Mama ntilie Tanzania wachafu; wa Rwanda wana usafi wa hali ya juu

Kwamba ukiwa msafi unaonekana bishoo! Inawezekana sehemu ya kuratibu usafi na order kwenye bongo zetu ina glitch.
 
Wafaransa ni nani katika nchi yetu yaani mgeni atupatie tathimini ya nchi yetu Tanzania ni kubwa sana kuliko Rwanda wakifika machame wakaona maziwa ya Nronga yalivyomazuri na uandalizi wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…