Aisee..Igweeh!
Nataka nikujibu Kwa ufupi Sana Rafiki yangu Mama Mzungu. Wanaume hawajiamini siku hizi Kwa sababu asilimia 90% walioa Wanawake wasio na Bikra. Ni Bora ujiamini Kwa soda ambayo haijafunguliwa kuliko kujiamini Kwa kuoa Mwanamke ambaye hukumkuta Bikra.
Ambacho ungetakiwa kuuliza Kwa mshangao ni kuwashangaa wanaume wanaojiamini kwenye mahusiano ilhali walioa Wanawake au wapo na Wanawake ambao hawakuwakuta Bikra.
Rafiki yangu Mama muzungu majibu ndio hayo. Wasalamu!
Au unaoa single mother. Utajiamini vipi hapo? Simu moja tu ya mzazi mwenza tayari nyege zishampanda anaenda kupekechwa kwa kugezo cha kumpeleka mtoto kwa baba ake amuone!!!Aisee..
Sawa tu na kujaribu kujimilikisha shamba la watu
Mwanaume akikosa amani na pesa huwa kujiamini kunapotea.Igweeh!
Nataka nikujibu Kwa ufupi Sana Rafiki yangu Mama Mzungu. Wanaume hawajiamini siku hizi Kwa sababu asilimia 90% walioa Wanawake wasio na Bikra. Ni Bora ujiamini Kwa soda ambayo haijafunguliwa kuliko kujiamini Kwa kuoa Mwanamke ambaye hukumkuta Bikra.
Ambacho ungetakiwa kuuliza Kwa mshangao ni kuwashangaa wanaume wanaojiamini kwenye mahusiano ilhali walioa Wanawake au wapo na Wanawake ambao hawakuwakuta Bikra.
Rafiki yangu Mama muzungu majibu ndio hayo. Wasalamu!
Pole nikupe wewe unaeungana na uyo mamamzungu mkidhani WANAUME HATUJIAMINI.halafu kitu cha kijinga kama hichi unakuja kukifungulia thread shame you... grow up boy.Pole
Bikra sio ishu kabisa mkuu.
Niliwahi kumpata mwanamke bikra na bado nilikaziwa pamoja na kumtoa bikra.
Mimi nafikiri, mwanamke akiwa na utii inatosha kumfanya awe na sifa zote za kuwa mke wa mtu.
Kabisa heshima ni kitu Cha msingi sana na hiyo heshima inabidi mwanaume uhangaike uipate kwa mwanamke.Bikra sio ishu kabisa mkuu.
Niliwahi kumpata mwanamke bikra na bado nilikaziwa pamoja na kumtoa bikra.
Mimi nafikiri, mwanamke akiwa na utii inatosha kumfanya awe na sifa zote za kuwa mke wa mtu.
Mimi na wewe Nani kichaa?
Nenda Mgahawani alafu letewa soda iliyofunguliwa na kunywewa kidogo alafu uone kama utajiamini.
Unajiita takomavi utaelewaje
Uyu dogo anazingua sanaBikra inamfanye mwanaume ajiamini?
Embu Acha uchizi Dogo.