mkiwa na bikra

Jokajeusi

JF-Expert Member
Joined
Jun 1, 2018
Posts
6,323
Reaction score
10,813
Igweeh!

Nataka nikujibu Kwa ufupi Sana Rafiki yangu Mama Mzungu. Wanaume hawajiamini siku hizi Kwa sababu asilimia 90% walioa Wanawake wasio na Bikra. Ni Bora ujiamini Kwa soda ambayo haijafunguliwa kuliko kujiamini Kwa kuoa Mwanamke ambaye hukumkuta Bikra.
Ambacho ungetakiwa kuuliza Kwa mshangao ni kuwashangaa wanaume wanaojiamini kwenye mahusiano ilhali walioa Wanawake au wapo na Wanawake ambao hawakuwakuta Bikra.

Rafiki yangu Mama muzungu majibu ndio hayo. Wasalamu!
 
Igweeh!

Nataka nikujibu Kwa ufupi Sana Rafiki yangu Mama Mzungu. Wanaume hawajiamini siku hizi Kwa sababu asilimia 90% walioa Wanawake wasio na Bikra. Ni Bora ujiamini Kwa soda ambayo haijafunguliwa kuliko kujiamini Kwa kuoa Mwanamke ambaye hukumkuta Bikra.
Ambacho ungetakiwa kuuliza Kwa mshangao ni kuwashangaa wanaume wanaojiamini kwenye mahusiano ilhali walioa Wanawake au wapo na Wanawake ambao hawakuwakuta Bikra.

Rafiki yangu Mama muzungu majibu ndio hayo. Wasalamu!
Aisee..
Sawa tu na kujaribu kujimilikisha shamba la watu
 
Igweeh!

Nataka nikujibu Kwa ufupi Sana Rafiki yangu Mama Mzungu. Wanaume hawajiamini siku hizi Kwa sababu asilimia 90% walioa Wanawake wasio na Bikra. Ni Bora ujiamini Kwa soda ambayo haijafunguliwa kuliko kujiamini Kwa kuoa Mwanamke ambaye hukumkuta Bikra.
Ambacho ungetakiwa kuuliza Kwa mshangao ni kuwashangaa wanaume wanaojiamini kwenye mahusiano ilhali walioa Wanawake au wapo na Wanawake ambao hawakuwakuta Bikra.

Rafiki yangu Mama muzungu majibu ndio hayo. Wasalamu!
Mwanaume akikosa amani na pesa huwa kujiamini kunapotea.

Alafu sio wanawake wote waliotolewa bikra wana mambo ya ajabu.

Tutafute hela na tule vizuri.
 
Bikra sio ishu kabisa mkuu.
Niliwahi kumpata mwanamke bikra na bado nilikaziwa pamoja na kumtoa bikra.
Mimi nafikiri, mwanamke akiwa na utii inatosha kumfanya awe na sifa zote za kuwa mke wa mtu.

Nilikuwa namjibu Mama Mzungu.
Sisi tuliobikiri hao Wake zenu tunajua nini tunasema
 
Bikra sio ishu kabisa mkuu.
Niliwahi kumpata mwanamke bikra na bado nilikaziwa pamoja na kumtoa bikra.
Mimi nafikiri, mwanamke akiwa na utii inatosha kumfanya awe na sifa zote za kuwa mke wa mtu.
Kabisa heshima ni kitu Cha msingi sana na hiyo heshima inabidi mwanaume uhangaike uipate kwa mwanamke.
 
Back
Top Bottom